< Isaya 18 >

1 Ole kwa nchi ya mvumo wa mabawa, kando ya mito ya Kushi,
Ngaijin, Ethiopia-kong lha jap ging banga ging jeju gam, Nile vadung ho gal’a um,
2 iwapelekayo wajumbe wake kwa njia ya bahari kwa mashua za mafunjo juu ya maji. Nendeni, wajumbe wepesi, kwa taifa la watu warefu wenye ngozi nyororo, kwa taifa linaloogopwa mbali na karibu, taifa gomvi lenye lugha ngeni, ambalo nchi yao imegawanywa kwa mito.
palaiho a vadungu lhang lang geija mangang tah a kong’a ahin sollu. Cheuvin palai mangang ho! Hiche thuhil hi vun nampet misangho gapeu vin, anai le gamla a um tijat umte, nam tha hat leh gal jou mite, agam u vadung hon a hopkhen mite henga chun,
3 Enyi mataifa yote ya ulimwengu, ninyi mnaoishi duniani wakati bendera itakapoinuliwa milimani, mtaiona, nayo tarumbeta itakapolia, mtaisikia.
Nangho vannoi ja chengho, leiset chunga hing jousen-lhang chunga kagal ponlap kahin khaisang teng, veuvin! Kelcha ki kahin mut teng, ana ngaijun!
4 Hili ndilo Bwana aliloniambia: “Nitatulia kimya na kutazama kutoka maskani yangu, kama joto linalometameta katika mwanga wa jua, kama wingu la umande katika joto la wakati wa mavuno.”
Ajehchu Pakaijin hitin eiseipeh in; “Ka umna akona thip chetna kahin vetding-nipi laiya oltah a ahungsat cheh cheh banga, jingkah daitui chang le mim kikhop tup jouva a hung lhah banga khu”.
5 Kwa maana, kabla ya mavuno, wakati wa kuchanua ukishapita na maua yakawa zabibu zinazoiva, atayakata machipukizi kwa mundu wa kupogolea matawi, naye atakata na kuyaondoa matawi yaliyopanuka.
Gal nasat pat masanga jong, nathil gonho lengpithei banga ahung minset teng, Pakai jin bahche a ache kim ding ahi athah hung kehdoh ho chu. Abah hung kipha jal ho achelhah a apampai ding ahi.
6 Yote yataachwa kwa ajili ya ndege wawindao wa mlimani na wanyama pori, ndege watajilisha juu yake wakati wote wa kiangazi, nao wanyama pori wakati wote wa masika.
Muthong holeh gamsaho dinga na sepai gal hang ho loujaova athisa kidalha ding ahiuve. Nipi lai sung se amu thong hon thilong ho chunga kisa lel diu ahi. Phalbi lai sungse a agu ho aket diu ahi.
7 Wakati huo matoleo yataletwa kwa Bwana Mwenye Nguvu Zote kutoka kwa taifa la watu warefu wenye ngozi nyororo, kutoka kwa taifa linaloogopwa mbali na karibu, kutoka taifa gomvi lenye lugha ngeni, ambalo nchi yao imegawanywa kwa mito, matoleo yataletwa katika Mlima Sayuni, mahali pa Jina la Bwana Mwenye Nguvu Zote.
Hiche phatteng a gamsung u vadung in ahop khen, mi sang leh vun namte, sah le lhangin akichat te, thahattah te akon, Pakai tha neipen in thilpeh amuding ahi. Hiche thil pehding ho chu van janel Pakai umna mun Jerusalem a ahin choidiu ahi.

< Isaya 18 >