< Isaya 16 >

1 Pelekeni wana-kondoo kama ushuru kwa mtawala wa nchi, Kutoka Sela, kupitia jangwani, hadi mlima wa Binti Sayuni.
Sila moilai bai bagade da Moua: be hafoga: i soge amo ganodini gala. Amoga, Moua: be dunu da Yelusaleme ouligisu dunu ilima sibi mano iasisa.
2 Kama ndege wanaopapatika waliofukuzwa kutoka kwenye kiota, ndivyo walivyo wanawake wa Moabu kwenye vivuko vya Arnoni.
Ilia da Anone Hano amo ea bega: ouesalebe ba: sa. Ilia da udigili lalebe. Ilia da sio amo da enoga ilia bibi amoga sefasi agoai ba: sa.
3 “Tupeni shauri, toeni uamuzi. Wakati wa adhuhuri, fanyeni kivuli chenu kama usiku. Waficheni watoro, msisaliti wakimbizi.
Ilia da Yuda dunuma amane adole ba: sa, “Ninia adi hamoma: bela: ? Dilia adoma! Nini gaga: ma! Ifa da gia: i esomogoa amoga ougi iaha. Amo defele, ninia da dilia ougiga helefimusa: dawa: lala. Ninia da mugululi asi dunu. Dunu eno da nini mae ba: ma: ne, dilia nini wamolegema.
4 Waacheni watoro wa Moabu wakae pamoja nanyi; kuweni mahali pao pa salama ili kuepuka mharabu.” Mtesi atafikia mwisho na maangamizi yatakoma, aletaye vita atatoweka kutoka nchi.
Ninia da dilia soge ganodini esaloma: ne, dilia logo fodoma. Eno dunu nini mae wadela: ma: ne, dilia gaga: ma. (Fa: no amo se nabasu amola soge wadela: su hou da dagoiwane ba: mu. Wadela: lesisu dunu da asi dagoi ba: mu.
5 Kwa upendo kiti cha enzi kitaimarishwa, kwa uaminifu mtu ataketi juu yake, yeye atokaye nyumba ya Daudi: yeye ambaye katika kuhukumu hutafuta haki, na huhimiza njia ya haki.
Amasea, Da: ibidi egaga fi dunu afae da Hina Bagade ba: mu. E da moloidafa amola asigiwane, Ea fi dunu ouligimu. E da hedolo hou ida: iwane fawane hamomu, amola E da ouligibiba: le, moloidafa fofada: su hou da ba: mu.)
6 Tumesikia juu ya kiburi cha Moabu: kiburi chake cha kujivuna na udanganyifu, kiburi chake na ufidhuli wake, lakini majivuno yake si kitu.
Yuda dunu da amane sia: sa, “Ninia da nabi dagoi. Moua: be dunu da gasa fili ilila: hou gaguia gadosa. Ilia da gasa fili hidasa, be ilia hidasu hou da hamedei.”
7 Kwa hiyo Wamoabu wanaomboleza, wanaiombolezea Moabu kwa pamoja. Wanaomboleza na kuhuzunika kwa ajili ya watu wa Kir-Haresethi.
Moua: be dunu da se bagade nababeba: le, bagadewane dimu. Ilia da musa: Geha: lasede moilai bai bagadega ha: i manu ida: iwane nasu, amo dawa: beba: le dimu. Ilia da baligiliwane da: i diomu.
8 Mashamba ya Heshboni yananyauka, pia na mizabibu ya Sibma. Watawala wa mataifa wamekanyaga mizabibu iliyo mizuri sana, ambayo ilipata kufika Yazeri na kuenea kuelekea jangwani. Machipukizi yake yalienea yakafika hadi baharini.
Ifabi amo Hesiabone gadenei, amola Sibima moilai waini sagai (Moua: be ouligisu dunu da amoga waini nanu, feloale asi) amo da wadela: lesi dagoi. Musa: amo waini sagai da soge amo da Ya: isa moilai bai bagade asili, gusudili asili, hafoga: i sogega doaga: i, amola gududi asili, Bogoi Hano Wayabo ea na: iyado bega: doaga: i - soge bagade.
9 Hivyo ninalia kama Yazeri aliavyo, kwa ajili ya mizabibu ya Sibma. Ee Heshboni, ee Eleale, ninakulowesha kwa machozi! Kelele za furaha kwa ajili ya tunda lako lililoiva na kwa ajili ya mavuno zimekomeshwa.
Wali, na da Sibima waini sagai amola Ya: isa moilai bai bagade amo dawa: beba: le, disa. Na da Hesiabone amola Ilia: ile amo moilai dawa: beba: le, disa. Bai dunu hahawane ba: ma: ne, waini fage amola ha: i manu faisu da hame ba: sa.
10 Furaha na shangwe zimeondolewa kutoka mashamba ya matunda; hakuna yeyote aimbaye wala apazaye sauti katika mashamba ya mizabibu; hakuna yeyote akanyagaye zabibu shinikizoni, kwa kuwa nimekomesha makelele.
Wali amo nasegagi ifabi ganodini, haha dunu da hame ba: sa. Waini sagai ganodini dunu afae da hame wele sia: sa o gesami hame hea: sa. Amola waini hano hamoma: ne, dunu afae da waini fage amoga hame osa: gisa. Hahawane wele sia: su da dagoi.
11 Moyo wangu unaomboleza kwa ajili ya Moabu kama kinubi, nafsi yangu yote kwa ajili ya Kir-Haresethi.
Na da Moua: be amola Geha: lasede dawa: beba: le, da: i dioiba: le, gogonomosa.
12 Wakati Moabu anapojitokeza mahali pake pa juu, anajichosha mwenyewe tu; anapokwenda mahali pake pa kuabudia miungu ili kuomba, haitamfaidi lolote.
Moua: be fi dunu da ilia goumi sema sogebi amola sia: ne gadosu diasu amoga ilia ogogosu ‘gode’ liligi amoma sia: ne gadomusa: ahoasea, helei bagade naba. Be amo da ili fidimu hamedei.
13 Hili ndilo neno ambalo Bwana ameshasema kuhusu Moabu.
Amo sia: huluane Hina Gode da Moua: be fi ilia hou olelema: ne, musa: sia: i dagoi.
14 Lakini sasa Bwana anasema: “Katika miaka mitatu, kama vile mtumishi aliyefungwa na mkataba angeihesabu, fahari ya Moabu na watu wake wengi watadharauliwa, nao walionusurika watakuwa wachache sana, tena wanyonge.”
Amola wali Hina Gode da amane sia: sa, “Ode udiana da gidigili, amo esodafa Moua: be fi ilia bagade gagui hou da ebelei dagoi ba: mu. Wali ilia da dunu bagohame esala, be bagahamedafa da esalebe ba: mu, amola amo bagahame esalebe da gasa hame ba: mu.”

< Isaya 16 >