< Wahebrania 6 >
1 Kwa hiyo, tukiachana na mafundisho yale ya awali kuhusu Kristo na tukisonga mbele ili tufikie utimilifu, sio kuweka tena msingi wa mafundisho ya kuzitubia kazi zisizo na uhai na imani katika Mungu,
Lader os derfor forbigaa Begyndelsesordet om Kristus og skride frem til Fuldkommenheden uden atter at lægge Grundvold med Omvendelse fra døde Gerninger og med Tro paa Gud,
2 mafundisho kuhusu aina za ubatizo, kuwekea watu mikono, ufufuo wa wafu, na hukumu ya milele. (aiōnios )
med Lære om Døbelser og. Haandspaalæggelse og dødes Opstandelse, og evig Dom. (aiōnios )
3 Mungu akitujalia tutafanya hivyo.
Ja, dette ville vi gøre, saafremt Gud tilsteder det.
4 Kwa kuwa ni vigumu kwa wale ambao wakati fulani walishapata nuru, ambao walishaonja kipawa cha mbinguni, ambao wamekwisha kushiriki katika Roho Mtakatifu,
Thi dem, som een Gang ere blevne oplyste og have smagt den himmelske Gave og ere blevne delagtige i den Helligaand
5 ambao wameonja uzuri wa Neno la Mungu na nguvu za wakati ujao, (aiōn )
og have smagt Guds gode Ord og den kommende Verdens Kræfter, og som ere faldne fra, — dem er det umuligt atter at forny til Omvendelse, (aiōn )
6 kisha wakianguka, kuwarejesha tena katika toba. Kwa kuwa wanamsulubisha Mwana wa Mungu mara ya pili na kumdhalilisha hadharani, nayo ikawa hasara kwao.
da de igen korsfæste sig Guds Søn og stille ham til Spot.
7 Ardhi ile ipokeayo mvua inyeshayo juu yake mara kwa mara hutoa mazao yanayowanufaisha wale ambao kwa ajili yao yalimwa, nayo nchi hiyo hupokea baraka kutoka kwa Mungu.
Thi Jorden, som drikker den ofte derpaa faldende Regn og frembringer Vækster, tjenlige for dem, for hvis Skyld den ogsaa dyrkes, faar Velsignelse fra Gud;
8 Lakini ardhi ikizaa miiba na mibaruti, haina thamani na iko hatarini ya kulaaniwa. Mwisho wake ni kuchomwa moto.
men naar den bærer Torne og Tidsler, er den ubrugbar og Forbandelse nær; Enden med den er at brændes.
9 Ingawa tunasema hivi, ndugu zangu wapendwa, kwa upande wenu tuna hakika ya mambo mema zaidi, mambo yale yahusuyo wokovu.
Dog, i Henseende til eder, I elskede! ere vi overbeviste om det bedre og det, som bringer Frelse, selv om vi tale saaledes.
10 Mungu si mdhalimu: yeye hataisahau kazi yenu na upendo ule mlioonyesha kwa ajili yake katika kuwahudumia watakatifu na hata sasa mnaendelea kuwahudumia.
Thi Gud er ikke uretfærdig, saa at han skulde glemme eders Gerning og den Kærlighed, som I have Udvist imod hans Navn, idet I have tjent og tjene de hellige.
11 Nasi twataka kila mmoja wenu aonyeshe bidii iyo hiyo ili mpate kujua uhakika kamili wa lile tumaini mpaka mwisho,
Men vi ønske, at enhver af eder maa udvise den samme Iver efter den fulde Vished i Haabet indtil Enden,
12 ili msije mkawa wavivu, bali mpate kuwaiga wale ambao kwa imani na saburi hurithi zile ahadi.
for at I ikke skulle blive sløve, men efterfølge dem, som ved Tro og Taalmodighed arve Forjættelserne.
13 Mungu alipompa Abrahamu ahadi yake, kwa kuwa hakuwepo mwingine aliyekuwa mkuu kuliko yeye ambaye angeweza kuapa kwa jina lake, aliapa kwa nafsi yake,
Thi da Gud gav Abraham Forjættelsen, svor han ved sig selv, fordi han ingen større havde at sværge ved, og sagde:
14 akisema, “Hakika nitakubariki na kukupa wazao wengi.”
„Sandelig, jeg vil rigeligt velsigne dig og rigeligt mangfoldiggøre dig.”
15 Abrahamu naye, baada ya kungoja kwa saburi, alipokea kile kilichoahidiwa.
Og saaledes opnaaede han Forjættelsen ved at vente taalmodigt.
16 Wanadamu huapa kwa yeye aliye mkuu kuwaliko, nacho kiapo hicho huthibitisha kile kilichosemwa na hivyo humaliza mabishano yote.
Mennesker sværge jo ved en større, og Eden er dem en Ende paa al Modsigelse til Stadfæstelse.
17 Mungu alipotaka kuonyesha kwa udhahiri zaidi ile asili ya kutokubadilika kwa ahadi yake kwa warithi wa ahadi, aliithitibisha kwa kiapo.
Derfor, da Gud ydermere vilde vise Forjættelsens Arvinger sit Raads Uforanderlighed, føjede han en Ed dertil,
18 Mungu alifanya hivyo ili kwa vitu viwili visivyobadilika, yaani ahadi yake na kiapo chake, ambavyo kwavyo Mungu hawezi kusema uongo, sisi ambao tumemkimbilia ili tulishike lile tumaini lililowekwa mbele yetu tuwe na faraja thabiti.
for at vi ved to uforanderlige Ting, i hvilke det var umuligt, at Gud kunde lyve, skulde have en kraftig Opmuntring, vi, som ere flyede hen for at holde fast ved det Haab, som ligger foran os,
19 Tunalo tumaini hili kama nanga ya roho iliyo imara na thabiti. Tumaini hili huingia katika sehemu takatifu iliyopo nyuma ya pazia,
hvilket vi have som et Sjælens Anker, der er sikkert og fast og gaar ind inden for Forhænget,
20 mahali ambapo Yesu mtangulizi wetu aliingia kwa niaba yetu. Yeye amekuwa Kuhani Mkuu milele, kwa mfano wa Melkizedeki. (aiōn )
hvor Jesus som Forløber gik ind for os, idet han efter Melkisedeks Vis blev Ypperstepræst til evig Tid. (aiōn )