< Hosea 11 >
1 “Wakati Israeli alipokuwa mtoto, nilimpenda, nilimwita mwanangu kutoka Misri.
Заутра отвергошася, отвержеся царь Израилев, понеже младенец Израиль, и Аз возлюбих его и из Египта воззвах сына Моего.
2 Lakini kadiri nilivyomwita Israeli, ndivyo walivyokwenda mbali nami. Walitoa dhabihu kwa Mabaali na kufukiza uvumba kwa vinyago.
Якоже призвах я, такожде отхождаху от лица Моего: тии Ваалиму требу жряху и изваяным кадяху.
3 Mimi ndiye niliyemfundisha Efraimu kutembea, nikiwashika mikono; lakini hawakutambua kuwa ni mimi niliyewaponya.
Аз же связах Ефрема, взях его на мышцу Мою, и не разумеша, яко изцелих я.
4 Niliwaongoza kwa kamba za huruma ya kibinadamu, kwa vifungo vya upendo; niliondoa nira shingoni mwao nami nikainama kuwalisha.
Во истлении человечесте привлекох я узами любления моего, и буду им яко ударяяй человек по челюстем его: и воззрю к нему и премогу ему.
5 “Je, hawatarudi Misri, nayo Ashuru haitawatawala kwa sababu wamekataa kutubu?
Вселися Ефрем во Египте, Ассур же сам царь его, яко не восхоте возвратитися.
6 Panga zitametameta katika miji yao, zitaharibu makomeo ya malango yao na kukomesha mipango yao.
И изнеможе оружие во градех его, и умолче в руку его: и снедят от умышлений своих.
7 Watu wangu wamedhamiria kuniacha. Hata kama wakimwita Yeye Aliye Juu Sana, kwa vyovyote hatawainua.
И людие его висяще от обитания своего: и Бог на честная его разгневается, и не вознесет его.
8 “Efraimu, ninawezaje kukuacha? Ee Israeli, ninawezaje kukutoa? Nitawezaje kukutendea kama Adma? Nitawezaje kukufanya kama Seboimu? Moyo wangu umegeuka ndani yangu, huruma zangu zote zimeamshwa.
Что тя устрою, Ефреме? Защищу ли тя, Израилю? Что тя положу? Якоже Адаму устрою тя, и якоже Севоим, превратися сердце Мое в Нем, смятеся раскаяние Мое.
9 Sitatimiza hasira yangu kali, wala sitageuka na kumharibu Efraimu. Kwa kuwa mimi ndimi Mungu, wala si mwanadamu, Aliye Mtakatifu miongoni mwenu. Sitakuja kwa ghadhabu.
Не сотворю по гневу ярости Моея, не оставлю еже потребитися Ефремови, зане Бог Аз есмь, а не человек: в тебе Свят, и не вниду во град.
10 Watamfuata Bwana; atanguruma kama simba. Wakati angurumapo, watoto wake watakuja wakitetemeka kutoka magharibi.
Вслед Господа имам ходити: яко лев возревет, понеже Той возревет, и ужаснутся чада вод,
11 Watakuja wakitetemeka kama ndege wakitoka Misri, kama hua wakitoka Ashuru. Nitawakalisha katika nyumba zao,” asema Bwana.
и приидут яко птица из Египта и яко голубь от земли Ассирски: и возставлю я в домех их, глаголет Господь.
12 Efraimu amenizunguka kwa uongo, nyumba ya Israeli kwa udanganyifu. Naye Yuda ni mkaidi dhidi ya Mungu, hata kinyume cha yule mwaminifu Aliye Mtakatifu.
Обыде Мя лжею Ефрем, и нечестиями дом Израилев и Иуда: ныне позна я Бог, и людие святи прозвашася Богови.