< Hosea 8 >
1 “Wekeni tarumbeta midomoni mwenu! Tai yuko juu ya nyumba ya Bwana kwa sababu watu wamevunja Agano langu, wameasi dhidi ya sheria yangu.
Sett basunen for din munn! - Som en ørn kommer fienden over Herrens hus, fordi de har brutt pakten med mig og forsyndet sig mot min lov.
2 Israeli ananililia, ‘Ee Mungu wetu, tunakukubali!’
De skal rope til mig: Min Gud! Vi israelitter kjenner dig.
3 Lakini Israeli amekataa lile lililo jema, adui atamfuatia.
Israel har støtt det gode fra sig - fienden skal forfølge ham.
4 Wanaweka wafalme bila idhini yangu, wamechagua wakuu bila kibali changu. Kwa fedha zao na dhahabu wamejitengenezea sanamu kwa ajili ya maangamizi yao wenyewe.
De har valgt sig konger, som ikke kom fra mig, de har satt inn fyrster, uten at jeg visste om det. Av sitt sølv og gull har de gjort sig avgudsbilleder, så de skulde bli utryddet.
5 Ee Samaria, tupilieni mbali sanamu yenu ya ndama! Hasira yangu inawaka dhidi yao. Watakuwa najisi mpaka lini?
Motbydelig er din kalv, Samaria! Min vrede er optendt mot dem. Hvor lenge skal renhet synes dem utålelig?
6 Zimetoka katika Israeli! Ndama huyu: ametengenezwa na fundi, si Mungu. Atavunjwa vipande vipande, yule ndama wa Samaria.
For et verk av Israel er den, en kunstner har gjort den, og den er ikke nogen gud; ja, til splinter skal den bli Samarias kalv.
7 “Wanapanda upepo na kuvuna upepo wa kisulisuli. Bua halina suke, halitatoa unga. Kama lingetoa nafaka, wageni wangeila yote.
For vind sår de, og storm skal de høste; deres korn får ikke aks, deres grøde gir ikke føde; om den gir noget, skal fremmede opsluke det.
8 Israeli amemezwa; sasa yupo miongoni mwa mataifa kama kitu kisicho na thamani.
Israel er opslukt; nu er de blandt folkene lik en ting som ingen bryr sig om;
9 Kwa kuwa wamepanda kwenda Ashuru kama punda-mwitu anayetangatanga peke yake. Efraimu amejiuza mwenyewe kwa wapenzi.
for de drog op til Assur lik et villesel, som går sine egne veier; Efra'im tinger om elskov;
10 Ingawa wamejiuza wenyewe miongoni mwa mataifa, sasa nitawakusanya pamoja. Wataanza kudhoofika chini ya uonevu wa mfalme mwenye nguvu.
men om de enn tinger blandt folkene, vil jeg nu samle dem dit, og de skal begynne å bli færre under storkongens byrder.
11 “Ingawa Efraimu alijenga madhabahu nyingi kwa ajili ya sadaka za dhambi, hizi zimekuwa madhabahu za kufanyia dhambi.
Fordi Efra'im har gjort sig så mange alter til å synde med, er de blitt ham alter til synd.
12 Nimeandika kwa ajili yao mambo mengi kuhusu sheria yangu, lakini wameziangalia kama kitu cha kigeni.
Om jeg enn skriver ham mine lover i tusentall, så blir de allikevel aktet for noget fremmed.
13 Wanatoa dhabihu nilizopewa mimi nao wanakula hiyo nyama, lakini Bwana hapendezwi nao. Sasa ataukumbuka uovu wao na kuadhibu dhambi zao: Watarudi Misri.
Som offergaver til mig ofrer de kjøtt som de selv eter; Herren har ikke behag i dem. Nu vil han komme deres misgjerning i hu og hjemsøke dem for deres synder - de skal vende tilbake til Egypten.
14 Israeli amemsahau Muumba wake na kujenga majumba ya kifalme, Yuda amejengea miji mingi ngome. Lakini nitatuma moto kwenye miji yao utakaoteketeza ngome zao.”
Israel glemte sin skaper og bygget sig palasser, og Juda bygget mange faste byer; men jeg vil sende ild mot hans byer, og den skal fortære hans palasser.