< Hosea 7 >
1 kila mara nilipotaka kumponya Israeli, dhambi za Efraimu zinafichuliwa na maovu ya Samaria yanafunuliwa. Wanafanya udanganyifu, wevi huvunja nyumba, maharamia hunyangʼanya barabarani,
Quand je voulus guérir Israël, alors se révélèrent le crime d'Éphraïm et les méfaits de Samarie. Car ils font des fraudes et les voleurs s'insinuent, et des bandes de pillards se répandent au dehors.
2 lakini hawafahamu kwamba ninakumbuka matendo yao yote mabaya. Dhambi zao zimewameza, ziko mbele zangu siku zote.
Et ils ne se disent pas en leur cœur que de tous leurs crimes je garde la mémoire: or, leurs forfaits les entourent, ils sont présents à mes yeux.
3 “Wanamfurahisha sana mfalme kwa maovu yao, wakuu wao kwa uongo wao.
Par leur méchanceté ils font la joie du roi, et par leurs mensonges celle des princes.
4 Wote ni wazinzi, wanawaka kama tanuru ambayo moto wake mwokaji hana haja ya kuuchochea kuanzia kukanda unga hadi umekwisha kuumuka.
Tous ils sont adultères, comme un four chauffé par le boulanger: il cesse de le chauffer depuis qu'il pétrit la pâte jusqu'à ce qu'elle fermente.
5 Katika sikukuu ya mfalme wetu wakuu wanawaka kwa mvinyo, naye anawaunga mkono wenye mizaha.
Au jour de notre roi les princes se rendent malades dans l'ardeur de l'ivresse; il tend la main aux moqueurs.
6 Mioyo yao ni kama tanuru, wanamwendea kwa hila. Hasira yao inafoka moshi usiku kucha, wakati wa asubuhi inalipuka kama miali ya moto.
Car leur cœur est comme un four, quand ils l'appliquent à leurs embûches; toute la nuit dort leur boulanger; le matin le four brûle comme un feu allumé.
7 Wote ni moto kama tanuru; wanawaangamiza watawala wao. Wafalme wake wote wanaanguka, wala hakuna yeyote kati yao aniitaye mimi.
Tous ils sont ardents comme le four, et ils dévorent leurs juges; tous leurs rois tombent, aucun d'eux ne m'invoque!
8 “Efraimu anajichanganya na mataifa; Efraimu ni mkate ambao haukuiva.
Éphraïm aux peuples se mêle, Éphraïm est une galette qui n'est pas retournée;
9 Wageni wananyonya nguvu zake, lakini hafahamu hilo. Nywele zake zina mvi hapa na pale, lakini hana habari.
des étrangers consument sa force et il ne le sent pas; les cheveux blancs sont aussi semés sur sa tête, et il ne le sent pas.
10 Kiburi cha Israeli kinashuhudia dhidi yake, lakini pamoja na haya yote harudi kwa Bwana Mungu wake wala kumtafuta.
Ainsi l'orgueil d'Israël, s'exprime sur son visage, cependant ils ne reviennent point à l'Éternel leur Dieu, et ne le cherchent point malgré tout cela.
11 “Efraimu ni kama hua, hudanganywa kwa urahisi na hana akili: mara anaita Misri, mara anageukia Ashuru.
Et Éphraïm est comme la colombe facile à tromper, sans intelligence, ils implorent l'Egypte, vont en Assyrie.
12 Wakati watakapokwenda, nitatupa wavu wangu juu yao; nitawavuta chini waanguke kama ndege wa angani. Nitakaposikia wakikusanyika pamoja, nitawanasa.
Puisqu'ils y vont, j'étends sur eux mon filet, comme les oiseaux des Cieux je les précipite, les châtie comme je l'ai annoncé à leur assemblée!
13 Ole wao, kwa sababu wamepotoka kutoka kwangu! Maangamizi ni yao kwa sababu wameniasi! Ninatamani kuwakomboa, lakini wanasema uongo dhidi yangu.
Malheur à eux! car ils me fuient; ruine sur eux! car ils se rebellent contre moi. Moi je tente de les sauver, et eux ils se montrent menteurs pour moi;
14 Hawanililii mimi kutoka mioyoni mwao, bali wanaomboleza vitandani mwao. Hukusanyika pamoja kwa ajili ya nafaka na divai mpya, lakini hugeukia mbali nami.
ce n'est pas à moi qu'ils crient du fond de leur cœur, quand ils se lamentent sur leurs lits pour le blé et le moût; ils se détournent, s'éloignent de moi.
15 Niliwafundisha na kuwatia nguvu, lakini wanapanga mabaya dhidi yangu.
Je formai, fortifiai leurs bras, et contre moi ils méditent le mal.
16 Hawamgeukii Yeye Aliye Juu Sana, wako kama upinde wenye kasoro. Viongozi wao wataanguka kwa upanga kwa sababu ya maneno yao ya jeuri. Kwa ajili ya hili watadhihakiwa katika nchi ya Misri.
Ils se retournent, mais non pas vers les lieux très hauts; ils sont comme un arc trompeur; leurs princes périront par l'épée à cause des bravades de leur langue; c'est ce qui en fera la risée du pays d'Egypte.