< Wahebrania 9 >

1 Basi agano lile la kwanza lilikuwa na kanuni zake za kuabudu na pia patakatifu pake pa kidunia.
bwen na nor kaba ko wii ki fiye wabe kange bidoti fo dorbitiner.
2 Hema ilitengenezwa. Katika sehemu yake ya kwanza kulikuwa na kinara cha taa, meza na mikate iliyowekwa wakfu; hii sehemu iliitwa Mahali Patakatifu.
mor bikur, kuwe wii chi yomyowe, kuwe kale cho wo choti ki fiye wuchake, fiye wo talkire yomyowe wii, late kange chari wii.
3 Nyuma ya pazia la pili, palikuwa na sehemu iliyoitwa Patakatifu pa Patakatifu,
bwi yilak kuwako, kange kuwe wii wo choti ki fiye wuchake.
4 ambapo palikuwa na yale madhabahu ya dhahabu ya kufukizia uvumba, na lile Sanduku la Agano lililofunikwa kwa dhahabu. Sanduku hili lilikuwa na gudulia la dhahabu lenye mana, ile fimbo ya Aroni iliyochipuka, na vile vibao vya mawe vya Agano.
wii ki tanjilan mwiner na nuwan fichangero che. wii ki bwen nore, wo chi kwaltum ki mwine. more che telmwine tomki manna, kange dang Haruna wo fuũwe, kange late tere wo nore che.
5 Juu ya lile Sanduku kulikuwa na makerubi ya Utukufu yakitilia kivuli kile kifuniko ambacho ndicho kiti cha rehema. Lakini hatuwezi kueleza vitu hivi kwa undani sasa.
di kwama kange bwen nore dubi cherobim nob duktangka kange kakilok cheduwe, wuro naweu mani ba dol fwetankati win bweko wine.
6 Basi vitu hivi vilipokuwa vimepangwa, makuhani waliingia daima katika sehemu ya kwanza ya hema ili kufanya taratibu zao za ibada.
bwiko ywellum dige wori, nob wabeb bikurebo, ki do, dokuwe bikulro nine kir-kir chi ma nangen chiyeroti.
7 Lakini ni kuhani mkuu peke yake aliyeingia ndani ya sehemu ya pili ya hema. Tena hii ilikuwa mara moja tu kwa mwaka, na hakuingia kamwe bila damu, ambayo alitoa kwa ajili yake mwenyewe na kwa ajili ya dhambi za watu walizotenda bila kukusudia.
kan liya wabe durko do kuwe yobe tiye, kiritti win chwat mor chore, tam cha no ki buyale wo twiika che na dor chero che, kange bwirangke nobe chiye mani kebo kibi kwake.
8 Kwa njia hii, Roho Mtakatifu alikuwa anaonyesha kwamba, maadamu ile hema ya kwanza ilikuwa bado imesimama, njia ya kuingia Patakatifu pa Patakafifu ilikuwa bado haijafunguliwa.
yuwa tangbeko wuchake nungi nure yaken fiye wuchake fwetangbo, tano bikur kabako tim wiri.
9 Huu ulikuwa mfano kwa ajili ya wakati wa sasa, kuonyesha kwamba sadaka na dhabihu zilizokuwa zikitolewa hazikuweza kusafisha dhamiri ya mtu anayeabudu.
wori yilam fwetangka na wo, kangye luma, twiika nuwan fichangero gwam, netiye mani a dok dike dume ne'e wo wabtiye.
10 Lakini hizi zilishughulika tu na vyakula na vinywaji, pamoja na taratibu mbalimbali za kunawa kwa nje, kanuni kwa ajili ya mwili zilizowekwa hadi wakati utimie wa matengenezo mapya.
chari kange dige noka mwere kange chika nirbanka kidemen-kidemen, wori dige yo a manangti, nime na bidoti yorangi.
11 Kristo alipokuja akiwa Kuhani Mkuu wa mambo mema ambayo tayari yameshawasili, alipitia kwenye hema iliyo kuu zaidi na bora zaidi, ambayo haikutengenezwa kwa mikono ya binadamu, hii ni kusema, ambayo si sehemu ya uumbaji huu.
Almachiya bo nyi niiwabe durko ki digero ken bouwe, fiye, bikure durko dimdiye wuchake wo kebo kang nobek mu'uwe, wo kebo fo dorbitinero wo fwelle.
12 Hakuingia kwa njia ya damu ya mbuzi na ya ndama; lakini aliingia Patakatifu pa Patakatifu mara moja tu kwa damu yake mwenyewe, akiisha kupata ukombozi wa milele. (aiōnios g166)
kebo ki bwiyal nibe kange nenne di la ki bwiyale che, cho do'o fiye wuchake kiriti win chwat na nobo gwame che, yo'o binen fanka wo dire. (aiōnios g166)
13 Damu ya mbuzi na ya mafahali, na majivu ya mitamba walivyonyunyiziwa wale waliokuwa najisi kwa taratibu za kiibada viliwatakasa, hata kuwaondolea uchafu wa nje.
tano bwiyal nibe Kane nenne, ka-nge te'eka dor nobo ka-ngum wuchake chiye, nir chiti, ka-nge bwii chiye.
14 Basi ni zaidi aje damu ya Kristo, ambaye kwa Roho wa milele alijitoa nafsi yake kwa Mungu kuwa sadaka isiyo na waa, itatusafisha dhamiri zetu kutokana na matendo yaletayo mauti, ili tupate kumtumikia Mungu aliye hai! (aiōnios g166)
Tenkang bwiyale Almachiya wo bo fiye yuwa tangbeko wuchake bak-ni-bak neken dor chero twika ficha-nger, kwama wo nir nerberoti fiye nange do yorbo bwiyam bwiya na bo wab kwama nii dume. (aiōnios g166)
15 Kwa sababu hii Kristo ni mpatanishi wa agano jipya, ili kwamba wale walioitwa waweze kupokea ile ahadi ya urithi wa milele: kwa vile yeye alikufa awe ukombozi wao kutoka kwa dhambi walizozitenda chini ya agano la kwanza. (aiōnios g166)
cho dige bwiye, Almachiya cho fiye wab kanka noro fwiko, wuro bwi nyo, ma bwaro wo chokkum nobo dimer noro chare, ker bwirangke chi, wuro kwama cho na yo'o nor kwali chi bak-ni-bak. (aiōnios g166)
16 Kwa habari ya wosia, ni muhimu kuthibitisha kifo cha yule aliyeutoa,
di gwam ka-nge mulang dige ner chere la dube, tam a nyomom buwar niwo mulangi yowe.
17 kwa sababu wosia huwa na nguvu tu wakati mtu ameshakufa; kamwe hauwezi kutumika wakati yule aliyeuandika bado yuko hai.
fiye buro man chi ma nangenti ki dige niwo bwiyame mulangi yowe, man ki nangen tano niwo mulangi yowe ki dumeri.
18 Hii ndiyo sababu hata lile agano la kwanza halikuweza kutekelezwa pasipo damu.
bwen nor kabaro tibo, ki bwiyale nime.
19 Mose alipotangaza kila amri kwa watu wote, alichukua damu ya ndama na ya mbuzi, pamoja na maji, sufu nyekundu na matawi ya mti wa hisopo, akanyunyizia kile kitabu na watu wote.
di la Musa dim nebo werfunero gwam mor bulange nobo nin gwam, la chon tũũ buyal bẽẽ nenne ka-nge nibe, wari ka-nge mwem, ka-nge yilanko fiyer ka-nge kang bwatiye ki duka bwii che, na cho watangi dor nober ka-nge bifumer werfunero. wi fo yii chi wuro bwiyale nore kwama ne'e kange werfune kumen.”
20 Alisema, “Hii ndiyo damu ya agano, ambalo Mungu amewaamuru kulitii.”
21 Vivyo hivyo alinyunyizia damu hiyo kwenye ile hema pamoja na kila kifaa kilichotumika ndani yake kwa taratibu za ibada.
nyo cho te-em bwiyale dor bikure ka-nge gwam kullen do more che wo ci mam nangen wabkati chike
22 Kwa kweli sheria hudai kwamba, karibu kila kitu kitakaswe kwa damu, wala pasipo kumwaga damu, hakuna msamaha wa dhambi.
dige bulangko tabe, gwam ki bwiyale chi nirti chike, tana chorka bwiyalek maniri, tabka bwirangke man.
23 Kwa hiyo, ilikuwa muhimu kwa nakala za vitu vile vya mbinguni vitakaswe kwa dhabihu hizi, lakini vitu halisi vya mbinguni vilihitaji dhabihu bora kuliko hizi.
Tam nyo kulen do na bitenkar dige mor dii kwama na nirum ki twika bichirek. gwam nyo twika ko kwama tam a nirum ki twikako yoryore.
24 Kwa maana Kristo hakuingia kwenye patakatifu palipofanywa kwa mikono ya mwanadamu, ambao ni mfano wa kile kilicho halisi. Yeye aliingia mbinguni penyewe, ili sasa aonekane mbele za Mungu kwa ajili yetu.
Almachiya dobo fiye wuchak chi mũũ ki ka-nge, wuro betenkar dige wo na bilengke che. nyo chon ya mor dii kwama ki dorcer, nimde cho ya kabum kwama ker ber.
25 Wala hakuingia mbinguni ili apate kujitoa mwenyewe mara kwa mara, kama vile kuhani mkuu aingiavyo Patakatifu pa Patakatifu kila mwaka kwa damu ambayo si yake mwenyewe.
yabo wii na ne'e dor chero kiritti kila nin, nawo nii wabe bikure matiye, wuro doti fiye wuchake choti-choti ki bwiyale ka-nge bichir.
26 Ingekuwa hivyo, ingempasa Kristo kuteswa mara nyingi tangu kuumbwa kwa ulimwengu. Lakini sasa ametokea mara moja tu katika mwisho wa nyakati aiondoe dhambi kwa kujitoa mwenyewe kuwa dhabihu. (aiōn g165)
tano nyori tamyo cha nuwa dotange kiriti-kiriti fiye kabak dor bitiner, di na weu kiriti win chi fwetanche, chwile kalewo nin na tum bwirangke, cho chwi cho nẽẽ ken gor chere. (aiōn g165)
27 Kama vile mwanadamu alivyowekewa kufa mara moja tu na baada ya kufa akabili hukumu,
nawo chi binen gwam bo bwiya kiriti win chwat, bwiko chek, kum kan bolang.
28 vivyo hivyo Kristo alitolewa mara moja tu kuwa dhabihu ili azichukue dhambi za watu wengi. Naye atakuja mara ya pili, sio kuchukua dhambi, bali kuwaletea wokovu wale wanaomngoja kwa shauku.
nyo Almachiya wo chi nẽẽ kiriti win chwat, be na cho tum bwrangke nobo kila, yila na yobe che kebo nangen tũũka bwirangke, di la dor nobo wuro nintang choti ki birum nẽẽ na fuloci.

< Wahebrania 9 >