< Isaya 12 >

1 Katika siku ile utasema: “Nitakusifu wewe, Ee Bwana. Ingawa ulinikasirikia, hasira yako imegeukia mbali nawe umenifariji.
Tekah khohnin ah, “BOEIPA namah ni kang uem eh?, kai taengah na thintoek dae na thintoek khaw mael coeng tih kai nan hloep.
2 Hakika Mungu ni wokovu wangu; nitamtumaini wala sitaogopa. Bwana, Bwana, ni nguvu zangu na wimbo wangu; amekuwa wokovu wangu.”
Kamah kah khangnah Khohni te ka pangtung vetih ka sarhi ham khaw ka birhih mahpawh. BOEIPA Yahweh laa he khaw kai ham khangnah la om,” na ti ni.
3 Kwa furaha mtachota maji kutoka visima vya wokovu.
Khangnah tuisih lamkah omngaihnah neh tui na than uh van bitni.
4 Katika siku hiyo mtasema: “Mshukuruni Bwana, mliitie jina lake; julisheni miongoni mwa mataifa yale aliyoyafanya, tangazeni kuwa jina lake limetukuka.
Tekah khohnin ah, “BOEIPA te uem uh lah, amah ming te khue uh lah, a khoboe te pilnam taengah ming sak uh lah, a ming a sang te thoelh uh lah.
5 Mwimbieni Bwana, kwa kuwa ametenda mambo makuu, hili na lijulikane duniani kote.
Rhimomnah a saii te diklai pum loh a ming coeng dongah BOEIPA te tingtoeng uh lah.
6 Pazeni sauti mwimbe kwa furaha, watu wa Sayuni, kwa maana mkuu ni yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli miongoni mwenu.”
Israel kah Hlangcim te na lakli ah a tanglue coeng dongah Zion nu rhoek loh hlampan uh lamtah tamhoe uh laeh,” na ti uh van bitni.

< Isaya 12 >