< Hosea 4 >
1 Sikieni neno la Bwana, enyi Waisraeli, kwa sababu Bwana analo shtaka dhidi yenu ninyi mnaoishi katika nchi: “Hakuna uaminifu, hakuna upendo, hakuna kumjua Mungu katika nchi.
Pakai thusei ngaiyuvin, O Israel mite! Ajeh chu Pakaiyin gamsunga chengte toh kinelna khat aneiye. “Kitahna aumpoi, kikhotona jong aumpoi, nagamsunguva Pathen hetna jong aumpoi.
2 Kuna kulaani tu, uongo na uuaji, wizi na uzinzi, bila kuwa na mipaka, nao umwagaji damu mmoja baada ya mwingine.
Kihahselna jeng alengin, jouthu jeng akiseiyin, na kithatun chule naguchauvin, jonthanhoi nabollun, muntin jousea nakisatun, khatle khat nakithat touvin ahi.
3 Kwa sababu hii nchi huomboleza, wote waishio ndani mwake wanadhoofika, wanyama wa kondeni, ndege wa angani na samaki wa baharini wanakufa.
Hijeh chun nagamsungu hi mihem lunghem bangin alunghemtan, gamsunga cheng miho jong alunggimsoh tauve. Chule mijousen phat namoh mansahuvin, gamlaha gamsaho jeng jong alunghem sohtauvin, chunga leng vachate jengjong alunghem gamtauve. Twilaha nga ho jeng jong, aum gam tapouve.
4 “Lakini mtu awaye yote na asilete shtaka, mtu yeyote na asimlaumu mwenzake, kwa maana watu wako ni kama wale waletao mashtaka dhidi ya kuhani.
Koimacha nakhutjungin koh hihin, chule akiheh tojong koima umda jenghen! Ajeh chu keitoh kinelkal, nangjoh nahi, vo thempu.
5 Unajikwaa usiku na mchana, nao manabii hujikwaa pamoja nawe. Kwa hiyo nitamwangamiza mama yako:
Hijeha chu sunlai changa jong nakipal lhuh ding, jan tengle themgao pa jong nakipal lhuh tha ding ahi.
6 watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa, “Kwa kuwa wewe umeyakataa maarifa, mimi nami nitakukataa wewe usiwe kuhani kwangu mimi; kwa kuwa umeacha kuijali sheria ya Mungu wako mimi nami sitawajali watoto wako.
Kamite chu hetna alhahsam jeh'un amang gam tauve.
7 Kadiri makuhani walivyoongezeka, ndivyo walivyozidi kutenda dhambi dhidi yangu, walibadilisha utukufu wao kwa kitu cha aibu.
Thempu atam chenin, chonse kei douding atame.
8 Hujilisha dhambi za watu wangu na kupendezwa na uovu wao.
Miten chonset thilto ahin pohlut chanin, thempuho athaouve.
9 Hata itakuwa: Kama walivyo watu, ndivyo walivyo makuhani. Nitawaadhibu wote wawili kwa ajili ya njia zao na kuwalipa kwa matendo yao.
Chule thempun bolkhat aneile, mipiten jong abolluve.
10 “Watakula lakini hawatashiba; watajiingiza katika ukahaba lakini hawataongezeka, kwa sababu wamemwacha Bwana na kujiingiza wenyewe
Amahon neuvintin, ahijeng vanga gilkel ding ahiuve. Notin panguvin tin hinlah pungthei lou ding ahiuve. Ajeh chu Pakai dalhan notia pang dingin, donlouvin akoitauve.
11 katika ukahaba, divai ya zamani na divai mpya, ambavyo huondoa ufahamu
Ju jeng, juthah jeng adonuvin, jun kamite aguhmang ahitai.
12 wa watu wangu. Hutaka shauri kutoka kwa sanamu ya mti nao hujibiwa na fimbo ya mti. Roho ya ukahaba imewapotosha, hawana uaminifu kwa Mungu wao.
Amahon thing khat pou adongun, molkang khattouvin akhonung thu-u aseipeh theiding atahsanun ahi. Milim doihou angaichat chun, angolsah-u ahitai. Amahon noti hi akichepnauvin, pathen dang ajenun ahi.
13 Wanatoa dhabihu juu ya vilele vya milima na sadaka za kuteketezwa juu ya vilima, chini ya mialoni, milibua na miela, ambako kuna vivuli vizuri. Kwa hiyo binti zenu wamegeukia ukahaba na wake za wana wenu uzinzi.
Amahon molsangvumah, kilhainan gan athatuve. Amaho lhangvumah akaltouvun, gimnamtwi ahaluve.
14 “Sitawaadhibu binti zenu wakati wanapogeukia ukahaba, wala wake za wana wenu wanapofanya uzinzi, kwa sababu wanaume wenyewe huandamana na malaya na kutambikia pamoja na makahaba wa mahali pa kuabudia miungu: watu wasiokuwa na ufahamu wataangamia!
Ahinlah ibola kagimbol dingham natia apanu leh ajon thanhoi jeh-a? O hetna lhasam mingol ho! thil hetkhanna nanotthap tauve. Namiten jong amaho bol bang bang abolluvin ahi.
15 “Ingawa umefanya uzinzi, ee Israeli, Yuda naye asije akawa na hatia. “Usiende Gilgali, usipande kwenda Beth-Aveni Wala usiape, ‘Hakika kama Bwana aishivyo!’
Israel, nang notin pangjeng jongle chun, Juda vang themmo chansah loujenin. Gilgal khopia hunglut dan, Beth-aven a jong hung lutdan.
16 Waisraeli ni wakaidi, kama mtamba wa ngʼombe ambaye ni mkaidi. Ni jinsi gani basi Bwana anaweza kuwachunga kama wana-kondoo katika shamba la majani?
Bongla gol louchal bangin Israel hi alou challe. Pakaiyin hamhing gam lentaha kelngoi avah banga, Israelte hi avah jing jeng ding hinam ong?
17 Efraimu amejiunga na sanamu, ondokana naye!
Israel hi achangin dalhan, ajeh chu amahi jonthanhoi toh kicheng ahitai.
18 Hata wakati wamemaliza vileo vyao wanaendelea na ukahaba wao, watawala wao hupenda sana njia za aibu.
Jukham hon khat chu noti ho toh alumkhomtauve. Aloupi diu sangin ajachat diu adeijouve.
19 Kisulisuli kitawafagilia mbali na dhabihu zao zitawaletea aibu.
Khoppi huijin alhaving tenin achun chah kheh in Maicham hijat asemthu jouse jeh'a hi kijumso diu ahi.