< Isaya 13 >

1 Neno kuhusu Babeli ambalo Isaya mwana wa Amozi aliliona:
oracle Babylon which to see Isaiah son: child Amoz
2 Twekeni bendera juu ya mlima usio na kitu, wapazieni sauti, wapungieni mkono waingie katika malango ya wenye heshima.
upon mountain: mount be bare to lift: raise ensign to exalt voice to/for them to wave hand and to come (in): come entrance noble
3 Nimewaamuru watakatifu wangu; nimewaita mashujaa wangu waitimize hasira yangu: wale wanaoshangilia ushindi wangu.
I to command to/for to consecrate: consecate my also to call: call to mighty man my to/for face: anger my jubilant pride my
4 Sikilizeni kelele juu ya milima, kama ile ya umati mkubwa wa watu! Sikilizeni, makelele katikati ya falme, kama mataifa yanayokusanyika pamoja! Bwana Mwenye Nguvu Zote anakusanya jeshi kwa ajili ya vita.
voice: sound crowd in/on/with mountain: mount likeness people many voice: sound roar kingdom nation to gather LORD Hosts to reckon: list army battle
5 Wanakuja kutoka nchi za mbali sana, kutoka miisho ya mbingu, Bwana na silaha za ghadhabu yake, kuangamiza nchi yote.
to come (in): come from land: country/planet distance from end [the] heaven LORD and article/utensil indignation his to/for to destroy all [the] land: country/planet
6 Ombolezeni, kwa maana siku ya Bwana i karibu, itakuja kama uharibifu kutoka kwa Mwenyezi.
to wail for near day LORD like/as violence from Almighty to come (in): come
7 Kwa sababu ya hili, mikono yote italegea, moyo wa kila mtu utayeyuka.
upon so all hand to slacken and all heart human to melt
8 Hofu itawakamata, uchungu na maumivu makali yatawashika, watagaagaa kama mwanamke aliye na utungu wa kuzaa. Watatazamana kwa hofu kila mtu na mwenzake, nyuso zao zikiwaka kama moto.
and to dismay pang and pain to grasp [emph?] like/as to beget to twist: writh in pain [emph?] man: anyone to(wards) neighbor his to astounded face flame face their
9 Tazameni, siku ya Bwana inakuja, siku katili, yenye ghadhabu na hasira kali, kuifanya nchi kuwa ukiwa na kuwaangamiza wenye dhambi waliomo ndani yake.
behold day LORD to come (in): come cruel and fury and burning anger face: anger to/for to set: make [the] land: country/planet to/for horror: destroyed and sinner her to destroy from her
10 Nyota za mbinguni na makundi ya nyota havitatoa mwanga wake. Jua linalochomoza litatiwa giza na mwezi hautatoa nuru yake.
for star [the] heaven and constellation their not to shine light their to darken [the] sun in/on/with to come out: (sun)rise he and moon not to shine light his
11 Nitauadhibu ulimwengu kwa ajili ya uovu wake, waovu kwa ajili ya dhambi zao. Nitakomesha majivuno ya wenye kiburi, na nitakishusha kiburi cha watu wakatili.
and to reckon: punish upon world distress: evil and upon wicked iniquity: crime their and to cease pride arrogant and pride ruthless to abase
12 Nitawafanya wanadamu kuwa adimu kuliko dhahabu safi, watakuwa wachache sana kuliko dhahabu ya Ofiri.
be precious human from pure gold and man from gold Ophir
13 Kwa hiyo nitazifanya mbingu zitetemeke, nayo dunia itatikisika kutoka mahali pake katika ghadhabu ya Bwana Mwenye Nguvu Zote, katika siku ya hasira yake iwakayo.
upon so heaven to tremble and to shake [the] land: country/planet from place her in/on/with fury LORD Hosts and in/on/with day burning anger face: anger his
14 Kama swala awindwaye, kama kondoo wasio na mchungaji, kila mmoja atarudi kwa watu wake mwenyewe, kila mmoja atakimbilia nchi yake ya kuzaliwa.
and to be like/as gazelle to banish and like/as flock and nothing to gather man: anyone to(wards) people his to turn and man: anyone to(wards) land: country/planet his to flee
15 Yeyote atakayetekwa atapasuliwa tumbo, wote watakaokamatwa watauawa kwa upanga.
all [the] to find to pierce and all [the] to snatch to fall: kill in/on/with sword
16 Watoto wao wachanga watavunjwa vipande vipande mbele ya macho yao; nyumba zao zitatekwa na wake zao watatendwa jeuri.
and infant their to dash in pieces to/for eye their to plunder house: home their and woman: wife their (to lie down: have sex *Q(K)*)
17 Tazama, nitawachochea Wamedi dhidi yao, ambao hawajali fedha wala hawafurahii dhahabu.
look! I to rouse upon them [obj] Mede which silver: money not to devise: count and gold not to delight in in/on/with him
18 Mishale yao itawaangusha vijana, hawatakuwa na huruma kwa watoto wachanga wala hawataangalia watoto kwa huruma.
and bow youth to dash in pieces and fruit belly: womb not to have compassion upon son: child not to pity eye their
19 Babeli, johari ya falme, utukufu wa kiburi cha Wababeli, itaangushwa na Mungu kama Sodoma na Gomora.
and to be Babylon beauty kingdom beauty pride Chaldea like/as overthrow God [obj] Sodom and [obj] Gomorrah
20 Hautakaliwa na watu kamwe wala watu hawataishi humo kwa vizazi vyote. Hakuna Mwarabu atakayepiga hema lake huko, hakuna mchungaji atakayepumzisha makundi yake huko.
not to dwell to/for perpetuity and not to dwell till generation and generation and not to pitch there Arab and to pasture not to stretch there
21 Lakini viumbe wa jangwani watalala huko, mbweha watajaza nyumba zake, bundi wataishi humo nao mbuzi-mwitu watarukaruka humo.
and to stretch there wild beast and to fill house: home their howling animal and to dwell there daughter ostrich and satyr to skip about there
22 Fisi watalia ndani ya ngome zake, mbweha ndani ya majumba yake ya kifahari. Wakati wake umewadia, na siku zake hazitaongezwa.
and to dwell wild beast in/on/with widow his and jackal in/on/with temple: palace delight and near to/for to come (in): come time her and day her not to draw

< Isaya 13 >