< Hosea 8 >
1 “Wekeni tarumbeta midomoni mwenu! Tai yuko juu ya nyumba ya Bwana kwa sababu watu wamevunja Agano langu, wameasi dhidi ya sheria yangu.
Basunen for din Gane! Som en Ørn over Herrens Hus! fordi de have overtraadt min Pagt og forbrudt sig imod min Lov.
2 Israeli ananililia, ‘Ee Mungu wetu, tunakukubali!’
Til mig raabe de: Min Gud! vi, Israel, kende dig.
3 Lakini Israeli amekataa lile lililo jema, adui atamfuatia.
Israel har forkastet det gode; Fjenden forfølge ham!
4 Wanaweka wafalme bila idhini yangu, wamechagua wakuu bila kibali changu. Kwa fedha zao na dhahabu wamejitengenezea sanamu kwa ajili ya maangamizi yao wenyewe.
De have indsat Konger, men ikke fra mig; de have indsat Fyrster, men jeg vidste det ikke; de have gjort sig Afguder af deres Sølv og deres Guld, for at det kan udryddes.
5 Ee Samaria, tupilieni mbali sanamu yenu ya ndama! Hasira yangu inawaka dhidi yao. Watakuwa najisi mpaka lini?
Din Kalv, Samaria! er forkastet, min Vrede er optændt imod dem, hvor længe? de taale ikke Renhed.
6 Zimetoka katika Israeli! Ndama huyu: ametengenezwa na fundi, si Mungu. Atavunjwa vipande vipande, yule ndama wa Samaria.
Thi af Israel er ogsaa den, en Mester har gjort den, og den er ikke en Gud; men til Splinter bliver Samarias Kalv.
7 “Wanapanda upepo na kuvuna upepo wa kisulisuli. Bua halina suke, halitatoa unga. Kama lingetoa nafaka, wageni wangeila yote.
Thi Vind saa de, og Storm høste de; Korn paa Roden have de ej, Grøden giver ikke Mel, og om den end giver det, skulle fremmede opsluge det.
8 Israeli amemezwa; sasa yupo miongoni mwa mataifa kama kitu kisicho na thamani.
Opslugt er Israel; nu ere de blevne iblandt Hedningerne som et Kar, hvortil ingen har Lyst.
9 Kwa kuwa wamepanda kwenda Ashuru kama punda-mwitu anayetangatanga peke yake. Efraimu amejiuza mwenyewe kwa wapenzi.
Thi de droge op til Assyrien som et Vildæsel, der gaar sine egne Veje; Efraim tingede om Elskov.
10 Ingawa wamejiuza wenyewe miongoni mwa mataifa, sasa nitawakusanya pamoja. Wataanza kudhoofika chini ya uonevu wa mfalme mwenye nguvu.
Men tinge de iblandt Folkene, saa vil jeg dog nu samle dem; og de skulle begynde at mindskes under Trykket af Fyrsternes Konge.
11 “Ingawa Efraimu alijenga madhabahu nyingi kwa ajili ya sadaka za dhambi, hizi zimekuwa madhabahu za kufanyia dhambi.
Thi Efraim byggede mange Altre til at synde ved; han har faaet Altre til at synde ved.
12 Nimeandika kwa ajili yao mambo mengi kuhusu sheria yangu, lakini wameziangalia kama kitu cha kigeni.
Jeg skriver ham mine mangfoldige Love; de ere blevne agtede som noget fremmed.
13 Wanatoa dhabihu nilizopewa mimi nao wanakula hiyo nyama, lakini Bwana hapendezwi nao. Sasa ataukumbuka uovu wao na kuadhibu dhambi zao: Watarudi Misri.
Som Ofre, de bringe mig, ofre de Kød og æde; Herren finder ikke Behag i dem; nu vil han komme deres Misgerning i Hu og hjemsøge deres Synder; de skulle komme tilbage til Ægypten.
14 Israeli amemsahau Muumba wake na kujenga majumba ya kifalme, Yuda amejengea miji mingi ngome. Lakini nitatuma moto kwenye miji yao utakaoteketeza ngome zao.”
Og Israel forglemte sin Skaber og byggede Paladser, og Juda opførte mange faste Stæder; men jeg vil sende Ild i hans Stæder, og den skal fortære hans Paladser.