< Hosea 3 >
1 Bwana akaniambia, “Nenda, ukaonyeshe upendo wako kwa mke wako tena, ingawa amependwa na mwingine naye ni mzinzi. Mpende kama Bwana apendavyo Waisraeli, ingawa wanageukia miungu mingine na kupenda mikate mitamu ya zabibu kavu iliyowekwa wakfu.”
I rzekł Pan do mnie: Jeszcze idź, a rozmiłuj się niewiasty umiłowanej od innego, a cudzołożnicy, tak jako miłuje Pan synów Izraelskich, choć się oni oglądają na cudzych bogów, a miłują fasy wina.
2 Basi nilimnunua huyo mwanamke kwa shekeli kumi na tano za fedha, pia kwa kiasi kama cha homeri moja na nusu ya shayiri.
I kupiłem ją sobie za piętnaście srebrników i za półtora homera jęczmienia;
3 Kisha nilimwambia, “Utaishi nami kwa siku nyingi, hupaswi kuwa kahaba au kuwa na uhusiano wa karibu na mtu yeyote, nami nitaishi na wewe.”
I rzekłem do niej: Siedź mi tak przez wiele dni, a nie płódź wszeteczeństwa, ani chodź za mąż, a ja też dla ciebie.
4 Kwa maana Waisraeli wataishi siku nyingi bila kuwa na mfalme wala mkuu, bila kuwa na dhabihu wala mawe matakatifu, bila kisibau wala sanamu.
Bo przez wiele dni będą synowie Izraelscy bez króla i bez książęcia, i bez ofiary i bez bałwana, i bez Efodu i bez Terafim.
5 Baadaye Waisraeli watarudi na kumtafuta Bwana Mungu wao na Daudi mfalme wao. Watakuja wakitetemeka kwa Bwana na kwa baraka zake katika siku za mwisho.
A potem nawrócą się synowie Izraelscy i szukać będą Pana, Boga swego, i Dawida, króla swego, a przestraszeni będąc pójdą do Pana i do dobrotliwości jego w ostatnie dni.