< Hosea 4 >

1 Sikieni neno la Bwana, enyi Waisraeli, kwa sababu Bwana analo shtaka dhidi yenu ninyi mnaoishi katika nchi: “Hakuna uaminifu, hakuna upendo, hakuna kumjua Mungu katika nchi.
Écoutez la parole de Yahweh, enfants d’Israël; car Yahweh a un procès avec les habitants du pays. Car il n’y a ni vérité, ni compassion, ni connaissance de Dieu dans le pays.
2 Kuna kulaani tu, uongo na uuaji, wizi na uzinzi, bila kuwa na mipaka, nao umwagaji damu mmoja baada ya mwingine.
On se parjure, on ment, on tue, on vole, on commet l’adultère; ils font violence, et le sang versé touche le sang versé.
3 Kwa sababu hii nchi huomboleza, wote waishio ndani mwake wanadhoofika, wanyama wa kondeni, ndege wa angani na samaki wa baharini wanakufa.
C’est pourquoi le pays est dans le deuil, et quiconque y habite est sans force, jusqu’aux bêtes des champs et aux oiseaux du ciel; même les poissons de la mer disparaissent.
4 “Lakini mtu awaye yote na asilete shtaka, mtu yeyote na asimlaumu mwenzake, kwa maana watu wako ni kama wale waletao mashtaka dhidi ya kuhani.
Mais que nul ne conteste, et que nul ne réclame! Car ton peuple est comme ceux qui auraient un procès avec le prêtre.
5 Unajikwaa usiku na mchana, nao manabii hujikwaa pamoja nawe. Kwa hiyo nitamwangamiza mama yako:
Tu trébucheras pendant le jour, le prophète aussi trébuchera avec toi pendant la nuit; et je ferai périr ta mère.
6 watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa, “Kwa kuwa wewe umeyakataa maarifa, mimi nami nitakukataa wewe usiwe kuhani kwangu mimi; kwa kuwa umeacha kuijali sheria ya Mungu wako mimi nami sitawajali watoto wako.
Mon peuple périt faute de connaissance; parce que tu as rejeté la connaissance, je te rejetterai de mon sacerdoce. Tu as oublié la loi de ton Dieu; moi aussi, j’oublierai tes enfants.
7 Kadiri makuhani walivyoongezeka, ndivyo walivyozidi kutenda dhambi dhidi yangu, walibadilisha utukufu wao kwa kitu cha aibu.
Tant qu’ils sont, ils ont péché contre moi; je changerai leur gloire en ignominie.
8 Hujilisha dhambi za watu wangu na kupendezwa na uovu wao.
Ils se repaissent des péchés de mon peuple, ils ne désirent que ses iniquités.
9 Hata itakuwa: Kama walivyo watu, ndivyo walivyo makuhani. Nitawaadhibu wote wawili kwa ajili ya njia zao na kuwalipa kwa matendo yao.
Il en sera du prêtre comme du peuple; je vengerai sur lui ses voies, et je ferai retomber sur lui ses œuvres.
10 “Watakula lakini hawatashiba; watajiingiza katika ukahaba lakini hawataongezeka, kwa sababu wamemwacha Bwana na kujiingiza wenyewe
Ils mangeront et ne seront pas rassasiés, ils se prostitueront et ne se multiplieront pas; car ils ont abandonné Yahweh pour ne plus le servir.
11 katika ukahaba, divai ya zamani na divai mpya, ambavyo huondoa ufahamu
La luxure, le vin et le moût enlèvent le sens.
12 wa watu wangu. Hutaka shauri kutoka kwa sanamu ya mti nao hujibiwa na fimbo ya mti. Roho ya ukahaba imewapotosha, hawana uaminifu kwa Mungu wao.
Mon peuple consulte son bois, et son bâton lui apprend l’avenir; car un esprit de prostitution les a égarés, et ils se sont prostitués loin de leur Dieu.
13 Wanatoa dhabihu juu ya vilele vya milima na sadaka za kuteketezwa juu ya vilima, chini ya mialoni, milibua na miela, ambako kuna vivuli vizuri. Kwa hiyo binti zenu wamegeukia ukahaba na wake za wana wenu uzinzi.
Ils offrent des sacrifices sur les sommets des montagnes, et ils brûlent de l’encens sur les collines, sous le chêne, le peuplier, le térébinthe, parce que l’ombrage en est bon. C’est pourquoi, si vos filles se prostituent, et si vos jeunes femmes sont adultères,
14 “Sitawaadhibu binti zenu wakati wanapogeukia ukahaba, wala wake za wana wenu wanapofanya uzinzi, kwa sababu wanaume wenyewe huandamana na malaya na kutambikia pamoja na makahaba wa mahali pa kuabudia miungu: watu wasiokuwa na ufahamu wataangamia!
je ne punirai pas vos filles parce qu’elles se sont prostituées, ni vos jeunes brus pour leurs adultères; car eux-mêmes vont à l’écart avec les prostituées, et sacrifient avec les courtisanes. Et le peuple sans intelligence court à sa perte.
15 “Ingawa umefanya uzinzi, ee Israeli, Yuda naye asije akawa na hatia. “Usiende Gilgali, usipande kwenda Beth-Aveni Wala usiape, ‘Hakika kama Bwana aishivyo!’
Si tu te prostitues, Ô Israël, que Juda ne se rende point coupable! Ne venez pas à Galgala, et ne montez pas à Bethaven, et ne jurez pas en disant: « Yahweh est vivant! »
16 Waisraeli ni wakaidi, kama mtamba wa ngʼombe ambaye ni mkaidi. Ni jinsi gani basi Bwana anaweza kuwachunga kama wana-kondoo katika shamba la majani?
Parce que pareil à une génisse rétive, Israël a été rétif, maintenant Yahweh les fera paître, comme des agneaux, dans une plaine ouverte.
17 Efraimu amejiunga na sanamu, ondokana naye!
Éphraïm est attaché aux idoles; laisse-le!
18 Hata wakati wamemaliza vileo vyao wanaendelea na ukahaba wao, watawala wao hupenda sana njia za aibu.
Dès qu’ils ont fini de boire, ils se livrent à la prostitution; leurs chefs n’aspirent qu’à l’ignominie.
19 Kisulisuli kitawafagilia mbali na dhabihu zao zitawaletea aibu.
Le vent les a enserrés dans ses ailes, et ils seront confus à cause de leurs sacrifices.

< Hosea 4 >