< Isaya 12 >
1 Katika siku ile utasema: “Nitakusifu wewe, Ee Bwana. Ingawa ulinikasirikia, hasira yako imegeukia mbali nawe umenifariji.
İsrail halkı o gün, “Ya RAB, sana şükrederiz” diyecek, “Bize öfkelenmiştin ama öfken dindi, Bizi avuttun.
2 Hakika Mungu ni wokovu wangu; nitamtumaini wala sitaogopa. Bwana, Bwana, ni nguvu zangu na wimbo wangu; amekuwa wokovu wangu.”
Tanrı kurtuluşumuzdur. O'na güvenecek, yılmayacağız. Çünkü RAB gücümüz ve ezgimizdir. O kurtardı bizi.”
3 Kwa furaha mtachota maji kutoka visima vya wokovu.
Kurtuluş pınarlarından sevinçle su alacaksınız.
4 Katika siku hiyo mtasema: “Mshukuruni Bwana, mliitie jina lake; julisheni miongoni mwa mataifa yale aliyoyafanya, tangazeni kuwa jina lake limetukuka.
O gün diyeceksiniz ki, “RAB'be şükredin, O'nu adıyla çağırın, Halklara duyurun yaptıklarını, Adının yüce olduğunu duyurun!
5 Mwimbieni Bwana, kwa kuwa ametenda mambo makuu, hili na lijulikane duniani kote.
RAB'be ezgiler söyleyin, Çünkü görkemli işler yaptı. Bütün dünya bilsin bunu.
6 Pazeni sauti mwimbe kwa furaha, watu wa Sayuni, kwa maana mkuu ni yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli miongoni mwenu.”
Ey Siyon halkı, sesini yükselt, sevinçle haykır! Çünkü aranızda bulunan İsrail'in Kutsalı büyüktür.”