< Isaya 12 >

1 Katika siku ile utasema: “Nitakusifu wewe, Ee Bwana. Ingawa ulinikasirikia, hasira yako imegeukia mbali nawe umenifariji.
Amo esoga, Isala: ili dunu da gesami hea: mu, amane, “Hina Gode! Na Dima nodosa. Di da nama ougi galu. Be wali Dia da ougi yolesili, na dogo denesilala.
2 Hakika Mungu ni wokovu wangu; nitamtumaini wala sitaogopa. Bwana, Bwana, ni nguvu zangu na wimbo wangu; amekuwa wokovu wangu.”
Gode da na Gaga: su dunu. Na da mae beda: ne, Ea hou dafawaneyale dawa: le, lalegagumu. Hina Gode da gasa bagade hou nama iaha. E da na Gaga: su dunu.
3 Kwa furaha mtachota maji kutoka visima vya wokovu.
Hano hanai dunu da hano noga: i nasea, hahawane bagade ba: sa. Amo defele, Gode da Ea fi dunu gaga: sea, ilia da hahawane bagade ba: sa.
4 Katika siku hiyo mtasema: “Mshukuruni Bwana, mliitie jina lake; julisheni miongoni mwa mataifa yale aliyoyafanya, tangazeni kuwa jina lake limetukuka.
Amo esoga, dilia Gode Ea fi dunu da amane gesami hea: mu, “Hina Godema nodoma! E da nini fidima: ne wele sia: ma! Ea hamoi amo fifi asi gala huluane ilima adoma. E da gasa bagadedafaba: le, ilima adoma!
5 Mwimbieni Bwana, kwa kuwa ametenda mambo makuu, hili na lijulikane duniani kote.
E da gasa bagade hou hamobeba: le, Ema nodone gesami hea: ma. Osobo bagade fifi asi gala huluane da amo sia: ida: iwane gala nabimu da defea.
6 Pazeni sauti mwimbe kwa furaha, watu wa Sayuni, kwa maana mkuu ni yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli miongoni mwenu.”
Dunu huluanedafa Saione Goumi amoga esala, amo da wele sia: mu amola gesami hea: mu da defea. Isala: ili dunu fi ilia Hadigi Gode da Bagadedafa. Amola E da Ea fi amo ganodini esala.”

< Isaya 12 >