< Isaya 2 >

1 Hili ndilo aliloliona Isaya mwana wa Amozi kuhusu Yuda na Yerusalemu:
Šis ir tas vārds, ko Jesaja, Amoca dēls, redzējis par Jūdu un Jeruzālemi.
2 Katika siku za mwisho mlima wa Hekalu la Bwana utaimarishwa kama mlima mkuu miongoni mwa milima yote, utainuliwa juu ya vilima, na mataifa yote yatamiminika huko.
Un notiks pastara laikā, tad Dieva nama kalns stāvēs pāri pār visiem kalniem un būs paaugstināts pār pakalniem, un visi pagāni uz viņu plūdīs,
3 Mataifa mengi yatakuja na kusema, “Njooni, twendeni mlimani mwa Bwana, kwenye nyumba ya Mungu wa Yakobo. Atatufundisha njia zake, ili tuweze kuenenda katika mapito yake.” Sheria itatoka Sayuni, neno la Bwana litatoka Yerusalemu.
Un daudz tautas ies un sacīs: ejam, kāpsim uz Tā Kunga kalnu, uz Jēkaba Dieva namu, lai Viņš mums māca Savus ceļus, un lai staigājam Viņa tekās, jo no Ciānas iziet mācība, un Tā Kunga vārds no Jeruzālemes.
4 Atahukumu kati ya mataifa na ataamua migogoro ya mataifa mengi. Watafua panga zao ziwe majembe, na mikuki yao kuwa miundu ya kukata matawi. Taifa halitainua upanga dhidi ya taifa jingine, wala hawatajifunza vita tena.
Un Viņš tiesās starp pagāniem un pārmācīs daudz tautas, un tie pārkals savus zobenus par lemešiem un savus šķēpus par cirpēm(ecešām). Jo tauta pret tautu nepacels zobenu un vairs nemācīsies karu.
5 Njooni, enyi nyumba ya Yakobo, tutembeeni katika nuru ya Bwana.
Jēkaba nams, nāc, staigāsim Tā Kunga gaismā.
6 Umewatelekeza watu wako, nyumba ya Yakobo. Wamejaa ushirikina utokao Mashariki, wanapiga ramli kama Wafilisti na wanashikana mikono na wapagani.
Bet Tu esi atstājis Savus ļaudis, Jēkaba namu, jo tie ir pilni austruma ļaužu (bezdievības) un ir zīlnieki tā kā Fīlisti, un ar svešinieku bērniem tiem ir draudzība.
7 Nchi yao imejaa fedha na dhahabu, hakuna mwisho wa hazina zao. Nchi yao imejaa farasi, hakuna mwisho wa magari yao.
Un viņu zeme ir pilna sudraba un zelta, un mantas tiem bez gala, un viņu zeme ir pilna zirgu, un ratu tiem bez gala.
8 Nchi yao imejaa sanamu, wanasujudia kazi za mikono yao, vitu vile vidole vyao vimevitengeneza.
Un viņu zeme ir pilna elka dievu, un savu roku darbu tie pielūdz, to, ko pašu pirksti taisījuši.
9 Kwa hiyo mwanadamu atashushwa na binadamu atanyenyekezwa: usiwasamehe.
Bet ļaudis tiek pazemoti, un vīri gāzti, un piedot tu viņiem nepiedosi.
10 Ingieni kwenye miamba, jificheni ardhini kutokana na utisho wa Bwana na utukufu wa enzi yake!
Lieni klints alā un paslēpies pīšļos priekš Tā Kunga iztrūcināšanas un priekš viņa augstās godības.
11 Macho ya mtu mwenye majivuno yatanyenyekezwa na kiburi cha wanadamu kitashushwa, Bwana peke yake ndiye atakayetukuzwa siku hiyo.
Ļaužu lepnās acis taps pazemotas, un vīru augstība taps locīta, bet Tas Kungs vien būs augsts tanī dienā.
12 Bwana Mwenye Nguvu Zote anayo siku aliyoiweka akiba kwa wote wenye kujivuna na wenye kiburi, kwa wote wanaojikweza (nao watanyenyekezwa),
Jo Tā Kunga Cebaot diena būs pret visu lepnumu un lielumu, un pret visu augstumu, ka tas top pazemots,
13 kwa mierezi yote ya Lebanoni iliyo mirefu sana, na mialoni yote ya Bashani,
Un pret visiem lieliem un augstiem Lībanus ciedru kokiem un pret visiem Basanas ozoliem
14 kwa milima yote mirefu na vilima vyote vilivyoinuka,
Un pret visiem lieliem kalniem un pret visiem augstiem pakalniem.
15 kwa kila mnara ulio mrefu sana na kila ukuta wenye ngome,
Un pret visiem augstiem torņiem un pret visiem stipriem mūriem
16 kwa kila meli ya biashara, na kila chombo cha baharini cha fahari.
Un pret visiem jūras kuģiem un pret visiem skaistiem tēliem.
17 Majivuno ya mwanadamu yatashushwa, na kiburi cha wanadamu kitanyenyekezwa, Bwana peke yake ndiye atatukuzwa siku hiyo,
Un ļaužu lepnība taps locīta, un vīru augstība pazemota, bet Tas Kungs vien būs augsts tanī dienā.
18 nazo sanamu zitatoweka kabisa.
Un elkadievi ies pavisam bojā.
19 Watu watakimbilia kwenye mapango ndani ya miamba, na kwenye mahandaki ardhini kutokana na utisho wa Bwana na utukufu wa enzi yake, ainukapo kuitikisa dunia.
Tad ies kalnu alās un zemes plaisumos priekš Tā Kunga iztrūcināšanas un priekš viņa augstās godības, kad viņš celsies, iztrūcināt zemi.
20 Siku ile, watu watawatupia panya na popo sanamu zao za fedha na za dhahabu, walizozitengeneza ili waziabudu.
Tai dienā cilvēks savus sudraba elkus un savus zelta elkus, ko tie sev bija taisījuši pielūgt, nometīs kurmjiem un sikspārņiem,
21 Watakimbilia kwenye mapango miambani na kwenye nyufa za miamba kutokana na utisho wa Bwana na utukufu wa enzi yake, ainukapo kuitikisa dunia.
Un ies klints aizās un kalnu alās, priekš Tā Kunga iztrūcināšanas un priekš Viņa augstās godības, kad Viņš celsies, iztrūcināt zemi.
22 Acheni kumtumainia mwanadamu, ambaye hana kitu ila pumzi katika pua zake. Yeye ana thamani gani?
Tad nepaļaujaties uz cilvēku, kam dvaša nāsīs; jo par ko tas turams?

< Isaya 2 >