< Hosea 3 >

1 Bwana akaniambia, “Nenda, ukaonyeshe upendo wako kwa mke wako tena, ingawa amependwa na mwingine naye ni mzinzi. Mpende kama Bwana apendavyo Waisraeli, ingawa wanageukia miungu mingine na kupenda mikate mitamu ya zabibu kavu iliyowekwa wakfu.”
BOEIPA loh kai taengah, “Amih loh pathen tloe taengla mael tih misur yukhap lungnah sitoe cakhaw, BOEIPA loh Israel ca a lungnah bangla a hui a lungnah tih aka samphaih nu te koep paan lamtah lungnah,” a ti.
2 Basi nilimnunua huyo mwanamke kwa shekeli kumi na tano za fedha, pia kwa kiasi kama cha homeri moja na nusu ya shayiri.
Te dongah anih te kamah hamla tangka hlai nga, cangtun am at phoeiah khosai neh ka lai.
3 Kisha nilimwambia, “Utaishi nami kwa siku nyingi, hupaswi kuwa kahaba au kuwa na uhusiano wa karibu na mtu yeyote, nami nitaishi na wewe.”
Te vaengah anih te, “Kamah taengah a tue a yet khosa lamtah cukhalh voel boeh. Hlang neh om boel lamtah kai khaw nang taengah ka om ni.
4 Kwa maana Waisraeli wataishi siku nyingi bila kuwa na mfalme wala mkuu, bila kuwa na dhabihu wala mawe matakatifu, bila kisibau wala sanamu.
Israel ca rhoek te kum a sen kho a sak uh suidae manghai khaw tal vetih mangpa khaw tal ni. Hmueih khaw tal vetih kaam khaw tal ni. Te phoeiah hnisui neh sithui khaw tal ni.
5 Baadaye Waisraeli watarudi na kumtafuta Bwana Mungu wao na Daudi mfalme wao. Watakuja wakitetemeka kwa Bwana na kwa baraka zake katika siku za mwisho.
A hnuk ah Israel ca rhoek te mael uh vetih a Pathen BOEIPA neh a manghai David te a tlap uh ni. Te vaengah BOEIPA taengah birhih uh vetih khohnin hnukkhueng ah a thennah la om ni.

< Hosea 3 >