< Hosea 7 >

1 kila mara nilipotaka kumponya Israeli, dhambi za Efraimu zinafichuliwa na maovu ya Samaria yanafunuliwa. Wanafanya udanganyifu, wevi huvunja nyumba, maharamia hunyangʼanya barabarani,
Keiman Israel kasuhdam nome, ahinlah achonset nao asang behsehe. Samaria hi jou le nal jeng seinaa dimset jeng ahiuve, Gucha insunga alut tan, michom ho polama ading jingui!
2 lakini hawafahamu kwamba ninakumbuka matendo yao yote mabaya. Dhambi zao zimewameza, ziko mbele zangu siku zote.
Ken kamu sohlam koiman ahedeh pouve. Achonset nauvin alonvuh dimu, kamusoh keiye.
3 “Wanamfurahisha sana mfalme kwa maovu yao, wakuu wao kwa uongo wao.
Gitlouna thil abolluvin, lengpa geiyin akipasahuvin, Lengpa chate jengin jong ajou thilbolu chu akipapiuve.
4 Wote ni wazinzi, wanawaka kama tanuru ambayo moto wake mwokaji hana haja ya kuuchochea kuanzia kukanda unga hadi umekwisha kuumuka.
Abonchauva hi mitoh kisubohsa jeng ahiuvin, Meilhum sunga kihulsa tobang jeng ahiuvin, Amahohi tapkonga meilhum asat kingah tobang chol kiso changbong akichankah kingah tobang ahiuve.
5 Katika sikukuu ya mfalme wetu wakuu wanawaka kwa mvinyo, naye anawaunga mkono wenye mizaha.
Cholngah nin leng chapten ju adonun, tot chavai hotoh totnan mi anuisat khom.
6 Mioyo yao ni kama tanuru, wanamwendea kwa hila. Hasira yao inafoka moshi usiku kucha, wakati wa asubuhi inalipuka kama miali ya moto.
Alungsungu jong lhummei salai abangin, jan khovahin lungdam mon aum’un. Jingkah leh mei salah lah bongin adiu jeju jiuve.
7 Wote ni moto kama tanuru; wanawaangamiza watawala wao. Wafalme wake wote wanaanguka, wala hakuna yeyote kati yao aniitaye mimi.
Lhumphung salai abangun, alamkai hou jong avallhum sohun, Alenghou jong aban banin athat-un, ahinlah koimachan kakoma panpina athum pouve.
8 “Efraimu anajichanganya na mataifa; Efraimu ni mkate ambao haukuiva.
Israelte namtin vaipi pathen helou hotoh akihal sohtan, Changlhah kikang min sohlou tobangbep ahitauve.
9 Wageni wananyonya nguvu zake, lakini hafahamu hilo. Nywele zake zina mvi hapa na pale, lakini hana habari.
Gamchom mite pathen ahou-uvin, atha alhalhop sahin, nahinlah amahon akihet pouve. Aluchunga asamjengjong kangsoh ding ahitan, ahinlah akihet polaiye.
10 Kiburi cha Israeli kinashuhudia dhidi yake, lakini pamoja na haya yote harudi kwa Bwana Mungu wake wala kumtafuta.
Israel kiletsahna chu amaho hehin apangin ahinla amaho Pakai henga ahung kiledeh pouvin, holding jong agong pouve.
11 “Efraimu ni kama hua, hudanganywa kwa urahisi na hana akili: mara anaita Misri, mara anageukia Ashuru.
Israel mite hi vakhu banga lungthim bei le nuijat umtah ahiuve. Egypt mitepou akouvin, Assyria gamsung lam pouva akitoluve.
12 Wakati watakapokwenda, nitatupa wavu wangu juu yao; nitawavuta chini waanguke kama ndege wa angani. Nitakaposikia wakikusanyika pamoja, nitawanasa.
Chule achunguva len kikhu khum ding, chunga leng vacha banga kamat ding ahiuve, athilse bol chengseu jeh'a kabolgim dingu ahi.
13 Ole wao, kwa sababu wamepotoka kutoka kwangu! Maangamizi ni yao kwa sababu wameniasi! Ninatamani kuwakomboa, lakini wanasema uongo dhidi yangu.
Ohe ada ahiuve, ajeh chu kakoma konin akihei manguvin, eidouvin apanguve.
14 Hawanililii mimi kutoka mioyoni mwao, bali wanaomboleza vitandani mwao. Hukusanyika pamoja kwa ajili ya nafaka na divai mpya, lakini hugeukia mbali nami.
Lung thengsellin kakoma akappouve, hiche sang chun, ajalkhun chung dunguva atouvun, angahun ahi. Amahole amaho akisun chan chanun semthu milim pathen koma henga ju akithum un, kakoma imacha athum nompuve.
15 Niliwafundisha na kuwatia nguvu, lakini wanapanga mabaya dhidi yangu.
Keiman kahiluva kahatsah nom vanguvin, kei dounan thilse agong gonguve.
16 Hawamgeukii Yeye Aliye Juu Sana, wako kama upinde wenye kasoro. Viongozi wao wataanguka kwa upanga kwa sababu ya maneno yao ya jeuri. Kwa ajili ya hili watadhihakiwa katika nchi ya Misri.
Amahon Chungnungpen velouvin, muntin avele leuvin ahi. Amaho panabei thalpi chang lengkoi lebep ahiuve, agalmi tehon alamkaihou athading. Chuteng Egypt miten anuisat diu ahi.

< Hosea 7 >