< Hosea 4 >

1 Sikieni neno la Bwana, enyi Waisraeli, kwa sababu Bwana analo shtaka dhidi yenu ninyi mnaoishi katika nchi: “Hakuna uaminifu, hakuna upendo, hakuna kumjua Mungu katika nchi.
BOEIPA ol he Israel ca rhoek loh ya saeh. BOEIPA kah tuituknah te diklai khosa taengah om coeng. Oltak tal tih sitlohnah tal coeng. Diklai ah Pathen mingnah khaw tal coeng.
2 Kuna kulaani tu, uongo na uuaji, wizi na uzinzi, bila kuwa na mipaka, nao umwagaji damu mmoja baada ya mwingine.
Tap ham neh basa ham, ngawn ham neh huen hamla, samphaih ham a phae uh tih thii te thii la a kap sakuh.
3 Kwa sababu hii nchi huomboleza, wote waishio ndani mwake wanadhoofika, wanyama wa kondeni, ndege wa angani na samaki wa baharini wanakufa.
Te dongah khohmuen loh nguekcoi tih a khuikah khosa boeih khaw tahah coeng. Diklai mulhing neh vaan kah vaa khaw, tuitunli kah nga khaw khum coeng.
4 “Lakini mtu awaye yote na asilete shtaka, mtu yeyote na asimlaumu mwenzake, kwa maana watu wako ni kama wale waletao mashtaka dhidi ya kuhani.
Tedae hlang loh ho boel saeh lamtah hlang loh tluung boel saeh. Na pilnam khaw khosoih kah a ho bangla om coeng.
5 Unajikwaa usiku na mchana, nao manabii hujikwaa pamoja nawe. Kwa hiyo nitamwangamiza mama yako:
Khothaih ah na paloe vetih na taengkah tonghma khaw khoyin ah paloe ni. Te vaengah na manu te ka hmata sak ni.
6 watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa, “Kwa kuwa wewe umeyakataa maarifa, mimi nami nitakukataa wewe usiwe kuhani kwangu mimi; kwa kuwa umeacha kuijali sheria ya Mungu wako mimi nami sitawajali watoto wako.
Mingnah a tal lamloh ka pilnam hmata uh coeng. Nang loh mingnah na hnawt dongah nang te ka khosoih lamloh kan hnawt. Na Pathen kah olkhueng na hnilh dongah kai long khaw na ca rhoek te ka hnilh ni.
7 Kadiri makuhani walivyoongezeka, ndivyo walivyozidi kutenda dhambi dhidi yangu, walibadilisha utukufu wao kwa kitu cha aibu.
A pungtai uh bangla kai taengah a tholh dongah amih thangpomnah te yahpohnah neh ka tho pah.
8 Hujilisha dhambi za watu wangu na kupendezwa na uovu wao.
Ka pilnam kah boirhaem maeh a caak tih amih kathaesainah dongah a hinglu a phueih uh.
9 Hata itakuwa: Kama walivyo watu, ndivyo walivyo makuhani. Nitawaadhibu wote wawili kwa ajili ya njia zao na kuwalipa kwa matendo yao.
Te dongah pilnam bangla khosoih khaw om boeiloeih coeng. Anih te a longpuei ka cawh vetih a khoboe bangla amah te ka thuung ni.
10 “Watakula lakini hawatashiba; watajiingiza katika ukahaba lakini hawataongezeka, kwa sababu wamemwacha Bwana na kujiingiza wenyewe
BOEIPA te hnawt hamla a dawn uh dongah ca uh cakhaw uh hah uh mahpawh. Cukhalh uh cakhaw pungtai uh mahpawh.
11 katika ukahaba, divai ya zamani na divai mpya, ambavyo huondoa ufahamu
Pumyoihnah, misurrhuem neh misur thai loh lungbuei ni a loh.
12 wa watu wangu. Hutaka shauri kutoka kwa sanamu ya mti nao hujibiwa na fimbo ya mti. Roho ya ukahaba imewapotosha, hawana uaminifu kwa Mungu wao.
Ka pilnam loh a thingngo te a dawt tih a conghol loh anih ham a thui pah. Pumyoihnah mueihla dongah kho a hmang tih a Pathen hnuk lamloh cukhalh uh.
13 Wanatoa dhabihu juu ya vilele vya milima na sadaka za kuteketezwa juu ya vilima, chini ya mialoni, milibua na miela, ambako kuna vivuli vizuri. Kwa hiyo binti zenu wamegeukia ukahaba na wake za wana wenu uzinzi.
Tlang soi ah a nawn uh tih som kah thingnu, khabok neh rhokael hmui he a hlip a then dongah a phum uh. He dongah ni na tanu rhoek loh cukhalh uh tih na langa rhoek khaw a samphaih uh.
14 “Sitawaadhibu binti zenu wakati wanapogeukia ukahaba, wala wake za wana wenu wanapofanya uzinzi, kwa sababu wanaume wenyewe huandamana na malaya na kutambikia pamoja na makahaba wa mahali pa kuabudia miungu: watu wasiokuwa na ufahamu wataangamia!
Na tanu te cukhalh uh tih na langa rhoek te a samphaih vaengah ka cawh mahpawt nim? Amih te pumyoi rhoek neh pam uh tih hlanghalh rhoek taengah a nawn uh. Tedae pilnam khaw a yakming pawt dongah caehdoelh ni.
15 “Ingawa umefanya uzinzi, ee Israeli, Yuda naye asije akawa na hatia. “Usiende Gilgali, usipande kwenda Beth-Aveni Wala usiape, ‘Hakika kama Bwana aishivyo!’
Israel nang na cukhalh akhaw Judah te boe pawt lah mako. Gilgal te paan boel lamtah Bethaven la cet boeh. BOEIPA kah hingnah te toemngam uh boeh.
16 Waisraeli ni wakaidi, kama mtamba wa ngʼombe ambaye ni mkaidi. Ni jinsi gani basi Bwana anaweza kuwachunga kama wana-kondoo katika shamba la majani?
Israel kah thinthah, thinthah rhoe mah vaito banghui pawni. Amih te BOEIPA loh tuca bangla a hoengpoeknah ah a luem sak coeng dae ta.
17 Efraimu amejiunga na sanamu, ondokana naye!
Muei aka sun Ephraim aw anih te toeng laeh.
18 Hata wakati wamemaliza vileo vyao wanaendelea na ukahaba wao, watawala wao hupenda sana njia za aibu.
A yuhuem te a khok vaengah a cukhalh hmuen la cukhalh uh tih a photling kah yahpohnah te a lung la a lungnah uh.
19 Kisulisuli kitawafagilia mbali na dhabihu zao zitawaletea aibu.
Amah neh a phae te khohli loh a yawn vetih a hmueih dongah yak ni.

< Hosea 4 >