< Hosea 3 >

1 Bwana akaniambia, “Nenda, ukaonyeshe upendo wako kwa mke wako tena, ingawa amependwa na mwingine naye ni mzinzi. Mpende kama Bwana apendavyo Waisraeli, ingawa wanageukia miungu mingine na kupenda mikate mitamu ya zabibu kavu iliyowekwa wakfu.”
Potom mi Jahve reče: “Idi opet, ljubi ženu koja drugog ljubi i čini preljub, kao što Jahve ljubi djecu Izraelovu dok se oni k drugim bogovima okreću i žude za kolačima od grožđa.”
2 Basi nilimnunua huyo mwanamke kwa shekeli kumi na tano za fedha, pia kwa kiasi kama cha homeri moja na nusu ya shayiri.
Ja je tad kupih za petnaest srebrnika, za homer i letek ječma,
3 Kisha nilimwambia, “Utaishi nami kwa siku nyingi, hupaswi kuwa kahaba au kuwa na uhusiano wa karibu na mtu yeyote, nami nitaishi na wewe.”
i rekoh joj: “Za mnogo dana ostat ćeš mi povučena, nećeš se odavati bludu ni podavati nikojem čovjeku, a ni ja neću k tebi prilaziti.”
4 Kwa maana Waisraeli wataishi siku nyingi bila kuwa na mfalme wala mkuu, bila kuwa na dhabihu wala mawe matakatifu, bila kisibau wala sanamu.
Jer mnogo će dana sinovi Izraelovi ostati bez kralja i bez kneza, bez žrtve i bez stupa, bez oplećka i bez kumira.
5 Baadaye Waisraeli watarudi na kumtafuta Bwana Mungu wao na Daudi mfalme wao. Watakuja wakitetemeka kwa Bwana na kwa baraka zake katika siku za mwisho.
Poslije toga, sinovi će se Izraelovi vratiti; tražit će Jahvu, Boga svoga, i Davida, svoga kralja; sa strahom će pristupiti k Jahvi i k njegovim dobrima, na kraju dana.

< Hosea 3 >