< Isaya 10 >

1 Ole wao wawekao sheria zisizo za haki, kwa wale watoao amri za kuonea,
Dilia da se iasu bagade ba: mu! Dilia da Na fi dunu se nabima: ne, sema moloihame hamonana.
2 kuwanyima maskini haki zao na kuzuilia haki za watu wangu walioonewa, kuwafanya wajane mawindo yao na kuwanyangʼanya yatima.
Amoga, hame gagui dunu ilia hou moloidafa hame ba: sa. Amo sema moloihame hamobeba: le, dilia da didalo amola guluba: mano ilia soge amola liligi wamolaha.
3 Mtafanya nini siku ya kutoa hesabu, wakati maafa yatakapokuja kutoka mbali? Mtamkimbilia nani awape msaada? Mtaacha wapi mali zenu?
Gode da dilima se iasea, dilia da adi hamoma: bela: ? Gode da dili wadela: musa: , sedaga esala ga fi oule masea, dilia da adi hamoma: bela: ? Dilia da eno dunu dili fidima: ne, habidili hobeama: bela: ? Dilia muni amola noga: i liligi, habodili wamolegema: bela: ?
4 Hakutasalia kitu chochote, isipokuwa kujikunyata miongoni mwa mateka, au kuanguka miongoni mwa waliouawa. Hata kwa haya yote, hasira yake haijageukia mbali, mkono wake bado umeinuliwa juu.
Dilia da gegesu ganodini fane legei dagoi ba: mu. Mogili, dilia da enoga afugili, se iasu diasuga hawa: hamoma: ne mugululi asi dagoi ba: mu. Be amo hamonanu, Hina Gode Ea ougi da hame gumi ba: mu. E da se eno ima: ne, Ea lobo ililua: le lelebe ba: mu.
5 “Ole kwa Ashuru, fimbo ya hasira yangu, ambaye mkononi mwake ana rungu ya ghadhabu yangu!
Hina Gode da amane sia: i, “Na da Asilia hina bagade amo dunu amoma Na da ougi gala ilima se ima: ne, Na da Asilia hina bagade ogoma agoane hamoi.
6 Ninamtuma dhidi ya taifa lisilomjua Mungu, ninamtuma dhidi ya taifa linalonikasirisha, kukamata mateka na kunyakua nyara, pia kuwakanyaga chini kama matope ya barabarani.
Na da Asilia dunu amo dunu fi da Na fisibiba: le amoma Na da ougi gala, ilima doagala: musa: asunasi. Ilia da amo dunu ilia liligi wamolale, amola ilima osobo agoane osa: gili, hasanasima: ne, Na da Asilia dunu amo asunasi dagoi.
7 Lakini hili silo analokusudia, hili silo alilo nalo akilini; kusudi lake ni kuangamiza, kuyakomesha mataifa mengi.
Be Asilia hina bagade, e da hi nimi bagade hi hanai hou hamomusa: dawa: lala. E da dunu fifi asi gala bagohame wadela: musa: dawa: lala.
8 Maana asema, ‘Je, wafalme wote si majemadari wangu?
E da gasa fili agoane sia: sa “Na dadi gagui ouligisu dunu afae afae huluane da hina bagade gala.
9 Je, Kalno hakutendwa kama Karkemishi? Hamathi si kama Arpadi, nayo Samaria si kama Dameski?
Na da Ga: lanou, Gagimisi, Ha: ima: de, Aba: de, Samelia amola Dama: sagase, amo moilai bai bagade huluane hasali dagoi.
10 Kama vile mkono wangu ulivyotwaa falme za sanamu, falme ambazo vinyago vyao vilizidi vile vya Yerusalemu na Samaria:
Na da fifi asi gala amo da loboga hamoi ‘gode’ ilima sia: ne gadosa, (ilia loboga hamoi liligi idi da Yelusaleme amola Samelia ilia ‘gode’ hamoi liligi idi baligisa) ilima se ima: ne, na da doagala: i.
11 je, nisiishughulikie Yerusalemu na sanamu zake kama nilivyoshughulikia Samaria na vinyago vyake?’”
Na da Samelia dunu fi amola ilia loboga hamoi ‘gode’ amo wadela: lesi dagoi. Amola na da Yelusaleme amola, ilia loboga hamoi liligi amoma ilia sia: ne gadosa, amo defele gugunufinisimu.”
12 Bwana atakapokuwa amemaliza kazi yake yote dhidi ya Mlima Sayuni na Yerusalemu, atasema, “Nitamwadhibu mfalme wa Ashuru kwa ajili ya majivuno ya ukaidi wa moyo wake na kutazama kwa macho yenye dharau.”
Be Hina Gode da amane sia: sa, “Na da wali hamobe Saione Goumi amola Yelusaleme amo ganodini amo dagosea, Na da Asilia hina bagade ema se bidi imunu. Bai e da hidale gasa fi bagade hamosa.”
13 Kwa kuwa anasema: “‘Kwa nguvu za mkono wangu nimefanya hili, kwa hekima yangu, kwa sababu nina ufahamu. Niliondoa mipaka ya mataifa, niliteka nyara hazina zao, kama yeye aliye shujaa niliwatiisha wafalme wao.
Asilia hina bagade da hidale agoane sia: sa, “Na nisu agoane hamoi. Na da gasa bagade amola bagade dawa: su. Na da fifi asi gala ilia alalo legesu mugululi, ilia ha: i manu amola liligi legesu amo lai dagoi. Na da bulamagau gawali defele, dunu amogawi esalu amoga osa: gi dagoi.
14 Kama mtu atiavyo mkono kwenye kiota, ndivyo mkono wangu ulivyochukua utajiri wa mataifa; kama watu wakusanyavyo mayai yaliyoachwa, ndivyo nilivyokusanya nchi zote; wala hakuna hata mmoja aliyepiga bawa au kufungua kinywa chake kutoa mlio.’”
Osobo bagade fifi asi gala da sio bibi agoane ba: i. Na da sio ea oso labe defele, asabole fifi asi gala ilia liligi huluane lai dagoi. Na beda: ma: ne, ougia afae yagugui hame ba: i. Nama gua: ma: ne, misu afae da hame dagai.”
15 Je, shoka laweza kujigamba kuwa na nguvu zaidi kuliko yule anayelitumia, au msumeno kujisifu dhidi ya yule anayeutumia? Ni kana kwamba fimbo ingeweza kumwinua yeye aichukuaye, au mkongojo ungemwinua mwenye kuutumia!
Be Hina Gode da amane sia: sa, “Goahei da dunu amoga hawa: hamosa, amo ea hou baligisala: ? So hedofasu da dunu amoga hawa: hamosa, amo ea hou baligisala: ? Ogoma da dunu hame gaguia gadosa. Be dunu da ogoma gaguia gadosa.”
16 Kwa hiyo Bwana, Bwana Mwenye Nguvu Zote, atatuma ugonjwa wa kudhoofisha kwa askari wake walio hodari, katika fahari yake moto utawaka kama mwali wa moto.
Hina Gode Bagadedafa da dunu amo da wali sadi gala ilima se ima: ne, olo iasimu. Ilia da olo madelabeba: le, ilia da: i hodo ganodini, lalu mae ha: ba: done nenanumu.
17 Nuru ya Israeli itakuwa moto, Aliye Mtakatifu wao mwali wa moto; katika siku moja utaunguza na kuteketeza miiba na michongoma yake.
Gode da Isala: ili fi ilima hadigi gamali agoane. Be E da afadanene bu lalu agoane hamomu. Isala: ili ilia Hadigi Gode da lalu gona: su agoane ba: mu. Amo da eso afadafa amoga, liligi huluane amola aya: gaga: nomei amola gagalobo nei dagomu.
18 Fahari ya misitu yake na mashamba yenye rutuba utateketeza kabisa, kama vile mtu mgonjwa adhoofikavyo.
Iwila ida: iwane gala amola ifabi nasegagi amola da bogosu olo da dunu wadela: sa defele, amo wadela: lesi dagoi ba: mu.
19 Nayo miti inayobaki katika misitu yake itakuwa michache sana hata mtoto mdogo angeweza kuihesabu.
Isala: ili sogega da ifa bagahame dialebeba: le, mano fonobahadi ilia idimu da defele ba: mu.
20 Katika siku ile, mabaki ya Israeli, walionusurika wa nyumba ya Yakobo, hawatamtegemea tena yeye aliyewapiga, lakini watamtegemea kwa kweli Bwana Aliye Mtakatifu wa Israeli.
Eso da misunu, amoga Isala: ili dunu amo da mae bogole esala, ilia da dunu fi da ilia fi wadela: lesi, ilima hame fa: no bobogemu. Be ilia da Hina Gode, Isala: ili fi ilia Hadigi Gode, amo Ea hou dafawaneyale dawa: beba: le, lalegagumu.
21 Mabaki watarudi, mabaki wa Yakobo watamrudia Mungu Mwenye Nguvu.
Isala: ili dunu mogili bagahame da ilia Gode Bagadedafa Ema sinidigimu.
22 Ingawa watu wako, ee Israeli, ni wengi kama mchanga wa pwani, ni mabaki yao tu watakaorudi. Maangamizi yamekwisha amriwa, ni mengi tena ni haki.
Wali Isala: ili dunu ilia idi da hano wayabo bagade bega: sa: iboso dialebe, amo ea idi defele ba: sa. Be dunu bagahame fawane da buhagimu. Isala: ili dunu fi da wadela: lesi dagoi ba: mu. Amola ilia da amo dabe ba: mu da defeadafa.
23 Bwana, Bwana Mwenye Nguvu Zote, atatekeleza maangamizi yaliyoamriwa juu ya nchi yote.
Dafawane! Ouligisudafa Hina Gode Bagadedafa da Ea sia: i defele soge huluane amo ganodini, gugunufinisisu fawane iasimu.
24 Kwa hiyo, hili ndilo Bwana, Bwana Mwenye Nguvu Zote asemalo: “Enyi watu wangu mkaao Sayuni, msiwaogope Waashuru, wanaowapiga ninyi kwa fimbo na kuinua rungu dhidi yenu, kama Misri ilivyofanya.
Ouligisudafa Hina Gode Bagadedafa da Ea dunu ilia Saione Goumi amoga esala, ilima amane sia: sa, “Asilia dunu da Idibidi dunu defele, dilima se imunu. Be iliba: le mae beda: ma.
25 Bado kitambo kidogo sana hasira yangu dhidi yenu itakoma, na ghadhabu yangu itaelekezwa kwenye maangamizi yao.”
Na da eso bagahame fawane dilima se ianu, dagomu. Amasea, Na da Asilia dunu gugunufinisimu.
26 Bwana Mwenye Nguvu Zote atawachapa kwa mjeledi, kama alivyowapiga Wamidiani katika mwamba wa Orebu, naye atainua fimbo yake juu ya maji, kama alivyofanya huko Misri.
Na, Hina Gode Bagadedafa, da Na fegasuga Midia: ne dunu Oulebe Igi sogega fasu. Amo defele Na da Asilia dunu Na fegasuga famu. Na da Idibidi fi dunu ilima se iasu amo defele, Na da Asilia dunuma se bidi imunu.
27 Katika siku hiyo mzigo wao utainuliwa kutoka mabegani mwenu, na nira yao kutoka shingoni mwenu; nira itavunjwa kwa sababu ya kutiwa mafuta.
Amo esoga, Na da Asilia ilia gasa bagade hou amo da wali dilima hasanasisa, amo Na da gugunufinisimu. Ilia dioi bagade “youge” da fa: no dilia gidagi bu hame banenesimu.”
28 Wanaingia Ayathi, wanapita katikati ya Migroni, wanahifadhi mahitaji huko Mikmashi.
Isala: ili dunu ilia ha lai da A: iai moilai bai bagade suguli lai dagoi. Ilia da Migalone moilai golili sa: ili baligi dagoi. Ilia momagei liligi ilia da Migema: se moilaiga legele yolesi.
29 Wanavuka kivukoni, nao wanasema, “Tutapiga kambi huko Geba usiku kucha.” Rama inatetemeka; Gibea ya Sauli inakimbia.
Ilia da goumi logo holei goulosu amo baligili, wali gasia Giba moilai bai bagadega diaha. Lama moilai fi dunu da bagadewane beda: be amola hina bagade Solo ea moilai (Gibia) amo ea fi dunu huluane da hobea: i dagoi.
30 Piga kelele, ee Binti Galimu! Sikiliza, ee Laisha! Maskini Anathothi!
Ga: limi moilai dunu! Wema mabu! La: isia moilai bai bagade dunu! Nabima! A: nadode moilai dunu! Bu adole ima!
31 Madmena inakimbia; watu wa Gebimu wanajificha.
Ma: damina moilai dunu da hobeale asi dagoi. Gibimi moilai dunu da hobeale, wamoaligisa.
32 Siku hii ya leo watasimama Nobu; watatikisa ngumi zao kwa mlima wa Binti Sayuni, kwa kilima cha Yerusalemu.
Wali eso, ninia ha lai dunu da Noube moilai bai bagadega doaga: le, ilia lobo usunawane, Saione Goumi amola Yelusaleme, amoga yagugusa.
33 Tazama, Bwana, Bwana Mwenye Nguvu Zote, atayakata matawi kwa nguvu kuu. Miti mirefu sana itaangushwa, ile mirefu itashushwa chini.
Be Hina Gode Bagadedafa da dunu ilia da ifa amoda abasea, ilia osoboga gisalugala: sa, amo defele E da Asilia dunu gisalugala: mu. Gasa fi dunu gado bagade heda: i, amo huluane da hedofai dagoi ba: beba: le, gogosiasu lamu.
34 Atakata vichaka vya msitu kwa shoka; Lebanoni itaanguka mbele zake yeye Mwenye Nguvu.
Dunu ilia da iwila ifa amola ifa noga: iwane Lebanone soge ganodini gala, amo goaheiga abasu, amo defele, Hina Gode da Asilia dunu abimu.

< Isaya 10 >