< Wahebrania 7 >

1 Kwa kuwa huyu Melkizedeki alikuwa mfalme wa Salemu na kuhani wa Mungu Aliye Juu Sana. Alipokutana na Abrahamu akirudi kutoka kuwashinda hao wafalme, Melkizedeki alimbariki,
Lulyale ndiki Melkizedeki, ntwa ghwa Salemu, n'tekesi ghwa Nguluve alikukyanya, juno alyatang'ine nu Aburahamu yeigomoka ahumile kubuda ghwope akamfunulila.
2 naye Abrahamu alimpa sehemu ya kumi ya kila kitu. Kwanza, jina hilo Melkizedeki maana yake ni “mfalme wa haki.” Na pia “mfalme wa Salemu” maana yake ni “mfalme wa amani.”
U Aburahamu akampela kimo mu kijigho kino alya mhejile ujilani ghwa mwene “Melkizedeki” kwekuuti” bntwa ghwa kyang'haani” kange “ntwa ghwa Salemu” juno ghwa “ntwa ghwa lutengano.”
3 Hana Baba wala mama, hana ukoo, hana mwanzo wala mwisho wa siku zake. Kama Mwana wa Mungu, yeye adumu akiwa kuhani milele.
Nsila nhaata, nsila ng'ina, nsila va pasi, nsila vutengulilo vwa kighono nambe vusililo vwa mikalile gha mwene. Pa uluo, isighala n'tekesi ghwa kuvusila nakusila, hwene mwana ghwa Nguluve.
4 Tazama jinsi alivyokuwa mkuu: Hata Abrahamu, baba yetu mkuu, alimpa sehemu ya kumi ya nyara zake.
Lino sagha vule umuunhu uju vule mbaha. umpafi viitu uAbrahamu akampela kimo mu kijigho mu finu fino akatolile muvulugu.
5 Basi sheria inawaagiza wana wa Lawi ambao hufanyika makuhani kupokea sehemu ya kumi kutoka kwa watu ambao ni ndugu zao, ingawa ndugu zao ni wazao wa Abrahamu.
Nuvwa kyang'haani, lukolo lwa Walawi, vano vakupile i ofisi sa vatekesi valyale ni ndaghilo kuhuma muvanya ndaghilo kukong'ania mukivalilo kimo ku kijigho kuhuma kwa muunhu, vano ve, kuhuma kuva Israeili vanine, palikimo nakuuti aveene, kange, lwe lukolo kuhuma kwa Abrahamu.
6 Huyu Melkizedeki, ingawa hakufuatia ukoo wake kutoka kwa Lawi, lakini alipokea sehemu ya kumi kutoka kwa Abrahamu na kumbariki yeye aliyekuwa na zile ahadi.
Looli uMelkizedeki, juno nalyale nulukolo kuhuma ku va Lawi, alyupile ikivalilo kimo mu kijigho kimo kuhuma kwa Abrahamu, pe akamfunulila, umwene alyale nulu fingo
7 Wala hakuna shaka kwamba mdogo hubarikiwa na aliye mkuu kumliko yeye.
Apuo najikanilue kuuti umuunhu un'debe ifunulivua nu ngoyo.
8 Kwa upande mmoja, sehemu ya kumi hupokelewa na wale ambao hupatikana na kufa; lakini kwa upande mwingine hupokelewa na yeye ambaye hushuhudiwa kuwa yu hai.
Ku mbombo iji umuunhu ikwupila ikivalilo kimo mu kijigho kimo ilifua ikighono kimo, looli mu mbombo ijinge jumo juno alyupile kimo mu kijigho kimo kwa Abrahamu, vakamwolelela hwene nyavukalo.
9 Mtu anaweza hata kusema kwamba Lawi, ambaye hupokea sehemu ya kumi, alitoa hiyo sehemu ya kumi kupitia kwa Abrahamu,
Namuhwanikisio sa njovele, uLawi juno alyupile ikivalilo kimo mu kijigho kimo, kange alyahombile kimo mu kijigho kimo kwa Aburahamu,
10 kwa sababu Melkizedeki alipokutana na Abrahamu, Lawi alikuwa bado katika viuno vya baba yake wa zamani.
ulwakuva u Lawi alyale mu mavingo fya va nhaata vvake Abrahamu unsiki Melkizedeki pano alyatang'ine nu Abrahamu.
11 Kama ukamilifu ungeweza kupatikana kwa njia ya ukuhani wa Walawi (kwa kuwa katika msingi huo, sheria ilitolewa kwa watu), kwa nini basi imekuwepo haja ya kuja kuhani mwingine: kuhani kwa mfano wa Melkizedeki, wala si kwa mfano wa Aroni?
Lino ndavule uvukwilani lukaghwesisie kukila kwa n'tekesi u Lawi, (pa uluo pasi pa mwene avanu vikupila indaghilo), kulyale nuvufumbue vuliku kukila kwa ntekesi ujunge kukwima pa mbele pa kihwanikisio ikya Melikizedeki, kenge na kwekukemelua mufupinyua fya Haruni?
12 Kwa kuwa yanapotokea mabadiliko ya ukuhani, pia lazima yawepo mabadiliko ya sheria.
Lino untekesi angagaluke, pejilondua na sindaghilo si hambung'ane.
13 Yeye ambaye mambo haya yanasemwa alikuwa wa kabila lingine, na hakuna mtu wa kabila hilo aliyewahi kuhudumu katika madhabahu.
Kwajumo juno amasio agha ghakajovilue vwimila vwa kikolo kinge, kuhuma kwa mwene nakwale juno alyimile pa litekelo.
14 Kwa maana ni dhahiri kwamba Bwana wetu alitoka katika uzao wa Yuda, tena kuhusu kabila hilo Mose hakusema lolote kwa habari za makuhani.
Lino luli pavuvalafu kuuti uNtwa ghwitu alyahumile mwa Yuda, ikisina kino uMusa nakatambulagha avatekesi
15 Tena hayo tuliyosema yako wazi zaidi kama akitokea kuhani mwingine kama Melkizedeki,
Nagha ghano tujova ghalipavugholofu ulwakuti un'tekesi ujunge ihumila kukihwanikisio kya Mmelkizedeki.
16 yeye ambaye amefanyika kuhani si kwa misingi ya sheria kama ilivyokuwa kwa baba zake, bali kwa misingi ya uwezo wa uzima usioharibika.
Untekesi umpia uju naghejumo juno ulwalo lwa ndaghilo silivwimila vwa kikolo kya muunhu, looli ulwalo lwa ngufu sa mikalile ghano naghighela ku nangika.
17 Kwa maana imeshuhudiwa kwamba: “Wewe ni kuhani milele, kwa mfano wa Melkizedeki.” (aiōn g165)
Lilno amalembi gha vwolesi vwimila umwene: “Uve ulintekesi kuvusila na kusila pambele pa kihwanikisio kya Melikizedeki.” (aiōn g165)
18 Kwa upande mmoja, ile amri ya mwanzo isiyofaa na dhaifu imebatilishwa
Ulwakuva indaghilo indongosi sikavikilue palubale ulwakuva mbotembete nasinoghile.
19 (kwa maana sheria haikufanya kitu chochote kuwa kikamilifu). Kwa upande mwingine, tumeletewa tumaini lililo bora zaidi ambalo linatuleta karibu na Mungu.
Pa uluo indaghilo najikavombile kyekyoni ikikwilanifu. Ulwene, kulyale nuvukangali uvunofu ku agha tuvela kwa nguluve.
20 Nalo tumaini hilo halikutolewa pasipo kiapo! Wengine walikuwa makuhani pasipo kiapo chochote,
Uvukangasio uvu uvunono navulyahumila kisila kujova ikijiigho, pa ulu avatekesi avange nava katolile ikijigho kyekyoni.
21 lakini Yesu alifanywa kuhani kwa kiapo wakati Mungu alimwambia: “Bwana ameapa naye hatabadilisha mawazo yake: ‘Wewe ni kuhani milele.’” (aiōn g165)
Looli u Nguluve akatolile ikijigho unsiki ghuno akajovile vwimila u Yesu, Untwa ijighile nangabadilisie amasaghe gha mwene.' uve uli ntekesi kuvusila na kusile.” (aiōn g165)
22 Kwa ajili ya kiapo hiki, Yesu amekuwa mdhamini wa agano lililo bora zaidi.
Pa uluo uYesu isile kuvutavulilua fwa lufingo ulunono.
23 Basi pamekuwepo na makuhani wengi wa aina hiyo, kwa kuwa kifo kiliwazuia kuendelea na huduma yao ya ukuhani.
vwakyang'haani, uvufue vusigha untekesi kute kuvusila kusila. Pauluo pe valyale avatekesi vinga, jumonga kabula ja junge.
24 Lakini kwa sababu Yesu anaishi milele, anao ukuhani wa kudumu. (aiōn g165)
Looli u lwakuva uYesu ikukala kuvusila nakusila, uvutekesi vwa mwene navubadilika. (aiōn g165)
25 Kwa hiyo anaweza kuwaokoa kabisa wale wanaomjia Mungu kupitia kwake, kwa sababu yeye adumu daima kuomba kwa ajili yao.
Pa uluo umwene iwesia nu vukwilanifu piling'ania pikivapoka vano vikum'belelela uNguluve kukila kwa mwene, ulwakuva umwene ikukala jaatu kuku funya vwimila vuvanave.
26 Kwa kuwa ilitupasa tuwe na Kuhani Mkuu wa namna hii, yaani, aliye mtakatifu, asiye na lawama, asiye na dosari, aliyetengwa na wenye dhambi na kuinuliwa juu ya mbingu.
Pa uluo untekesi ghw kihwani iki anoghile kulyusue. Unsila nyivi, vuhosi, nsafi, juno abaghulivue kuhuma kuva nyanyivi, alikukyanya kukila uvu langa.
27 Yeye hahitaji kutoa dhabihu siku kwa siku kwa ajili ya dhambi, kwanza kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe, kisha kwa ajili ya dhambi za watu kama wale makuhani wakuu wengine. Yeye alitoa dhabihu kwa ajili ya dhambi zao mara moja tu, alipojitoa mwenyewe.
Umwene nalyale nuvunoghelua, ikihwani kya vatekesi avavaha kuhumia ilitekelo jatu, uvutengulilo vwa nyivi sake jujuo, pambele kunyivi sa vaanhu. Akavomba anala lwa kammo ku vooni, alihumisie jujuo.
28 Kwa kuwa sheria huwaweka makuhani wakuu watu ambao ni dhaifu; lakini lile neno la kiapo, lililokuja baada ya sheria, lilimweka Mwana, ambaye amefanywa kuwa mkamilifu milele. (aiōn g165)
Kundaghilo ikuvasalula avaanhu ava votevote kuva vatekesi vavaha, looli ilisio lya lujigho lino likisile pmbele pa ndaghilo, akansalua u Mwana, juno akavombilue kuva nkwilanisi ghwa kuvusila kusila. (aiōn g165)

< Wahebrania 7 >