< Hosea 14 >

1 Rudi, ee Israeli, kwa Bwana Mungu wako. Dhambi zako zimekuwa ndilo anguko lako!
Isala: ili dunu! Dilia Hina Godema bu sinidigima! Dilia da wadela: le hamoiba: le, didigabone dafai dagoi.
2 Chukueni maneno pamoja nanyi, mkamrudie Bwana. Mwambieni: “Samehe dhambi zetu zote na utupokee kwa neema, ili tuweze kutoa matunda yetu kama sadaka za mafahali.
Hina Godema sinidigima! Amola amo sia: ne gadosa gobele iasu defele Ema ima, amane, “Ninia wadela: i hou huluane gogolema: ne olofoma amola ninia sia: ne gadosu nabima! Amalu ninia ilegele sia: i defele, ninia da Dima nodomu.
3 Ashuru hawezi kutuokoa, hatutapanda farasi wa vita. Kamwe hatutasema tena ‘Miungu yetu’ kwa kile ambacho mikono yetu wenyewe imetengeneza, kwa kuwa kwako wewe yatima hupata huruma.”
Asilia da nini gaga: mu hame dawa: , amola gegesu hosi da nini gaga: mu gogolesa. Ninia bu ninia loboga hamoi ogogosu ‘gode’ ilima ‘Godedafa’ dio hame asulimu. Hina Gode! Di da dunu amo da fidisu dunu eno hame gala, ilima gogolema: ne olofosu imunusa: dawa:”
4 “Nitaponya ukaidi wao na kuwapenda kwa hiari yangu, kwa kuwa hasira yangu imeondoka kwao.
Hina Gode da amane sia: sa, “Na da Na fi dunu Nama bu hiougia guda: mu. Na da Na dogo huluane amoga ilima asigimu. Na da ilima bu hame ougimu.
5 Nitakuwa kama umande kwa Israeli; atachanua kama yungiyungi. Kama mwerezi wa Lebanoni atashusha mizizi yake chini;
Na da gibu amo da hafoga: i soge fidibi defele, Na fi dunu fidimu. Ilia da mosoi agoane sogea falegalesimu. Ilia da Lebanone ifa defele, ifa difi modosa: i agoane ba: mu.
6 matawi yake yatatanda. Fahari yake itakuwa kama mti wa mzeituni, harufu yake nzuri kama mwerezi wa Lebanoni.
Ilia da gaheabolo lula heda: su defele, gaheabolo esalusu ba: mu. Amola ilia da olife ifa defele, nina: hamoi dagoi ba: mu. Ilia da Lebanone dolo ifa defele, gabusiga: noga: i nabimu.
7 Watu wataishi tena kwenye kivuli chake. Atastawi kama nafaka. Atachanua kama mzabibu, nao umaarufu wake utakuwa kama divai itokayo Lebanoni.
Ilia da bu Na Gaga: su hou amoha esalumu. Ilia da ifabi noga: idafa defele, noga: le heda: mu. Ilia da waini sagai defele, fage bagohame legemu. Dunu da Lebanone waini hano amoma nodosa, amo defele fifi asi gala da Na fi dunuma nodomu.
8 Ee Efraimu, nina shughuli gani tena na sanamu? Nitamjibu na kumtunza. Mimi ni kama msunobari wenye majani mabichi; kuzaa kwako matunda kunatoka kwangu.”
Isala: ili dunu da bu loboga hamoi ogogosu ‘gode’ ilima hame dawa: mu. Na da dialui ifa defele, ili ougigala: mu. Na da ilia hahawane dogolegele hou huluane ea bai gala.”
9 Ni nani mwenye hekima? Atayatambua mambo haya. Ni nani mwenye ufahamu? Huyu atayaelewa. Njia za Bwana ni adili; wenye haki huenda katika njia hizo, lakini waasi watajikwaa ndani yake.
Bagade dawa: su dunu da amo dedena sa: i sia: noga: le dawa: mu da defea. Amola ilia da amo sia: ilia dogo ganodini ligisimu da defea. Hina Gode Ea hou huluane da moloidafa. Amola moloi dunu da amoga fa: no bobogebeba: le, esalusu ba: lala. Be wadela: i hamosu dunu da Gode Ea hou higabeba: le, didigabone dafasa. Sia: ama dagoi

< Hosea 14 >