< Hosea 12 >
1 Efraimu anajilisha upepo; hufukuzia upepo wa mashariki kutwa nzima na kuzidisha uongo na jeuri. Anafanya mkataba na Ashuru na kutuma mafuta ya zeituni Misri.
Hawa: hamosu huluane Isala: ili dunu da hahabe ganini asili gasia hamobe, da hamedei amola wadela: idafa ba: sa. Lelesu hou amola gugunufinisisu hou da bagade heda: sa. Ilia da Asilia fi ilima gousa: su hamosa, amola Idibidi fi ilima bidi lasu hou hamosa.”
2 Bwana analo shtaka dhidi ya Yuda, atamwadhibu Yakobo kwa kadiri ya njia zake na kumlipa kwa kadiri ya matendo yake.
Hina Gode da Yuda fi ilima diwaneya udidimu gala. Amola Isala: ili fi ilia hamobeba: le, E da ilima se dabe imunu. Ilia hamobeba: le, E da ilima dabemu.
3 Yakobo akiwa tumboni alishika kisigino cha kaka yake; kama mwanadamu, alishindana na Mungu.
Ilia aowalalia eda Ya: igobe amola Iso ela da gilisili ela ame ea hagomo ganodini esala, ela da ludui. Ya: igobe da asigilaloba, e da Godema ludui.
4 Alishindana na malaika na kumshinda; alilia na kuomba upendeleo wake. Alimkuta huko Betheli na kuzungumza naye huko:
E da a: igele dunuma luduli, osa: le heda: i. E da dinanu, a:igele dunu ema hahawane dogolegele ima: ne adole ba: i. Amola Bedele sogega, Gode da ninia aowalali dunu Ya: igobe ema misini, ema sia: i.
5 Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote, Bwana ndilo jina lake!
Amo Gode da Hina Gode Bagadedafa. Ninia da Ema nodone sia: ne gadosea, Hina Gode Dio amoga sia: ne gadoma: mu.
6 Lakini ni lazima urudi kwa Mungu wako; dumisha upendo na haki, nawe umngojee Mungu wako siku zote.
Amaiba: le, dilia Ya: igobe egaga fi! Dilia Gode Ea hou dafawaneyale dawa: ma, amola Ema sinidigima! Ema madela: gili, moloidafa hou hamoma. Amola Gode Ea hawa: hamosu ba: ma: ne, gebewane ouesaloma.
7 Mfanyabiashara hutumia vipimo vya udanganyifu; hupenda kupunja.
Hina Gode da amane sia: sa, “Isala: ili dunu da Ga: ina: ne dunu defele, gigiadofasu hou hamonana. Ilia da hanaiba: le ilima bidi lasu dunu ilima ogogosa. Ilia dioi defei ba: su liligi da giadofale dioi defei olelesa.
8 Efraimu hujisifu akisema, “Mimi ni tajiri sana; nimetajirika. Pamoja na utajiri wangu wote hawatakuta ndani yangu uovu wowote au dhambi.”
Ilia da amane sia: sa, ‘Defea! Ninia da bagade gagui gala. Amola ninia da dunu eno ilima liligi ogogole bidilaiba: le, ilia da ninima diwaneya udidimu da hamedei.’
9 “Mimi ndimi Bwana Mungu wenu niliyewaleta kutoka Misri; nitawafanya mkae tena kwenye mahema, kama vile katika siku za sikukuu zenu zilizoamriwa.
Be Na, dilia Hina Gode, Na da dili Idibidi sogega fisili masa: ne, ga oule misi. Amola, dilia da hafoga: i soge ganodini, abula diasuga esalea, Na da dilima misi. Na hamomuba: le, dilia da bu abula diasu ganodini esalebe ba: mu.
10 Niliongea na manabii, nikawapa maono mengi na kusema mifano kupitia wao.”
Na da balofede dunu ilima sia: ne, ilima esala ba: su bagohame amoga olelei. Ilia lafidili, Na da Na fi dunuma sisasu bagohame olelei.
11 Je, Gileadi si mwovu? Watu wake hawafai kitu! Je, hawatoi dhabihu za mafahali huko Gilgali? Madhabahu zao zitakuwa kama malundo ya mawe katika shamba lililolimwa.
Be dilia da Gilia: de sogega, loboga hamoi ogogole ‘gode’ ilima nodone sia: ne gadolala. Amo hou hamosu dunu da bogosu ba: mu. Dilia da bulamagau gawali Giliga: le sogega gobele sala. Be amogawi, oloda huluane da ma: buale, igi fawane gegedole legei ba: mu.”
12 Yakobo alikimbilia katika nchi ya Aramu; Israeli alitumika ili apate mke, ili aweze kulipa kwa ajili yake alichunga kondoo.
Ninia aowalali eda, Ya: igobe, da hemonega Mesoubouda: imia sogega hobea: i. Amogawi, e da uda lamusa: , dunu eno ea sibi ouligisu hawa: hamosu.
13 Bwana alimtumia nabii kumpandisha Israeli kutoka Misri, kwa njia ya nabii alimtunza.
Hina Gode da Isala: ili dunu Idibidi soge ganodini udigili hawa: hamonana esalu, amo gaga: ma: ne amola ouligima: ne, balofede dunu asunasi.
14 Lakini Efraimu amemchochea sana hasira; Bwana wake ataleta juu yake hatia yake ya kumwaga damu naye atamlipiza kwa ajili ya dharau yake.
Isala: ili dunu ilia hamobeba: le, Hina Gode da ougi bagade gala. Ilia da wadela: le hamoiba: le, bogosu dabe lamu da defea. Ilia da Ema gogosiasu iabeba: le, Hina Gode da ilima se dabe imunu.