< Hosea 4 >

1 Sikieni neno la Bwana, enyi Waisraeli, kwa sababu Bwana analo shtaka dhidi yenu ninyi mnaoishi katika nchi: “Hakuna uaminifu, hakuna upendo, hakuna kumjua Mungu katika nchi.
Écoutez la parole de Yahvé, enfants d'Israël, car Yahvé a une charge contre les habitants du pays: « En effet, il n'y a pas de vérité, ni de bonté, ni la connaissance de Dieu dans le pays.
2 Kuna kulaani tu, uongo na uuaji, wizi na uzinzi, bila kuwa na mipaka, nao umwagaji damu mmoja baada ya mwingine.
Il y a la malédiction, le mensonge, le meurtre, le vol et l'adultère; ils brisent les frontières, et les effusions de sang provoquent des effusions de sang.
3 Kwa sababu hii nchi huomboleza, wote waishio ndani mwake wanadhoofika, wanyama wa kondeni, ndege wa angani na samaki wa baharini wanakufa.
C'est pourquoi le pays sera dans le deuil, et tous ceux qui l'habitent dépériront, avec tous les êtres vivants en elle, même les animaux des champs et les oiseaux du ciel; oui, les poissons de la mer meurent aussi.
4 “Lakini mtu awaye yote na asilete shtaka, mtu yeyote na asimlaumu mwenzake, kwa maana watu wako ni kama wale waletao mashtaka dhidi ya kuhani.
« Que personne ne porte plainte, que personne n'accuse; car ton peuple est comme ceux qui portent plainte contre un prêtre.
5 Unajikwaa usiku na mchana, nao manabii hujikwaa pamoja nawe. Kwa hiyo nitamwangamiza mama yako:
Vous trébucherez le jour, et le prophète aussi trébuchera avec vous dans la nuit; et je détruirai ta mère.
6 watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa, “Kwa kuwa wewe umeyakataa maarifa, mimi nami nitakukataa wewe usiwe kuhani kwangu mimi; kwa kuwa umeacha kuijali sheria ya Mungu wako mimi nami sitawajali watoto wako.
Mon peuple est détruit par manque de connaissance. Parce que vous avez rejeté la connaissance, je vous rejetterai aussi, pour que vous ne soyez pas un prêtre pour moi. Parce que vous avez oublié la loi de votre Dieu, J'oublierai aussi vos enfants.
7 Kadiri makuhani walivyoongezeka, ndivyo walivyozidi kutenda dhambi dhidi yangu, walibadilisha utukufu wao kwa kitu cha aibu.
Comme ils se sont multipliés, ils ont péché contre moi. Je changerai leur gloire en honte.
8 Hujilisha dhambi za watu wangu na kupendezwa na uovu wao.
Ils se nourrissent du péché de mon peuple, et ont mis leur cœur dans leur iniquité.
9 Hata itakuwa: Kama walivyo watu, ndivyo walivyo makuhani. Nitawaadhibu wote wawili kwa ajili ya njia zao na kuwalipa kwa matendo yao.
Il sera comme un peuple, comme un prêtre; et je les punirai pour leur conduite, et leur rendra la monnaie de leur pièce.
10 “Watakula lakini hawatashiba; watajiingiza katika ukahaba lakini hawataongezeka, kwa sababu wamemwacha Bwana na kujiingiza wenyewe
Ils mangeront, et n'auront pas assez. Ils joueront les prostituées, et n'augmenteront pas; parce qu'ils ont abandonné l'écoute de Yahvé.
11 katika ukahaba, divai ya zamani na divai mpya, ambavyo huondoa ufahamu
La prostitution, le vin et le vin nouveau enlèvent l'intelligence.
12 wa watu wangu. Hutaka shauri kutoka kwa sanamu ya mti nao hujibiwa na fimbo ya mti. Roho ya ukahaba imewapotosha, hawana uaminifu kwa Mungu wao.
Mon peuple consulte son idole de bois, et répondre à un bâton de bois. En effet, l'esprit de prostitution les a égarés, et ils ont été infidèles à leur Dieu.
13 Wanatoa dhabihu juu ya vilele vya milima na sadaka za kuteketezwa juu ya vilima, chini ya mialoni, milibua na miela, ambako kuna vivuli vizuri. Kwa hiyo binti zenu wamegeukia ukahaba na wake za wana wenu uzinzi.
Ils sacrifient sur les sommets des montagnes, et brûlent de l'encens sur les collines, sous les chênes, les peupliers et les térébinthes, parce que sa teinte est bonne. C'est pourquoi vos filles jouent les prostituées, et vos épouses commettent l'adultère.
14 “Sitawaadhibu binti zenu wakati wanapogeukia ukahaba, wala wake za wana wenu wanapofanya uzinzi, kwa sababu wanaume wenyewe huandamana na malaya na kutambikia pamoja na makahaba wa mahali pa kuabudia miungu: watu wasiokuwa na ufahamu wataangamia!
Je ne punirai pas vos filles lorsqu'elles se prostituent, ni vos épouses quand elles commettent l'adultère; parce que les hommes fréquentent des prostituées, et ils sacrifient avec les prostituées du sanctuaire; ainsi les gens sans compréhension viendront à la ruine.
15 “Ingawa umefanya uzinzi, ee Israeli, Yuda naye asije akawa na hatia. “Usiende Gilgali, usipande kwenda Beth-Aveni Wala usiape, ‘Hakika kama Bwana aishivyo!’
« Bien que toi, Israël, tu joues les prostituées, mais ne laissez pas Judah s'offenser; et ne venez pas à Gilgal, ni aller jusqu'à Beth Aven, ni de jurer: « Comme Yahvé vit ».
16 Waisraeli ni wakaidi, kama mtamba wa ngʼombe ambaye ni mkaidi. Ni jinsi gani basi Bwana anaweza kuwachunga kama wana-kondoo katika shamba la majani?
Car Israël s'est montré extrêmement têtu, comme une génisse obstinée. Alors comment Yahvé les nourrira-t-il comme un agneau dans une prairie?
17 Efraimu amejiunga na sanamu, ondokana naye!
Ephraïm est attaché aux idoles. Laissez-le tranquille!
18 Hata wakati wamemaliza vileo vyao wanaendelea na ukahaba wao, watawala wao hupenda sana njia za aibu.
Leur boisson est devenue aigre. Ils jouent continuellement la prostituée. Ses gouvernants aiment beaucoup leur manière honteuse.
19 Kisulisuli kitawafagilia mbali na dhabihu zao zitawaletea aibu.
Le vent l'a enveloppée dans ses ailes; et ils seront déçus à cause de leurs sacrifices.

< Hosea 4 >