< Isaya 17 >
1 Neno kuhusu Dameski: “Tazama, Dameski haitakuwa tena mji bali itakuwa lundo la magofu.
Ennustus Damaskosta. Katso, Damasko poistetaan kaupunkien luvusta ja luhistuu raunioiksi.
2 Miji ya Aroeri itaachwa na itaachiwa mifugo ambayo italala huko, bila yeyote wa kuyaogopesha.
Autioiksi jäävät Aroerin kaupungit, karjalaumojen haltuun; ne lepäävät siellä, kenenkään peloittelematta.
3 Mji wenye ngome utatoweka kutoka Efraimu, nao uweza wa ufalme kutoka Dameski; mabaki ya Aramu yatakuwa kama utukufu wa Waisraeli,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.
Efraimilta menee suojavarustus ja Damaskolta kuninkuus ja Aramista jäännöskin: niiden käy niinkuin israelilaisten kunnian, sanoo Herra Sebaot.
4 “Katika siku ile utukufu wa Yakobo utafifia, unono wa mwili wake utadhoofika.
Ja sinä päivänä Jaakobin kunnia köyhtyy, ja hänen ruumiinsa lihavuus laihtuu.
5 Itakuwa kama mvunaji akusanyavyo nafaka na kuvuna nafaka kwa mikono yake, kama wakati mtu aokotapo masazo ya masuke katika Bonde la Warefai.
Ja käy niinkuin leikkaajan kouraistessa viljaa ja hänen käsivartensa leikatessa tähkäpäitä, käy niinkuin tähkäpäitä poimittaessa Refaimin tasangolla.
6 Hata hivyo baadhi ya masazo yatabaki, kama vile mti wa mzeituni unavyopigwa, kukiachwa zeituni mbili au tatu juu ya matawi kileleni, nne au tano katika matawi yazaayo sana,” asema Bwana, Mungu wa Israeli.
Se siinä jää jälkikorjuuta, mikä öljypuuta karistettaessa: pari, kolme marjaa korkealle latvaan, neljä, viisi hedelmäpuun oksiin, sanoo Herra, Israelin Jumala.
7 Katika siku ile watu watamwangalia Muumba wao, na kuelekeza macho yao kwa yule Aliye Mtakatifu wa Israeli.
Sinä päivänä ihminen luo katseen Luojaansa, ja hänen silmänsä katsovat Israelin Pyhään,
8 Hawataziangalia tena madhabahu, kazi za mikono yao, nao hawataheshimu nguzo za Ashera, na madhabahu za kufukizia uvumba zilizofanywa kwa mikono yao.
eikä hän luo katsettaan alttareihin, omain kättensä tekoon, eikä katso niihin, mitä hänen sormensa ovat tehneet, ei asera-karsikkoihin, ei auringonpatsaisiin.
9 Katika siku ile miji yao iliyo imara, ambayo waliihama kwa sababu ya Waisraeli, itakuwa kama mahali palipoachwa pa vichaka na magugu. Nayo yote itakuwa ukiwa.
Sinä päivänä ovat hänen linnakaupunkinsa niinkuin autiopaikat metsissä ja kukkuloilla, jotka jätettiin autioiksi israelilaisten tullessa, ja maa muuttuu erämaaksi.
10 Mmemsahau Mungu Mwokozi wenu, hamkumkumbuka Mwamba aliye ngome yenu. Kwa hiyo, hata ingawa mlipandikiza mimea iliyo mizuri sana na kuotesha mizabibu ya kigeni,
Sillä sinä unhotit pelastuksesi Jumalan etkä muistanut suojakalliotasi. Sentähden sinä istutat ihania istutuksia ja kylvät vieraita viiniköynnöksiä;
11 hata kama siku ile unapoipandikiza, unaifanya iote na asubuhi ile ile unayoipanda, unaifanya ichipue, hata hivyo mavuno yatakuwa kama si kitu katika siku ile ya ugonjwa na maumivu yasiyoponyeka.
istuttamispäivänä sinä saat ne isonemaan, ja aamulla saat kylvösi kukoistamaan-mutta poissa on sato sairauden päivänä, ja parantumaton on kipu.
12 Lo! Ghadhabu ya mataifa mengi, wanaghadhibika kama bahari iliyochafuka! Lo! Makelele ya mataifa wanavuma kama ngurumo za maji mengi!
Voi paljojen kansojen pauhua-ne pauhaavat, niinkuin meri pauhaa, ja kansakuntien kohinaa-ne kohisevat, niinkuin valtavat vedet kohisevat!
13 Ingawa mataifa yanavuma kama ngurumo za maji yanayofanya mawimbi, wakati anapoyakemea yanakimbia mbali, yanafukuzwa mbele ya upepo kama makapi juu ya milima, kama jani livingirishwapo na dhoruba.
Kansakunnat kohisevat, niinkuin suuret vedet kohisevat, mutta hän nuhtelee niitä, ja ne pakenevat kauas; ne karkoitetaan niinkuin akanat tuulessa vuorilla, niinkuin lentävät lehdet rajuilmassa.
14 Wakati wa jioni, hofu ya ghafula! Kabla ya asubuhi, wametoweka! Hili ndilo fungu la wale wanaotupora, fungu la wale wanaotunyangʼanya mali zetu.
Katso, ehtoolla on oleva kauhu, aamun tullen ei heitä enää ole. Tämä on riistäjäimme osa, ryöstäjäimme arpa.