< Hosea 3 >

1 Bwana akaniambia, “Nenda, ukaonyeshe upendo wako kwa mke wako tena, ingawa amependwa na mwingine naye ni mzinzi. Mpende kama Bwana apendavyo Waisraeli, ingawa wanageukia miungu mingine na kupenda mikate mitamu ya zabibu kavu iliyowekwa wakfu.”
Hina Gode da nama amane sia: i, “Dia uda da di baligi fa: le, asili, eno sasagesu dunuma gilisili golasa. Be amo mae dawa: le, di ema asili, bu asigidafa hou olelema. Na fi dunu da sinidigili, ogogosu ‘gode’ ilima fa: no bobogele, ilima hafoga: i waini fage gobele salimusa: gaguli ahoa. Be Na da ilima asigisa. Amo defele, dia baligi fa: su udama asigima.”
2 Basi nilimnunua huyo mwanamke kwa shekeli kumi na tano za fedha, pia kwa kiasi kama cha homeri moja na nusu ya shayiri.
Amaiba: le, na da na uda bu bidiga lamusa: , silifa fage15 amola bali150 gilogala: me amo i.
3 Kisha nilimwambia, “Utaishi nami kwa siku nyingi, hupaswi kuwa kahaba au kuwa na uhusiano wa karibu na mtu yeyote, nami nitaishi na wewe.”
Na da ema amane sia: i, “Di da eso bagohame ouesaloma! Amo esoga, di da dina: da: i bidi hame lamu amola eno dunuma gilisili hame golama: mu. Amola amo esoga, na di bu lamusa: ne ouesalumu.”
4 Kwa maana Waisraeli wataishi siku nyingi bila kuwa na mfalme wala mkuu, bila kuwa na dhabihu wala mawe matakatifu, bila kisibau wala sanamu.
Amo hou defele, Isala: ili dunu da hina bagade hame, amola ouligisu dunu hame gala udigili ouesalumu. Ilia da gobele salasu hou hame, sema gele ganumu hame, loboga hamoi ogogosu ‘gode’ hame gala, amola liligi amoga ilia ba: la: lusu hamosa, amo hame gala, eso bagohame udigili ouesalumu.
5 Baadaye Waisraeli watarudi na kumtafuta Bwana Mungu wao na Daudi mfalme wao. Watakuja wakitetemeka kwa Bwana na kwa baraka zake katika siku za mwisho.
Be eso da misunu amoga Isala: ili dunu da ilia Hina Godedafa amoma bu sinidigimu. Amola ilia da Da: ibidi egaga fi dunu afae ema sinidigimu. Amasea, ilia da Hina Godema bu beda: iba: le, Ea hahawane dogolegele iasu liligi bu ba: mu.

< Hosea 3 >