< Hosea 1 >

1 Neno la Bwana lililomjia Hosea mwana wa Beeri wakati wa utawala wa Uzia, Yothamu, Ahazi na Hezekia, wafalme wa Yuda, na wakati wa utawala wa Yeroboamu mwana wa Yehoashi, mfalme wa Israeli.
Rijeè Gospodnja koja doðe Osiji sinu Veirijevu za vremena Ozije, Joatama, Ahaza i Jezekije careva Judinijeh i za vremena Jerovoama sina Joasova cara Izrailjeva.
2 Wakati Bwana alipoanza kuzungumza kupitia Hosea, Bwana alimwambia, “Nenda ukajitwalie mwanamke wa uzinzi na watoto wa uzinzi, kwa sababu nchi ina hatia ya uzinzi wa kupindukia kwa kumwacha Bwana.”
Kad Gospod poèe govoriti Osiji, reèe Gospod Osiji: idi, oženi se kurvom, i rodi kopilad, jer se zemlja prokurva otstupivši od Gospoda.
3 Kwa hiyo alimwoa Gomeri binti Diblaimu, naye akachukua mimba na kumzalia Hosea mwana.
I otide, i uze Gomeru kæer Divlaimsku, koja zatrudnje i rodi mu sina.
4 Kisha Bwana akamwambia Hosea, “Mwite Yezreeli, kwa kuwa kitambo kidogo nitaiadhibu nyumba ya Yehu kwa ajili ya mauaji ya kule Yezreeli, nami nitaukomesha ufalme wa Israeli.
Tada mu reèe Gospod: nadjeni mu ime Jezrael; jer još malo, pa æu pohoditi krv Jezraelsku na domu Jujevu i ukinuæu carstvo doma Izrailjeva.
5 Katika siku ile nitavunja upinde wa Israeli katika Bonde la Yezreeli.”
I u to æu vrijeme slomiti luk Izrailjev u dolini Jezraelskoj.
6 Gomeri akachukua tena mimba akamzaa binti. Kisha Bwana akamwambia Hosea, “Mwite Lo-Ruhama, kwa maana sitaonyesha tena upendo kwa nyumba ya Israeli, kwamba nisije kabisa nikawasamehe.
I ona opet zatrudnje i rodi kæer; i Gospod mu reèe: nadjeni joj ime Loruhama; jer se više neæu smilovati na dom Izrailjev, nego æu ih ukinuti sasvijem.
7 Hata hivyo nitaonyesha upendo kwa nyumba ya Yuda, nami nitawaokoa si kwa upinde, upanga au vita, wala kwa farasi na wapanda farasi, bali kwa njia ya Bwana Mungu wao.”
A na dom Judin smilovaæu se, i izbaviæu ih Gospodom Bogom njihovijem, a neæu ih izbaviti lukom ni maèem ni ratom ni konjma ni konjicima.
8 Baada ya Gomeri kumwachisha Lo-Ruhama kunyonya, Gomeri alipata mwana mwingine.
Potom odbivši od sise Loruhamu opet zatrudnje i rodi sina.
9 Kisha Bwana akasema, “Mwite Lo-Ami kwa maana ninyi si watu wangu, nami si Mungu wenu.
I reèe Gospod: nadjeni mu ime Loamija; jer vi nijeste moj narod, niti æu ja biti vaš.
10 “Hata hivyo Waisraeli watakuwa kama mchanga kando ya bahari, ambao hauwezi kupimika wala kuhesabiwa. Mahali pale walipoambiwa, ‘Ninyi si watu wangu,’ wao wataitwa ‘wana wa Mungu aliye hai.’
Ali æe ipak broj sinova Izrailjevijeh biti kao pijesak morski, koji se ne može izmjeriti ni izbrojiti; i mjesto da im se reèe: nijeste moj narod, reæi æe im se: sinovi Boga živoga.
11 Watu wa Yuda na watu wa Israeli wataunganishwa tena, nao watamchagua kiongozi mmoja nao watakwea watoke katika nchi, kwa kuwa siku ya Yezreeli itakuwa kuu sana.
I sabraæe se sinovi Judini i sinovi Izrailjevi ujedno, i postaviæe sebi jednoga poglavara i otiæi æe iz zemlje, jer æe biti velik dan Jezraelski.

< Hosea 1 >