< Isaya 12 >

1 Katika siku ile utasema: “Nitakusifu wewe, Ee Bwana. Ingawa ulinikasirikia, hasira yako imegeukia mbali nawe umenifariji.
Paa hin Dag skal du sige: Jeg takker dig, HERRE, thi du vrededes paa mig; men din Vrede svandt, og du trøstede mig.
2 Hakika Mungu ni wokovu wangu; nitamtumaini wala sitaogopa. Bwana, Bwana, ni nguvu zangu na wimbo wangu; amekuwa wokovu wangu.”
Se, Gud er min Frelse, jeg er trøstig og uden Frygt; thi HERREN er min Styrke og min Lovsang, og han blev mig til Frelse.
3 Kwa furaha mtachota maji kutoka visima vya wokovu.
I skal øse Vand med Glæde af Frelsens Kilder
4 Katika siku hiyo mtasema: “Mshukuruni Bwana, mliitie jina lake; julisheni miongoni mwa mataifa yale aliyoyafanya, tangazeni kuwa jina lake limetukuka.
og sige paa hin Dag: Tak HERREN, paakald hans Navn, gør hans Gerninger kendt blandt Folkene, kundgør, at hans Navn er højt!
5 Mwimbieni Bwana, kwa kuwa ametenda mambo makuu, hili na lijulikane duniani kote.
Lovsyng HERREN, thi stort har han øvet, lad det blive kendt paa den vide Jord!
6 Pazeni sauti mwimbe kwa furaha, watu wa Sayuni, kwa maana mkuu ni yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli miongoni mwenu.”
Bryd ud i Fryderaab, Zions Beboere, thi stor i eders Midte er Israels Hellige!

< Isaya 12 >