< Isaya 2 >

1 Hili ndilo aliloliona Isaya mwana wa Amozi kuhusu Yuda na Yerusalemu:
[the] word which to see Isaiah son: child Amoz upon Judah and Jerusalem
2 Katika siku za mwisho mlima wa Hekalu la Bwana utaimarishwa kama mlima mkuu miongoni mwa milima yote, utainuliwa juu ya vilima, na mataifa yote yatamiminika huko.
and to be in/on/with end [the] day to establish: establish to be mountain: mount house: temple LORD in/on/with head: top [the] mountain: mount and to lift: raise from hill and to flow to(wards) him all [the] nation
3 Mataifa mengi yatakuja na kusema, “Njooni, twendeni mlimani mwa Bwana, kwenye nyumba ya Mungu wa Yakobo. Atatufundisha njia zake, ili tuweze kuenenda katika mapito yake.” Sheria itatoka Sayuni, neno la Bwana litatoka Yerusalemu.
and to go: come people many and to say to go: come! and to ascend: rise to(wards) mountain: mount LORD to(wards) house: temple God Jacob and to show us from way: conduct his and to go: walk in/on/with way his for from Zion to come out: come instruction and word LORD from Jerusalem
4 Atahukumu kati ya mataifa na ataamua migogoro ya mataifa mengi. Watafua panga zao ziwe majembe, na mikuki yao kuwa miundu ya kukata matawi. Taifa halitainua upanga dhidi ya taifa jingine, wala hawatajifunza vita tena.
and to judge between [the] nation and to rebuke to/for people many and to crush sword their to/for plowshare and spear their to/for pruner not to lift: fight nation to(wards) nation sword and not to learn: learn still battle
5 Njooni, enyi nyumba ya Yakobo, tutembeeni katika nuru ya Bwana.
house: household Jacob to go: come! and to go: walk in/on/with light LORD
6 Umewatelekeza watu wako, nyumba ya Yakobo. Wamejaa ushirikina utokao Mashariki, wanapiga ramli kama Wafilisti na wanashikana mikono na wapagani.
for to leave people your house: household Jacob for to fill from front: east and to divine like/as Philistine and in/on/with youth foreign to slap
7 Nchi yao imejaa fedha na dhahabu, hakuna mwisho wa hazina zao. Nchi yao imejaa farasi, hakuna mwisho wa magari yao.
and to fill land: country/planet his silver: money and gold and nothing end to/for treasure his and to fill land: country/planet his horse and nothing end to/for chariot his
8 Nchi yao imejaa sanamu, wanasujudia kazi za mikono yao, vitu vile vidole vyao vimevitengeneza.
and to fill land: country/planet his idol to/for deed: work hand his to bow to/for which to make finger his
9 Kwa hiyo mwanadamu atashushwa na binadamu atanyenyekezwa: usiwasamehe.
and to bow man and to abase man: anyone and not to lift: forgive to/for them
10 Ingieni kwenye miamba, jificheni ardhini kutokana na utisho wa Bwana na utukufu wa enzi yake!
to come (in): come in/on/with rock and to hide in/on/with dust from face: before dread LORD and from glory pride his
11 Macho ya mtu mwenye majivuno yatanyenyekezwa na kiburi cha wanadamu kitashushwa, Bwana peke yake ndiye atakayetukuzwa siku hiyo.
eye: seeing haughtiness man to abase and to bow height human and to exalt LORD to/for alone him in/on/with day [the] he/she/it
12 Bwana Mwenye Nguvu Zote anayo siku aliyoiweka akiba kwa wote wenye kujivuna na wenye kiburi, kwa wote wanaojikweza (nao watanyenyekezwa),
for day to/for LORD Hosts upon all proud and to exalt and upon all to lift: raise and to abase
13 kwa mierezi yote ya Lebanoni iliyo mirefu sana, na mialoni yote ya Bashani,
and upon all cedar [the] Lebanon [the] to exalt and [the] to lift: raise and upon all oak [the] Bashan
14 kwa milima yote mirefu na vilima vyote vilivyoinuka,
and upon all [the] mountain: mount [the] to exalt and upon all [the] hill [the] to lift: raise
15 kwa kila mnara ulio mrefu sana na kila ukuta wenye ngome,
and upon all tower high and upon all wall to gather/restrain/fortify
16 kwa kila meli ya biashara, na kila chombo cha baharini cha fahari.
and upon all fleet Tarshish and upon all image [the] desire
17 Majivuno ya mwanadamu yatashushwa, na kiburi cha wanadamu kitanyenyekezwa, Bwana peke yake ndiye atatukuzwa siku hiyo,
and to bow haughtiness [the] man and to abase height human and to exalt LORD to/for alone him in/on/with day [the] he/she/it
18 nazo sanamu zitatoweka kabisa.
and [the] idol entire to pass
19 Watu watakimbilia kwenye mapango ndani ya miamba, na kwenye mahandaki ardhini kutokana na utisho wa Bwana na utukufu wa enzi yake, ainukapo kuitikisa dunia.
and to come (in): come in/on/with cave rock and in/on/with hole dust from face: before dread LORD and from glory pride his in/on/with to arise: rise he to/for to tremble [the] land: country/planet
20 Siku ile, watu watawatupia panya na popo sanamu zao za fedha na za dhahabu, walizozitengeneza ili waziabudu.
in/on/with day [the] he/she/it to throw [the] man [obj] idol silver: money his and [obj] idol gold his which to make: do to/for him to/for to bow to/for mole mole and to/for bat
21 Watakimbilia kwenye mapango miambani na kwenye nyufa za miamba kutokana na utisho wa Bwana na utukufu wa enzi yake, ainukapo kuitikisa dunia.
to/for to come (in): come in/on/with crevice [the] rock and in/on/with cleft [the] crag from face: before dread LORD and from glory pride his in/on/with to arise: rise he to/for to tremble [the] land: country/planet
22 Acheni kumtumainia mwanadamu, ambaye hana kitu ila pumzi katika pua zake. Yeye ana thamani gani?
to cease to/for you from [the] man which breath in/on/with face: nose his for in/on/with what? to devise: think he/she/it

< Isaya 2 >