< Hosea 4 >

1 Sikieni neno la Bwana, enyi Waisraeli, kwa sababu Bwana analo shtaka dhidi yenu ninyi mnaoishi katika nchi: “Hakuna uaminifu, hakuna upendo, hakuna kumjua Mungu katika nchi.
Hina Gode da Ea fi dunu Isala: ili soge ganodini esala, ilima diwaneya udidisa. Isala: ili fi! Ea sia: nabima! E da amane sia: sa, “Noga: i fa: no bobogesu hou amola asigi hou da Isala: ili soge ganodini hamedafa gala. Amola Na fi dunu da Na da Godedafa hame sia: sa.
2 Kuna kulaani tu, uongo na uuaji, wizi na uzinzi, bila kuwa na mipaka, nao umwagaji damu mmoja baada ya mwingine.
Ilia da sia: dafawane ilegei amo giadofasa. Ilia da ogogosa amola fane legesa amola wamolasa amola inia uda adole laha. Wadela: i hou da bagade heda: sa amola ilia da fane legesu hou mae fisili hamonana.
3 Kwa sababu hii nchi huomboleza, wote waishio ndani mwake wanadhoofika, wanyama wa kondeni, ndege wa angani na samaki wa baharini wanakufa.
Amaiba: le, ilia soge da hafoga: i hamoi dagoi ba: mu amola liligi huluane amogawi esalebe da bogogia: i dagoi ba: mu. Ohe huluane amola sio amola menabo huluanedafa da bogogia: i dagoi ba: mu.”
4 “Lakini mtu awaye yote na asilete shtaka, mtu yeyote na asimlaumu mwenzake, kwa maana watu wako ni kama wale waletao mashtaka dhidi ya kuhani.
Hina Gode da amane sia: sa, “Isala: ili dunudafa ilima mae diwaneya udidima amola gagabole mae sia: ma: ma! Na da dili gobele salasu dunu dilima fawane egane sia: sa.
5 Unajikwaa usiku na mchana, nao manabii hujikwaa pamoja nawe. Kwa hiyo nitamwangamiza mama yako:
Esohaga amola gasia dilia da udigili gagaoui agoane hawa: hamonana amola balofede dunu da dili defele hamosa. Na da dilia ame Isala: ili amo wadela: lesimu.
6 watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa, “Kwa kuwa wewe umeyakataa maarifa, mimi nami nitakukataa wewe usiwe kuhani kwangu mimi; kwa kuwa umeacha kuijali sheria ya Mungu wako mimi nami sitawajali watoto wako.
Na fi dunu da Nama Na da Godedafa hame sia: beba: le, ilia da wadela: lesi dagoi ba: mu. Dilia gobele salasu dunu da Nama Na da Godedafa hame sia: sa amola Na olelesu hame naba. Amaiba: le, Na da dilia gofelalia Nama gobele salasu hamoma: ne hame ilegemu.
7 Kadiri makuhani walivyoongezeka, ndivyo walivyozidi kutenda dhambi dhidi yangu, walibadilisha utukufu wao kwa kitu cha aibu.
Dilia gobele salasu dunu idi da heda: sea, dilia Nama wadela: i hou hamobe da amo defele heda: sa. Amaiba: le, Na da wali dunu da dilima nodosu hou hamosa amo afadenene, ilia dilima higamu, amola dilia da gogosiamu.
8 Hujilisha dhambi za watu wangu na kupendezwa na uovu wao.
Na fi dunu da wadela: le hamobeba: le, dilia da bagade gaguiwane ba: sa. Amaiba: le, dilia da ili baligiliwane wadela: i hou hamoma: ne, dilia da hanai.
9 Hata itakuwa: Kama walivyo watu, ndivyo walivyo makuhani. Nitawaadhibu wote wawili kwa ajili ya njia zao na kuwalipa kwa matendo yao.
Dilia da Isala: ili dunu ilia se nabasu defele lamu. Na da dilima se imunu. Amola dilia wadela: i hou hamobeba: le, dilima dabemu.
10 “Watakula lakini hawatashiba; watajiingiza katika ukahaba lakini hawataongezeka, kwa sababu wamemwacha Bwana na kujiingiza wenyewe
Dilia da gobele salasu amoga dilia la: idi amo nanu, bu ha: i ba: mu. Dilia da mano lasu ‘gode’ ilima nodone sia: ne gadomu, be dilia da mano hame lamu. Bai dilia da Nama baligi fa: le, eno ogogosu ‘gode’ ilima fa: no bobogelala.”
11 katika ukahaba, divai ya zamani na divai mpya, ambavyo huondoa ufahamu
Hina Gode da amane sia: sa, “Na fi dunu da waini hano yaolo amola gaheabolo bagade nabeba: le, gagaoui agoane hamosa.
12 wa watu wangu. Hutaka shauri kutoka kwa sanamu ya mti nao hujibiwa na fimbo ya mti. Roho ya ukahaba imewapotosha, hawana uaminifu kwa Mungu wao.
Ilia da udigili ifa amoga hobea misunu hou adole ba: sa. Ifa da ilia dawa: mu hanai liligi ilima adole iaha. Ilia da Na yolesi dagoi. Uda amo da hina: da: i bidi lasu defele, ilila: da: i ilia da ogogosu ‘gode’ ilima i dagoi.
13 Wanatoa dhabihu juu ya vilele vya milima na sadaka za kuteketezwa juu ya vilima, chini ya mialoni, milibua na miela, ambako kuna vivuli vizuri. Kwa hiyo binti zenu wamegeukia ukahaba na wake za wana wenu uzinzi.
Ilia goumi da: iya sema sogebi amoga gobele salasu hou hamonana amola agolo da: iya ifa sedade amomodai haguduga gabusiga: manoma gobesisa. Bai amo ifa ilia ougiha: i da hisi noga: idafa. Amo hamobeba: le, didiwilali da hina: da: i bidi lasu uda agoane hawa: hamonana, amola dilia nawi ilia da inia dunu adole lasu hou hamosa.
14 “Sitawaadhibu binti zenu wakati wanapogeukia ukahaba, wala wake za wana wenu wanapofanya uzinzi, kwa sababu wanaume wenyewe huandamana na malaya na kutambikia pamoja na makahaba wa mahali pa kuabudia miungu: watu wasiokuwa na ufahamu wataangamia!
Be amo hamobeba: le, Na da ilima se hame imunu. Bai dilisu amola da sia: ne gadosu diasu hina: da: i bidi lasu uda amola gilisili lalala amola ili gilisili, hame lalegagui dunu defele, ogogosu gobele salasu hou hamonana. Musa: malasu defele, ‘Dunu fi da asigi dawa: su hame galea, ilia da wadela: lesi dagoi ba: mu.’
15 “Ingawa umefanya uzinzi, ee Israeli, Yuda naye asije akawa na hatia. “Usiende Gilgali, usipande kwenda Beth-Aveni Wala usiape, ‘Hakika kama Bwana aishivyo!’
Dilia Isala: ili fi dunu da Nama baligi fa: i dagoi. Be Yuda fi dunu da amo defele hamomu da defea hame. Dilia Giliga: le o Bedele amoma nodone sia: ne gadosu hou mae hamoma. Amola amogawi, Esalalalusu Hina Gode Ea Dioba: le, dafawane ilegele sia: mae sia: ma.
16 Waisraeli ni wakaidi, kama mtamba wa ngʼombe ambaye ni mkaidi. Ni jinsi gani basi Bwana anaweza kuwachunga kama wana-kondoo katika shamba la majani?
Isala: ili dunu da ‘miule’ (dougi agoai) amo ilia gawamaga: i hou defele gala. Dunu da gisi noga: i sogega sibi mano ilima ha: i nasu iaha. Be Na da habodane amo defele, Isala: ili dunuma ha: i manudafa ima: bela: ?
17 Efraimu amejiunga na sanamu, ondokana naye!
Isala: ili dunu da loboga hamoi ‘gode’ amo ilia gasaga gagulaligi dagoi. Defea! Ilisu ilia logo fodoi amoga masa: ne yolesima!
18 Hata wakati wamemaliza vileo vyao wanaendelea na ukahaba wao, watawala wao hupenda sana njia za aibu.
Ilia waini hano bagade nalu, hahawane hina: da: i bidi lasu hou defele hamonana. Ilia da ilima nodosu hou mae dawa: le, gogosiasu fawane hanai gala.
19 Kisulisuli kitawafagilia mbali na dhabihu zao zitawaletea aibu.
Ilia da foga mini masunu agoai ba: mu. Amola ilia da hame lalegagui ogogosu gobele salasu hou hamobeba: le, gogosiamu.”

< Hosea 4 >