< Hosea 9 >
1 Usifurahie, ee Israeli; usishangilie kama mataifa mengine. Kwa kuwa hukuwa mwaminifu kwa Mungu wako; umependa ujira wa kahaba kwenye kila sakafu ya kupuria nafaka.
Nepriecājies, Israēl, ar gavilēšanu kā tās tautas, jo tu dzen maucību, atkāpdamies no sava Dieva, tu mīļo mauku algu uz visiem labības kloniem.
2 Sakafu za kupuria nafaka na mashinikizo ya kukamulia divai havitalisha watu, divai mpya itawapungukia.
Klons un eļļas spaids viņus nemielos un jaunais vīns tos pievils.
3 Hawataishi katika nchi ya Bwana, Efraimu atarudi Misri na atakula chakula kilicho najisi huko Ashuru.
Tie nepaliks Tā Kunga zemē, bet Efraīms griezīsies atpakaļ uz Ēģipti, un Asīrijā tie ēdīs nešķīstu.
4 Hawatammiminia Bwana sadaka ya divai wala dhabihu zao hazitampendeza. Dhabihu kama hizo zitakuwa kwao kama mkate wa waombolezaji; nao wote wazilao watakuwa najisi. Chakula hiki kitakuwa kwa ajili yao wenyewe; kisije katika Hekalu la Bwana.
Tie Tam Kungam nenesīs dzeramus upurus no vīna, un viņu kaujamie upuri viņam nepatiks; tie viņiem būs kā bēru maize. Visi, kas to ēd, apgānās, jo viņu maize ir priekš viņiem pašiem, un nenāk Tā Kunga namā.
5 Mtafanya nini katika siku ya sikukuu zenu zilizoamriwa, katika siku za sikukuu za Bwana?
Ko tad jūs darīsiet svētkos un Tā Kunga svētā dienā?
6 Hata ikiwa wataokoka maangamizi, Misri atawakusanya, nayo Memfisi itawazika. Hazina zao za fedha zitasongwa na michongoma, nayo miiba itafunika mahema yao.
Jo redzi, tiem jāaiziet tā posta dēļ, Ēģipte tos sapulcinās, Memfisa viņus apraks. Nātres mantos viņu sudraba dārgumus, ērkšķi būs viņu dzīvokļos.
7 Siku za adhabu zinakuja, siku za malipo zimewadia. Israeli na afahamu hili. Kwa sababu dhambi zenu ni nyingi sana na uadui wenu ni mkubwa sana, nabii anadhaniwa ni mpumbavu, mtu aliyeongozwa na Mungu anaonekana mwendawazimu.
Piemeklēšanas dienas nākušas, atmaksāšanas dienas ir klāt, Israēls to samanīs! Tie pravieši ir ģeķi, tie gara vīri ir traki, - visa tava lielā nozieguma un lielā naida dēļ.
8 Nabii, pamoja na Mungu wangu, ndiye mlinzi juu ya Efraimu, hata hivyo mitego inamngojea katika mapito yake yote, na uadui katika nyumba ya Mungu wake.
Efraīms lūko manam Dievam garām, un pravieši ir palikuši par slazda valgiem uz visiem viņa ceļiem, naids ir viņu dieva namā.
9 Wamezama sana katika rushwa, kama katika siku za Gibea. Mungu atakumbuka uovu wao na kuwaadhibu kwa ajili ya dhambi zao.
Tie ir dziļi maitājušies tā kā Ģibejas dienās; viņš pieminēs viņu noziegumu, viņš piemeklēs viņu grēkus.
10 “Nilipompata Israeli, ilikuwa kama kupata zabibu jangwani; nilipowaona baba zenu, ilikuwa kama kuona matunda ya kwanza katika mtini. Lakini walipofika Baal-Peori, walijiweka wakfu kwa ile sanamu ya aibu, nao wakawa najisi kama kitu kile walichokipenda.
Es atradu Israēli kā vīna ogu ķekarus tuksnesī, Es ieraudzīju jūsu tēvus kā pirmajus augļus pie vīģes koka; bet tie nogāja pie BaālPeora un padevās tam bezkaunīgam un tapa tik neganti kā viņu drauģeļi.
11 Utukufu wa Efraimu utaruka kama ndege: hakuna kuzaa, hakuna kuchukua mimba, hakuna kutunga mimba.
Efraīma godība aizskries kā putns, ka tur ne dzemdēs, nedz taps grūtas, nedz ieņems.
12 Hata wakilea watoto, nitamuua kila mmoja. Ole wao nitakapowapiga kisogo!
Un jebšu tie savus bērnus uzaudzinātu, tomēr Es tiem tos gribu laupīt, ka cilvēku neatliek. Ak vai, tiem, kad Es no tiem būšu atstājies!
13 Nimemwona Efraimu, kama Tiro, aliyeoteshwa mahali pazuri. Lakini Efraimu wataleta watoto wao kwa mchinjaji.”
Efraīms, ko Es biju izredzējis, būt par Tiru, bija stādīts skaistā vietā, bet Efraīmam savi bērni jaiznes slepkavam.
14 Wape, Ee Bwana, je, utawapa nini? Wape matumbo ya kuharibu mimba na matiti yaliyokauka.
Dod tiem, ak Kungs! Ko lai Tu dodi? Dod tiem neauglīgas miesas un izsīkušas krūtis.
15 “Kwa sababu ya uovu wao wote huko Gilgali, niliwachukia huko. Kwa sababu ya matendo yao ya dhambi, nitawafukuza katika nyumba yangu. Sitawapenda tena, viongozi wao wote ni waasi.
Visa viņu negantība ir Gilgalā, tur Es tos ienīdēju. Viņu ļauno darbu dēļ Es tos izdzīšu no Sava nama, Es joprojām tos vairs nemīļošu; - visi viņu lielkungi ir atkāpēji.
16 Efraimu ameharibiwa, mzizi wao umenyauka, hawazai tunda. Hata kama watazaa watoto, nitawachinja watoto wao waliotunzwa vizuri.”
Efraīms ir sasists, viņu sakne ir izkaltusi; tie nenesīs nekādus augļus; un jebšu tie dzemdinātu, tomēr Es viņu miesas mīlulīšus gribu nokaut.
17 Mungu wangu atawakataa kwa sababu hawakumtii; watakuwa watu wa kutangatanga miongoni mwa mataifa.
Mans Dievs tos atmetīs, tāpēc ka tie Viņam neklausīja, un tie būs bēguļi starp tautām.