< Hosea 4 >
1 Sikieni neno la Bwana, enyi Waisraeli, kwa sababu Bwana analo shtaka dhidi yenu ninyi mnaoishi katika nchi: “Hakuna uaminifu, hakuna upendo, hakuna kumjua Mungu katika nchi.
Čujte riječ Jahvinu, sinovi Izraelovi, jer Jahve se parbi sa stanovnicima zemlje.
2 Kuna kulaani tu, uongo na uuaji, wizi na uzinzi, bila kuwa na mipaka, nao umwagaji damu mmoja baada ya mwingine.
Nema više vjernosti, nema ljubavi, nema znanja Božjega u zemlji, već proklinjanje i laž, ubijanje i krađa, preljub i nasilje, jedna krv drugu stiže.
3 Kwa sababu hii nchi huomboleza, wote waishio ndani mwake wanadhoofika, wanyama wa kondeni, ndege wa angani na samaki wa baharini wanakufa.
Stoga tuguje zemlja i ginu svi stanovnici s poljskim zvijerima i pticama nebeskim te ugibaju i ribe u moru.
4 “Lakini mtu awaye yote na asilete shtaka, mtu yeyote na asimlaumu mwenzake, kwa maana watu wako ni kama wale waletao mashtaka dhidi ya kuhani.
Ipak neka se nitko ne parbi, neka nitko ne kori! Ali s tobom se moram parbiti, svećeniče.
5 Unajikwaa usiku na mchana, nao manabii hujikwaa pamoja nawe. Kwa hiyo nitamwangamiza mama yako:
Danju ti posrćeš, a noću s tobom posrće i prorok; pogubit ću mater tvoju.
6 watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa, “Kwa kuwa wewe umeyakataa maarifa, mimi nami nitakukataa wewe usiwe kuhani kwangu mimi; kwa kuwa umeacha kuijali sheria ya Mungu wako mimi nami sitawajali watoto wako.
Moj narod gine: nema znanja; jer si ti znanje odbacio, i ja odbacujem tebe iz svećenstva svoga; jer si Zakon svoga Boga zaboravio, i ja ću tvoje zaboraviti sinove.
7 Kadiri makuhani walivyoongezeka, ndivyo walivyozidi kutenda dhambi dhidi yangu, walibadilisha utukufu wao kwa kitu cha aibu.
Što ih je više bivalo, više su protiv mene griješili, Slavu su svoju Sramotom zamijenili.
8 Hujilisha dhambi za watu wangu na kupendezwa na uovu wao.
Grijesima mog naroda oni se hrane, duša im hlepi za bezakonjem njegovim.
9 Hata itakuwa: Kama walivyo watu, ndivyo walivyo makuhani. Nitawaadhibu wote wawili kwa ajili ya njia zao na kuwalipa kwa matendo yao.
I sa svećenikom bit će k'o i s narodom; kaznit ću ga za njegove putove i naplatit ću mu za njegova djela.
10 “Watakula lakini hawatashiba; watajiingiza katika ukahaba lakini hawataongezeka, kwa sababu wamemwacha Bwana na kujiingiza wenyewe
Jest će, ali se nasititi neće; bludničit će, ali se neće množiti, jer oni su prestali štovati Jahvu -
11 katika ukahaba, divai ya zamani na divai mpya, ambavyo huondoa ufahamu
blud, mošt i vino zarobiše im srce.
12 wa watu wangu. Hutaka shauri kutoka kwa sanamu ya mti nao hujibiwa na fimbo ya mti. Roho ya ukahaba imewapotosha, hawana uaminifu kwa Mungu wao.
Narod moj savjet traži od drva, palica mu njegova daje odgovore: jer duh razvratni njih zavodi te se od Boga svoga bludu odaju.
13 Wanatoa dhabihu juu ya vilele vya milima na sadaka za kuteketezwa juu ya vilima, chini ya mialoni, milibua na miela, ambako kuna vivuli vizuri. Kwa hiyo binti zenu wamegeukia ukahaba na wake za wana wenu uzinzi.
Oni žrtvuju na gorskim vrhuncima i na bregovima pale kad, pod hrastom, jablanom i dubom; jer je tako lagodno pod njihovom sjenom. I zato, odaju li se vaše kćeri bludu, čine li preljub vaše nevjeste,
14 “Sitawaadhibu binti zenu wakati wanapogeukia ukahaba, wala wake za wana wenu wanapofanya uzinzi, kwa sababu wanaume wenyewe huandamana na malaya na kutambikia pamoja na makahaba wa mahali pa kuabudia miungu: watu wasiokuwa na ufahamu wataangamia!
neću vam kazniti kćeri što bludniče niti nevjeste vaše što preljub čine; jer oni sami idu nasamo s bludnicama i žrtvuju s milosnicama hramskim. Tako, bez razuma narod u propast srlja!
15 “Ingawa umefanya uzinzi, ee Israeli, Yuda naye asije akawa na hatia. “Usiende Gilgali, usipande kwenda Beth-Aveni Wala usiape, ‘Hakika kama Bwana aishivyo!’
Ako li se ti bludu odaješ, Izraele, neka bar Juda ne griješi! I ne idite u Gilgal, ne penjite se u Bet Aven, ne kunite se “živoga mi Jahve.”
16 Waisraeli ni wakaidi, kama mtamba wa ngʼombe ambaye ni mkaidi. Ni jinsi gani basi Bwana anaweza kuwachunga kama wana-kondoo katika shamba la majani?
Jer poput junice tvrdoglave Izrael tvrdoglav postade, pa kako da ga Jahve sad pase k'o janje na prostranoj livadi?
17 Efraimu amejiunga na sanamu, ondokana naye!
Efrajim se udružio s kumirima: pusti ga!
18 Hata wakati wamemaliza vileo vyao wanaendelea na ukahaba wao, watawala wao hupenda sana njia za aibu.
A kad završe pijanku, bluda se prihvaćaju, Sramotu vole više nego Slavu svoju.
19 Kisulisuli kitawafagilia mbali na dhabihu zao zitawaletea aibu.
Vihor će ih svojim krilima stegnuti i njihovi će ih osramotit' žrtvenici.