< Isaya 12 >

1 Katika siku ile utasema: “Nitakusifu wewe, Ee Bwana. Ingawa ulinikasirikia, hasira yako imegeukia mbali nawe umenifariji.
Naquele dia você dirá: “Eu lhe agradecerei, Javé; pois embora você estivesse zangado comigo, sua raiva se desviou e você me consola.
2 Hakika Mungu ni wokovu wangu; nitamtumaini wala sitaogopa. Bwana, Bwana, ni nguvu zangu na wimbo wangu; amekuwa wokovu wangu.”
Eis que Deus é minha salvação. Confiarei, e não terei medo; pois Yah, Yahweh, é minha força e meu canto; e Ele se tornou minha salvação”.
3 Kwa furaha mtachota maji kutoka visima vya wokovu.
Therefore com alegria você tirará água dos poços da salvação”.
4 Katika siku hiyo mtasema: “Mshukuruni Bwana, mliitie jina lake; julisheni miongoni mwa mataifa yale aliyoyafanya, tangazeni kuwa jina lake limetukuka.
Naquele dia você dirá: “Dê graças a Javé! Chame seu nome! Declarem seus feitos entre os povos! Proclamem que seu nome é exaltado!
5 Mwimbieni Bwana, kwa kuwa ametenda mambo makuu, hili na lijulikane duniani kote.
Cantem para Javé, pois ele fez coisas excelentes! Que isto seja conhecido em toda a terra!
6 Pazeni sauti mwimbe kwa furaha, watu wa Sayuni, kwa maana mkuu ni yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli miongoni mwenu.”
Clama em voz alta e grita, habitante de Sião, pois o Santo de Israel é grande entre vós”!

< Isaya 12 >