< Hosea 12 >

1 Efraimu anajilisha upepo; hufukuzia upepo wa mashariki kutwa nzima na kuzidisha uongo na jeuri. Anafanya mkataba na Ashuru na kutuma mafuta ya zeituni Misri.
Ephraim teh kahlî a pahap. Kanîtholae kahlî hah a pâlei. A hnintangkuem laithoe hoi rawknae hah a kampai sak. Assirianaw hoi a kâhuiko nahlangva vah, Izip ram lah satui a sin awh.
2 Bwana analo shtaka dhidi ya Yuda, atamwadhibu Yakobo kwa kadiri ya njia zake na kumlipa kwa kadiri ya matendo yake.
Cathut ni Judahnaw koehai lungkuephoehnae a tawn. Jakop e tawksaknae hah lawkceng vaiteh, a sak e patetlah moi a pathung han.
3 Yakobo akiwa tumboni alishika kisigino cha kaka yake; kama mwanadamu, alishindana na Mungu.
Jakop teh a manu von thung vah, a hmau e khokpaimai a kuet. A tha a sai teh, Cathut hoi a kâthe. Kalvantami hoi a kâthe teh a tâ.
4 Alishindana na malaika na kumshinda; alilia na kuomba upendeleo wake. Alimkuta huko Betheli na kuzungumza naye huko:
Khuika laihoi yo la a kâhei toe. Kalvan ransabawi Cathut hah bethel vah a hmu teh, hawvah lawk a dei pouh.
5 Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote, Bwana ndilo jina lake!
Jehovah teh ransabawi Cathut lah ao. Jehovah tie teh amae min doeh.
6 Lakini ni lazima urudi kwa Mungu wako; dumisha upendo na haki, nawe umngojee Mungu wako siku zote.
Hatdawkvah, na Cathut koe bout ban leih. Lungmanae, lannae pouk nateh, na Cathut hah pout laipalah ngaihawi haw.
7 Mfanyabiashara hutumia vipimo vya udanganyifu; hupenda kupunja.
Ahni teh hno kayawtkung e lah a o, dumnae yawcu hah a patuep. Ayânaw rektap ngainae lung a tawn.
8 Efraimu hujisifu akisema, “Mimi ni tajiri sana; nimetajirika. Pamoja na utajiri wangu wote hawatakuta ndani yangu uovu wowote au dhambi.”
Hatei, Ephraim ni kai teh, ka tawnta hnopainaw ka hmouk toe. Ka tawksak e pueng dawk payonpakainae hmu han kawi awm hoeh telah a ti.
9 “Mimi ndimi Bwana Mungu wenu niliyewaleta kutoka Misri; nitawafanya mkae tena kwenye mahema, kama vile katika siku za sikukuu zenu zilizoamriwa.
Kai teh Izip ram thung hoi na ka tâcawtkhai e na Jehovah Cathut lah ka o. Pawi hnin nah na o e patetlah rim dawk bout na o sak han.
10 Niliongea na manabii, nikawapa maono mengi na kusema mifano kupitia wao.”
Kai ni profetnaw hno lahoi vision moi na poe toe. Bangnuenae hai moi na dei pouh toe.
11 Je, Gileadi si mwovu? Watu wake hawafai kitu! Je, hawatoi dhabihu za mafahali huko Gilgali? Madhabahu zao zitakuwa kama malundo ya mawe katika shamba lililolimwa.
Gilgal ram teh a payon. Khocaramcanaw teh cungkei awh hoeh. Gilgal khovah, maito hoi thuengnae a sak awh ei, thuengnae khoungroenaw teh, laikawk thawn nah talai kacoum e naw patetlah doeh ao.
12 Yakobo alikimbilia katika nchi ya Aramu; Israeli alitumika ili apate mke, ili aweze kulipa kwa ajili yake alichunga kondoo.
Jakop teh, Assiria ram lah a yawng. Isarel teh yu la thai nahanelah, san a toung teh tuhu a khoum.
13 Bwana alimtumia nabii kumpandisha Israeli kutoka Misri, kwa njia ya nabii alimtunza.
Cathut ni profet lahoi Isarel hah, Izip ram hoi a hlout sak teh, profet lahoi a khetyawt.
14 Lakini Efraimu amemchochea sana hasira; Bwana wake ataleta juu yake hatia yake ya kumwaga damu naye atamlipiza kwa ajili ya dharau yake.
Ephraim ni Cathut a lungkhuek sak. Hatdawkvah, tami theinae yon teh ahni koe a pha han. Min mathoenae hah ama lathueng a bo han

< Hosea 12 >