< Isaya 18 >
1 Ole kwa nchi ya mvumo wa mabawa, kando ya mito ya Kushi,
Sudane hano ilia na: iyadodili da soge amo ganodini ilia da sio ougia defele, sia: naba.
2 iwapelekayo wajumbe wake kwa njia ya bahari kwa mashua za mafunjo juu ya maji. Nendeni, wajumbe wepesi, kwa taifa la watu warefu wenye ngozi nyororo, kwa taifa linaloogopwa mbali na karibu, taifa gomvi lenye lugha ngeni, ambalo nchi yao imegawanywa kwa mito.
Amo sogega, sia: adole iasu dunu da dusagai saga: amoga hamoi, amo ganodini Naile hano amoga maha. Dilia hehenasu sia: adole iasu dunu! Dilia sogega buhagima! Dilia soge da hano bagohame amoga afafai. Dilia soge fi da gasa bagade. Dilia dunu fi da dunu sedade amola ilia gadofo da enemei, amola osobo bagade fifi asi gala da ilima beda: i. Ilima sia: adole ima.
3 Enyi mataifa yote ya ulimwengu, ninyi mnaoishi duniani wakati bendera itakapoinuliwa milimani, mtaiona, nayo tarumbeta itakapolia, mtaisikia.
Dunu huluane osobo bagadega esala, nabima! Dilia da eso gosa: gisu dawa: digima: ne, goumiga gaguia gadoi ba: mu. Dalabede ea dumu, amo nabima: ne ouesaloma!
4 Hili ndilo Bwana aliloniambia: “Nitatulia kimya na kutazama kutoka maskani yangu, kama joto linalometameta katika mwanga wa jua, kama wingu la umande katika joto la wakati wa mavuno.”
Hina Gode da nama amane sia: i, “Oubi mogele da ha: i manu faisu eso da dogoloi gasia, amo ganodini ouiya: lewane daha, amola eso da gia: i esoga hahawane diga: sa. Amo defele, Na da Hebene amoga ba: le gudumu.
5 Kwa maana, kabla ya mavuno, wakati wa kuchanua ukishapita na maua yakawa zabibu zinazoiva, atayakata machipukizi kwa mundu wa kupogolea matawi, naye atakata na kuyaondoa matawi yaliyopanuka.
Waini fage da gadenene yoi gala, be hame fai galea, ha lai dunu da Sudane dunu fi gugunufinisimu. Gobihei da waini efe ea amoda asabole hedofasa. Amo defele, ha lai dunu da Sudane fi dunu hedofamu.
6 Yote yataachwa kwa ajili ya ndege wawindao wa mlimani na wanyama pori, ndege watajilisha juu yake wakati wote wa kiangazi, nao wanyama pori wakati wote wa masika.
Dadi gagui dunu ilia bogoi da: i hodo da gadili mae dedebole, sio fi amola sigua ohe ilia udigili moma: ne dialebe ba: mu. Gia: i eso amoga sio fi da ilia da: i hodo manu, amola anegagi esoga sigua ohe da manu.
7 Wakati huo matoleo yataletwa kwa Bwana Mwenye Nguvu Zote kutoka kwa taifa la watu warefu wenye ngozi nyororo, kutoka kwa taifa linaloogopwa mbali na karibu, kutoka taifa gomvi lenye lugha ngeni, ambalo nchi yao imegawanywa kwa mito, matoleo yataletwa katika Mlima Sayuni, mahali pa Jina la Bwana Mwenye Nguvu Zote.
Sudane fi dunu ilia soge da hano bagohame amoga afafai. Ilia fi da gasa bagade amola ilia dunu da sedade amola gadofo enemei, amola osobo bagade fifi asi gala da ilima beda: i. Be eso da doaga: mu, amoga ilia da Hina Gode Bagadedafa Ema hahawane dogolegele iasu imunu. Ilia da Saione Goumi amoga ia misunu. (amoga osobo bagade fifi asi gala da Hina Gode Bagadedafa Ema nodone sia: ne gadosa)