< Wahebrania 7 >
1 Kwa kuwa huyu Melkizedeki alikuwa mfalme wa Salemu na kuhani wa Mungu Aliye Juu Sana. Alipokutana na Abrahamu akirudi kutoka kuwashinda hao wafalme, Melkizedeki alimbariki,
Ahina Melkhihzadek cun Salem sangpuxang ja ak’hlüng säih Pamhnama Ktaiyüa kyaki. Abraham naw sangpuxang kphyü jah näng lü ngtuk pawhnak üngkhyüh a law be üng Melkhihzadek naw nghmuh püi lü dawnak a pet.
2 naye Abrahamu alimpa sehemu ya kumi ya kila kitu. Kwanza, jina hilo Melkizedeki maana yake ni “mfalme wa haki.” Na pia “mfalme wa Salemu” maana yake ni “mfalme wa amani.”
Abraham naw a yah naküt xa üngka mat ani üng peki. (Melkhihzadek tinak akcük suilam ta “Ngsungpyunkia Sangpuxang” ja Salem sangpuxanga a thawna phäh a ngming cun “Dimdeihnaka Sangpuxanga pi kyaki”) ti naka kyaki
3 Hana Baba wala mama, hana ukoo, hana mwanzo wala mwisho wa siku zake. Kama Mwana wa Mungu, yeye adumu akiwa kuhani milele.
Melkhihzadeka nu ja pa, a pupae am mi jah ksing. A hminak ja a thihnak pi am mi ksing. Ani cun Pamhnama Cakpa mäia angläta ktaiyüa kyaki.
4 Tazama jinsi alivyokuwa mkuu: Hata Abrahamu, baba yetu mkuu, alimpa sehemu ya kumi ya nyara zake.
Ihlawka dämduhki tia nami ksingki. A ngming ngthangkia mi pupa Abraham naw ngtuk pawh lü a yaha xa üngka mat ani üng a pet ni.
5 Basi sheria inawaagiza wana wa Lawi ambao hufanyika makuhani kupokea sehemu ya kumi kutoka kwa watu ambao ni ndugu zao, ingawa ndugu zao ni wazao wa Abrahamu.
Ktaiyüea kyaki, Leviha mjükphyüie naw Isarel khyange veia ami taknak xa üngka mat cun ami kbämei vaia Thum üng jah peki. Acune cun Abrahama mjükphyüie pi kya lü amäta khyangea pi kyaki.
6 Huyu Melkizedeki, ingawa hakufuatia ukoo wake kutoka kwa Lawi, lakini alipokea sehemu ya kumi kutoka kwa Abrahamu na kumbariki yeye aliyekuwa na zile ahadi.
Melkhihzadek cun Leviha mjüa am kya, lüpi ani naw Abraham, Pamhnama khyütam yahkia khawh xa üngka mat la lü dawnak peki.
7 Wala hakuna shaka kwamba mdogo hubarikiwa na aliye mkuu kumliko yeye.
Dawnak yahkia kthaka dawnak peki cun däm bawki tia mi ksingki.
8 Kwa upande mmoja, sehemu ya kumi hupokelewa na wale ambao hupatikana na kufa; lakini kwa upande mwingine hupokelewa na yeye ambaye hushuhudiwa kuwa yu hai.
Cangcim naw, thikia ktaiyüe naw xa üngka mat la u lü am thi theikia Melkhihzadek naw xa üngka mat a lak tia, a pyena kba ni.
9 Mtu anaweza hata kusema kwamba Lawi, ambaye hupokea sehemu ya kumi, alitoa hiyo sehemu ya kumi kupitia kwa Abrahamu,
Pyen vai a kyak üng, Abraham naw a khawh xa üngka mat a pet üng Levih (A mjükphyüi naw xa üngka mat laki) naw pi pe hngaki.
10 kwa sababu Melkizedeki alipokutana na Abrahamu, Lawi alikuwa bado katika viuno vya baba yake wa zamani.
Levih cun am hmi law ham lüpi pyen vaia kyak üng, a pupa Abraham naw Melkhihzadek a hmuh üng ania k'uma veki.
11 Kama ukamilifu ungeweza kupatikana kwa njia ya ukuhani wa Walawi (kwa kuwa katika msingi huo, sheria ilitolewa kwa watu), kwa nini basi imekuwepo haja ya kuja kuhani mwingine: kuhani kwa mfano wa Melkizedeki, wala si kwa mfano wa Aroni?
Isarel khyange veia levih ktaiyü ninga Thum cun jah peta kyaki. Levih ktaiyüea bilawh hin a kümcei ania kyak üng ktaiyü akce a po law vai am hlü, acun hin Aron üngkhyüh am kya lü Melkhihzadek üngkhyüh vai ni.
12 Kwa kuwa yanapotokea mabadiliko ya ukuhani, pia lazima yawepo mabadiliko ya sheria.
Ktaiyü anghlai üng thum pi nghlai hnga khai.
13 Yeye ambaye mambo haya yanasemwa alikuwa wa kabila lingine, na hakuna mtu wa kabila hilo aliyewahi kuhudumu katika madhabahu.
Mi Bawipa naw a pyen ta a mjü hngaki naw säng na lü ania mjüe naw ktaiyü cun kphyawnkunga am pawh yah u.
14 Kwa maana ni dhahiri kwamba Bwana wetu alitoka katika uzao wa Yuda, tena kuhusu kabila hilo Mose hakusema lolote kwa habari za makuhani.
Bawipa cun Judaha mjü üngkhyüh hmi law khai tia ngsing lü Mosi naw ktaiyüea mawng a pyen üng a mjü cun am pyen sih.
15 Tena hayo tuliyosema yako wazi zaidi kama akitokea kuhani mwingine kama Melkizedeki,
Ahina mawng cun ngsing law dämki, Melkhihzadeka mäi ktaiyü a kce po lawki ni.
16 yeye ambaye amefanyika kuhani si kwa misingi ya sheria kama ilivyokuwa kwa baba zake, bali kwa misingi ya uwezo wa uzima usioharibika.
Ani ktaiyüa mcawn cun nghngicim naw bilo lü pawhmsaha am kya, lüpi apäihnak am vekia xünnaka johit üngkhyüha ni a kya ve.
17 Kwa maana imeshuhudiwa kwamba: “Wewe ni kuhani milele, kwa mfano wa Melkizedeki.” (aiōn )
Cangcim naw, “Nang cun Melkhihzadeka ktaiyü a kya lawa kba angläta ktaiyüa na kya khai,” tia pyenki. (aiōn )
18 Kwa upande mmoja, ile amri ya mwanzo isiyofaa na dhaifu imebatilishwa
Bilawh kphyüm cun hawiha kyaki, isetiakyaküng ani cun summang vai am kya ti.
19 (kwa maana sheria haikufanya kitu chochote kuwa kikamilifu). Kwa upande mwingine, tumeletewa tumaini lililo bora zaidi ambalo linatuleta karibu na Mungu.
Mosia thum naw anaküt am kümceisak thei. Pamhnam am mi cähnak law üngkhyüha daw bawkia äpeinak mi yahki.
20 Nalo tumaini hilo halikutolewa pasipo kiapo! Wengine walikuwa makuhani pasipo kiapo chochote,
Acuna thea, Pamhnama ng'yünnak pi veki. Akce ktaiyüe vaia jah mcawn üng ahikba ng'yünnak am ve khawi.
21 lakini Yesu alifanywa kuhani kwa kiapo wakati Mungu alimwambia: “Bwana ameapa naye hatabadilisha mawazo yake: ‘Wewe ni kuhani milele.’” (aiōn )
Ng’yünnak üngkhyüh Jesuh ktaiyüa a thawn law üng Pamhnam naw ani üng, “Bawipa naw khyütam a sayü a pawh ta, ani naw ahin hin am la be: ‘Nang cun angläta Ktaiyüa na kya khai’” a ti. (aiōn )
22 Kwa ajili ya kiapo hiki, Yesu amekuwa mdhamini wa agano lililo bora zaidi.
Acuna kyase, Jesuh cun hina hngalangki akdaw bawk ngthumkhäna mkhühüpnaka pawhki.
23 Basi pamekuwepo na makuhani wengi wa aina hiyo, kwa kuwa kifo kiliwazuia kuendelea na huduma yao ya ukuhani.
Akcea hngalangnak ta: ktaiyü kce khawhah veki. Ami cun thi u lü ami khut am msu thei u.
24 Lakini kwa sababu Yesu anaishi milele, anao ukuhani wa kudumu. (aiōn )
Jesuh cun angläta xüngkia kya lü a ktaiyünaka khut cun khyang kcea vei am pha thei. (aiōn )
25 Kwa hiyo anaweza kuwaokoa kabisa wale wanaomjia Mungu kupitia kwake, kwa sababu yeye adumu daima kuomba kwa ajili yao.
Ani üngkhyüh Pamhnama vei lawki he cun atuh ja angläta jah küikyan khawhki, isetiakyaküng, amimia phäh Pamhnam nghuinak khaia angläta xüngki ni.
26 Kwa kuwa ilitupasa tuwe na Kuhani Mkuu wa namna hii, yaani, aliye mtakatifu, asiye na lawama, asiye na dosari, aliyetengwa na wenye dhambi na kuinuliwa juu ya mbingu.
Acunakyase, Jesuh, Ktaiyü Ngvai Säih naw mi hlükaw jah kbebangki. Ani cun ngcimki; hmanak ja mkhyekatnak pi am ve, ani cun mkhyeki he üngkhyüh phyäi lü Khankhawea khana a mhlün ni.
27 Yeye hahitaji kutoa dhabihu siku kwa siku kwa ajili ya dhambi, kwanza kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe, kisha kwa ajili ya dhambi za watu kama wale makuhani wakuu wengine. Yeye alitoa dhabihu kwa ajili ya dhambi zao mara moja tu, alipojitoa mwenyewe.
Ani cun akce ktaiyü ngvaie säiha kba am ni; ani naw amäta mkhyea phäh ja khyangea mkhyea phäh ngkengtainak amhnüp tä a pawh vai am hlü. Ani naw amät ngkengtainaka ahun pawh hin avana phäh ahun däk a pawh ni.
28 Kwa kuwa sheria huwaweka makuhani wakuu watu ambao ni dhaifu; lakini lile neno la kiapo, lililokuja baada ya sheria, lilimweka Mwana, ambaye amefanywa kuwa mkamilifu milele. (aiōn )
Am kümceikiea khyange cun ktaiyü ngvai säih vaiea Mosia Thum naw jah mcawnki. Lüpi Pamhnam naw ng'yünnak am khyütam a pawh ta Thuma hnua law khai, angläta kümceikia a pawh Cakpa cun a mcawn ni. (aiōn )