< Hosea 6 >
1 “Njooni, tumrudie Bwana. Ameturarua vipande vipande lakini atatuponya; ametujeruhi lakini atatufunga majeraha yetu.
“Gelin, RAB'be dönelim. Bizi O parçaladı, O iyileştirecek. Bizi O yaraladı, Yaramızı O saracak.
2 Baada ya siku mbili atatufufua; katika siku ya tatu atatuinua, ili tuweze kuishi mbele zake.
İki gün sonra bizi diriltecek, Üçüncü gün ayağa kaldıracak, Huzurunda yaşayalım diye.
3 Tumkubali Bwana, tukaze kumkubali yeye. Kutokea kwake ni hakika kama vile kuchomoza kwa jua; atatujia kama mvua za masika, kama vile mvua za vuli ziinyweshavyo nchi.”
RAB'bi tanıyalım, RAB'bi tanımaya gayret edelim. O tan gibi şaşmadan doğacak, Yağmur gibi, toprağı sulayan Son yağmur gibi bize gelecektir.”
4 “Nifanye nini nawe, Efraimu? Nifanye nini nawe, Yuda? Upendo wako ni kama ukungu wa asubuhi, kama umande wa alfajiri utowekao.
Tanrı şöyle diyor: “Ey Efrayim, ne yapayım sana? Ey Yahuda, sana ne yapayım? Sevginiz sabah sisine benziyor, Erkenden uçup giden çiy gibi.
5 Kwa hiyo ninawakata ninyi vipande vipande kwa kutumia manabii wangu; nimewaua ninyi kwa maneno ya kinywa changu, hukumu zangu zinawaka kama umeme juu yenu.
Bu yüzden sizi peygamberler aracılığıyla lime lime doğradım, Ağzımdan çıkan sözlerle öldürdüm; Yargılarım şimşek gibi ışıldıyor.
6 Kwa maana nataka rehema, wala si dhabihu, kumkubali Mungu zaidi kuliko sadaka za kuteketezwa.
Çünkü ben kurbandan değil, bağlılıktan hoşlanırım, Yakmalık sunulardan çok beni tanımanızı isterim.
7 Wamevunja Agano kama Adamu: huko hawakuwa waaminifu kwangu.
Oysa onlar Adam Kenti'nde Antlaşmaya uymadılar, Orada bana ihanet ettiler.
8 Gileadi ni mji wenye watu waovu, umetiwa madoa kwa nyayo za damu.
Gilat kötülük yapanların kentidir, Kan izleriyle doludur.
9 Kama wanyangʼanyi wamviziavyo mtu, ndivyo magenge ya makuhani wafanyavyo; wanaulia watu kwenye njia iendayo Shekemu, wakifanya uhalifu wa aibu.
Haydut çeteleri nasıl pusuya yatarsa, Kâhinler takımı da öyle; Şekem yolunda adam öldürüyor, Rezillik yapıyorlar.
10 Nimeona jambo la kutisha katika nyumba ya Israeli. Huko Efraimu amejitolea kwa ukahaba na Israeli amenajisika.
İsrail halkında korkunç bir şey gördüm. Efrayim zinaya kapılmış, Kirlenmiş İsrail.
11 “Pia kwa ajili yako, Yuda, mavuno yameamriwa. “Wakati wowote ningerejesha neema ya watu wangu,
“Ey Yahuda, senin için de bir hasat günü saptandı. “Ne zaman halkımın durumunu düzeltmek,