< Hosea 6 >
1 “Njooni, tumrudie Bwana. Ameturarua vipande vipande lakini atatuponya; ametujeruhi lakini atatufunga majeraha yetu.
Isala: ili dunu da amane sia: sa, “Ninia da Hina Godema sinidigimu. E da ninima se iasu. Be E da dafawane nini uhinisimu. E da nini fofa: ginisi, be E da nini fofa: gi amo lala: gilisimu.
2 Baada ya siku mbili atatufufua; katika siku ya tatu atatuinua, ili tuweze kuishi mbele zake.
E da eso aduna o udiana ouesalu, nini bu wa: lesimu. Amasea, ninia da Ea midadi amoga bu esalumu.
3 Tumkubali Bwana, tukaze kumkubali yeye. Kutokea kwake ni hakika kama vile kuchomoza kwa jua; atatujia kama mvua za masika, kama vile mvua za vuli ziinyweshavyo nchi.”
Ninia Hina Gode da Godedafa sia: mu da defea. Eso huluane amoga, hehebolo da maha amola woufo mubi galu gibu da mae yolele osoboga daha. Amo defele, Hina Gode da ninima bu misunu.”
4 “Nifanye nini nawe, Efraimu? Nifanye nini nawe, Yuda? Upendo wako ni kama ukungu wa asubuhi, kama umande wa alfajiri utowekao.
Be Hina Gode da amane sia: sa, “Isala: ili amola Yuda! Na da alima adi hamoma: bela: ? Alia Nama asigi hou da hahabe mobi defele hedolowane geasa. Amola alia Nama asigi hou da oubi baea amo da hahabe hedolowane geabe defele ba: sa.
5 Kwa hiyo ninawakata ninyi vipande vipande kwa kutumia manabii wangu; nimewaua ninyi kwa maneno ya kinywa changu, hukumu zangu zinawaka kama umeme juu yenu.
Amaiba: le, Na da Na balofede dunu alima Na wadela: lesimusa: sia: ne iasu ima: ne asunasi dagoi. Alia da Nama sinidigimu Na da hanai. Amola Na da moloiwane amo hou alima olelei, amane.
6 Kwa maana nataka rehema, wala si dhabihu, kumkubali Mungu zaidi kuliko sadaka za kuteketezwa.
Na da alia Nama mae yolele asigi hou amo hanai gala. Be alia ohe gobele salasu Na higasa. Na fi dunu da ilia asigi dawa: su ganodini Na hou dawa: mu, amo da ohe gobele salasu hou baligisa.
7 Wamevunja Agano kama Adamu: huko hawakuwa waaminifu kwangu.
Be Na fi dunu da Ga: ina: ne soge ganodini sa: ili, A:dame moilaiga doaga: le, ilia da Na gousa: su hamoi hedolowane giadofai.
8 Gileadi ni mji wenye watu waovu, umetiwa madoa kwa nyayo za damu.
Gilia: de soge da wadela: i hamosu dunu amola fane legesu dunu amoga nabai gala.
9 Kama wanyangʼanyi wamviziavyo mtu, ndivyo magenge ya makuhani wafanyavyo; wanaulia watu kwenye njia iendayo Shekemu, wakifanya uhalifu wa aibu.
Gobele salasu dunu da wamolasu dunu gilisisu amo da logoga desegaligi dialebe agoane ba: sa. Ilia da Siegeme hadigi sogebi ahoasu logo amogawi fane legesu hou hamonana. Amola ilia da amo hanaiba: le hamosa.
10 Nimeona jambo la kutisha katika nyumba ya Israeli. Huko Efraimu amejitolea kwa ukahaba na Israeli amenajisika.
Na da Isala: ili soge ganodini wadela: idafa liligi ba: i dagoi. Na fi dunu ilila: da loboga hamoi ‘gode’ ilima nodone sia: ne gadoiba: le, ilia hou wadela: lesi dagoi.
11 “Pia kwa ajili yako, Yuda, mavuno yameamriwa. “Wakati wowote ningerejesha neema ya watu wangu,
Amola dilia Yuda fi dunu! Dilia da wadela: i hou hamobeba: le Na da dilima amolawane se imunusa: eso ilegei dagoi.”