< Isaya 2 >

1 Hili ndilo aliloliona Isaya mwana wa Amozi kuhusu Yuda na Yerusalemu:
Gode da Aisaia (A: imose egefe), amoma Yuda soge amola Yelusaleme amo ilia fa: no misunu hou olelema: ne, amo sia: ne iasu,
2 Katika siku za mwisho mlima wa Hekalu la Bwana utaimarishwa kama mlima mkuu miongoni mwa milima yote, utainuliwa juu ya vilima, na mataifa yote yatamiminika huko.
“Eso enoga fa: no, goumi amoga Debolo Diasu da lela, amo goumi ea sedade da goumi eno huluane ilia sedade baligi dagoi ba: mu. E da agolo huluane bagadewane baligi dagoi ba: mu. Fifi asi gala bagohame da ema doaga: musa: hehenaiya manebe ba: mu.
3 Mataifa mengi yatakuja na kusema, “Njooni, twendeni mlimani mwa Bwana, kwenye nyumba ya Mungu wa Yakobo. Atatufundisha njia zake, ili tuweze kuenenda katika mapito yake.” Sheria itatoka Sayuni, neno la Bwana litatoka Yerusalemu.
Amo fifi asi gala dunu da amane sia: mu ‘Hadiga! Ninia da Hina Gode Ea agologa masunu da defea. Ninia da Isala: ili Gode Ea Debolo Diasuga masunu. E da ninia hawa: hamomu Ea hanai gala amo ninima olelemu. Amasea, Ea logo ilegei amo ganodini ninia da masunu. Bai Hina Gode Ea olelesu da Yelusalemega maha. Amola E da Saione Goumi amoga Ea fi dunuma sia: sa.
4 Atahukumu kati ya mataifa na ataamua migogoro ya mataifa mengi. Watafua panga zao ziwe majembe, na mikuki yao kuwa miundu ya kukata matawi. Taifa halitainua upanga dhidi ya taifa jingine, wala hawatajifunza vita tena.
Gasa bagade fifi asi gala da gegenana. Be Hina Gode da amo hahamomu. Ilia gegesu liligi ilia da afadenene, bu ifabi osobo dogosu liligi hamomu. Ilia goge agei ilia da afadenene, bu gagalobo dadamusu hamomu. Fifi asi gala huluane da bu gegemusa: hamedafa masunu. Amola ilia da bu gegemusa: , gegesu liligi hamedafa momagemu.’”
5 Njooni, enyi nyumba ya Yakobo, tutembeeni katika nuru ya Bwana.
Amaiba: le, Ya: igobe egaga fi! Hina Gode da ninima hadigi iaha. Ninia da amo hadigi ganodini lalumusa: ahoa: di.
6 Umewatelekeza watu wako, nyumba ya Yakobo. Wamejaa ushirikina utokao Mashariki, wanapiga ramli kama Wafilisti na wanashikana mikono na wapagani.
Gode! Di da Dia fi dunu, Ya: igobe egaga fi, amo yolesi dagoi. Isala: ili soge da wamuni dawa: su hou amoga nabai gala. Amo hou ilia da eso mabe la: idi soge amola Filisidia soge amoga lai. Dia fi dunu da ga fi ilia hou fa: no bobogesa.
7 Nchi yao imejaa fedha na dhahabu, hakuna mwisho wa hazina zao. Nchi yao imejaa farasi, hakuna mwisho wa magari yao.
Ilia soge da silifa amola gouli amoga nabai gala. Ilia liligi ida: iwane lai da idimu hamedei agoane ba: sa. Ilia da hosi osea: i gagui dagoi, amola ilia sa: liode da idimu hame gala.
8 Nchi yao imejaa sanamu, wanasujudia kazi za mikono yao, vitu vile vidole vyao vimevitengeneza.
Ilia soge da loboga hamoi ‘gode’ liligi amoga nabai gala. Amola ilia da ilila: loboga hamoi liligi amoga nodone sia: ne gadosa.
9 Kwa hiyo mwanadamu atashushwa na binadamu atanyenyekezwa: usiwasamehe.
Dunu huluane da dafai dagoi amola gogosia: i dagoi ba: mu. Hina Gode! Dia ilia wadela: i hou gogolema: ne mae olofoma.
10 Ingieni kwenye miamba, jificheni ardhini kutokana na utisho wa Bwana na utukufu wa enzi yake!
Ilia da Hina Gode Ea ougi amoga hobeamusa: amola Ea gasa bagade hou amola hadigi amoga wamoaligimusa: , magufu gelabo igi agologa diala amo ganodini wamoaligimu. O ilia da osoboga uli dogone, amo ganodini wamoaligimu.
11 Macho ya mtu mwenye majivuno yatanyenyekezwa na kiburi cha wanadamu kitashushwa, Bwana peke yake ndiye atakayetukuzwa siku hiyo.
Eso da doaga: mu, amoga osobo bagade dunu ilia gasa fi hou huluane da wadela: lesi dagoi ba: mu. Amo esoga, Hina Gode Hi fawane da gaguia gadoi ba: mu.
12 Bwana Mwenye Nguvu Zote anayo siku aliyoiweka akiba kwa wote wenye kujivuna na wenye kiburi, kwa wote wanaojikweza (nao watanyenyekezwa),
Amo esoga, Hina Gode Bagadedafa da gasa fi dunu amola dunu hi hou gaguia gadosu dunu huluanedafa amo hedofale banenesimu.
13 kwa mierezi yote ya Lebanoni iliyo mirefu sana, na mialoni yote ya Bashani,
E da sedade dolo ifa Lebanone soge ganodini amola “ouge” ifa Ba: isia: ne soge ganodini diala, amo huluane wadela: lesimu.
14 kwa milima yote mirefu na vilima vyote vilivyoinuka,
E da goumi gadodafa heda: i dialebe amola agolo huluane mugululi, umi agoane hamomu.
15 kwa kila mnara ulio mrefu sana na kila ukuta wenye ngome,
E da diasu gado gagagula heda: i huluane amola gagili sali gagoi huluane mugululi, umi agoane hamomu.
16 kwa kila meli ya biashara, na kila chombo cha baharini cha fahari.
E da dusagai bagade amola noga: iwane ba: su dusagai, amo huluane wadela: lesili, magufalisimu.
17 Majivuno ya mwanadamu yatashushwa, na kiburi cha wanadamu kitanyenyekezwa, Bwana peke yake ndiye atatukuzwa siku hiyo,
18 nazo sanamu zitatoweka kabisa.
Osobo bagade gasa fi hou amola hi hanai hou da wadela: lesi dagoi ba: mu. Loboga hamoi ‘gode’ liligi da wadela: lesi dagole, hamedafa ba: mu. Amola Hina Gode Hifawane da amo esoga gaguia gadoi ba: mu.
19 Watu watakimbilia kwenye mapango ndani ya miamba, na kwenye mahandaki ardhini kutokana na utisho wa Bwana na utukufu wa enzi yake, ainukapo kuitikisa dunia.
Hina Gode da osobo bagade ugugumusa: masea, osobo bagade dunu da Hina Gode Ea ougi amoga hobeamusa: amola Ea gasa bagade hou amola hadigi amoga wamoaligimusa: , magufu gelabo igi agologa diala amo ganodini wamoaligimu. O ilia da osoboga uli dogone, amo ganodini wamoaligimu.
20 Siku ile, watu watawatupia panya na popo sanamu zao za fedha na za dhahabu, walizozitengeneza ili waziabudu.
Amo esoga, ilia da ilia silifa amola gouliga hamoi ogogosu ‘gode’ agoai liligi galadigimu. Amola dawa amola gamo da amo hamedei liligi lamu.
21 Watakimbilia kwenye mapango miambani na kwenye nyufa za miamba kutokana na utisho wa Bwana na utukufu wa enzi yake, ainukapo kuitikisa dunia.
Hina Gode da osobo bagade ugugumusa: masea, osobo bagade dunu da Hina Gode Ea ougi amoga hobeamusa: amola Ea gasa bagade hou amola hadigi amoga wamoaligimusa: , magufu gelabo igi agologa diala amoganodini wamoaligimu. O ilia da osoboga uli dogone, amo ganodini wamoaligimu.
22 Acheni kumtumainia mwanadamu, ambaye hana kitu ila pumzi katika pua zake. Yeye ana thamani gani?
Dilia! Osobo bagade dunu ilia hou bu mae dafawaneyale dawa: ma! Ilia da hamedei liligi.

< Isaya 2 >