< Wahebrania 5 >

1 Kwa maana kila kuhani mkuu anayechaguliwa miongoni mwa wanadamu anawekwa kuwawakilisha kwa mambo yanayomhusu Mungu, ili apate kutoa matoleo na dhabihu kwa ajili ya dhambi.
Ochai Inlaltak ngei ngân chu sietnangei sika inbôlna le neinunpêkngei pêk ranga miriemngei ruthûla Pathien sintho ranga a miriem champuingei renga thangin phun an ni.
2 Kwa kuwa yeye mwenyewe ni dhaifu, aweza kuwachukulia kwa upole wale wasiojua na kupotoka.
Ma ngei khom hah lam tamtaka an râtloina sikin, ite rietloi ngei le an sietnangei chunga han an phûk ânuoi thei ngâi ani.
3 Hii ndiyo sababu inampasa kutoa dhabihu kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe na vivyo hivyo kwa ajili ya dhambi za watu.
Male ha an râtloina sika han sietnangei sika inbôlna hah mingei ta rang vaia pêk loiin anni ngei ta rang khom an pêk sa anâng ani.
4 Hakuna anayejitwalia heshima hii mwenyewe; ni lazima aitwe na Mungu, kama vile Aroni alivyoitwa.
Miritna chang rang nuomin tute atheiin ochai inlaltak chang thei ngâi mak ngei. Aaron anga Pathien koi ngei vai kêng ochai inlaltak an chang thei ngâi.
5 Pia Kristo hakujitwalia utukufu yeye mwenyewe wa kuwa Kuhani Mkuu, bali Mungu alimwambia, “Wewe ni Mwanangu; leo mimi nimekuzaa.”
Ma angdên han, Khrista khomin ochai inlaltak ani sika miritna hah ama ta rangin lâk mak. Manêkin, Pathien'n a kôm, “Nangma ka Nâipasal ni ni; aviensûn hin na Pa ko hongni zoi,” a ti ani.
6 Pia mahali pengine asema, “Wewe ni kuhani milele, kwa mfano wa Melkizedeki.” (aiōn g165)
Mun danga, “Nangma chu Melchizedek angin kumtuongin ochai nîng ni tih,” a ti sa. (aiōn g165)
7 Katika siku za maisha ya Yesu hapa duniani, alimtolea maombi na dua pamoja na kulia sana na machozi, yeye awezaye kumwokoa na mauti, naye Mungu akamsikia kwa sababu ya kutii kwake kwa unyenyekevu.
Pilchunga a ring lâi han Jisua'n thina renga ama sanminring theipu Pathien kôm inringtaka iniekin le mitrithi tâk pumin chubaithona le ngêna a neia. Rangâichîn taka ân pêkna sikin Pathien'n a rangâi pe ani.
8 Ingawa alikuwa Mwana, alijifunza utiifu kutokana na mateso aliyoyapata,
Aniatachu Pathien Nâipasal tatak nikhomsenla a tuongna ngeia han chongjômna ânchu ani.
9 na akiisha kukamilishwa, akawa chanzo cha wokovu wa milele kwa wote wanaomtii. (aiōnios g166)
Achukphar a hongni tena chu a chongjôm ngei ta rangin kumtuong sanminringna nâr a hongni zoi. (aiōnios g166)
10 Naye amewekwa na Mungu kuwa Kuhani Mkuu kwa mfano wa Melkizedeki.
male Pathien'n Melchizedek angin kumtuong ochai inlaltak ni rangin a phuong zoi.
11 Tunayo mengi ya kusema kuhusu habari ya ukuhani huu, lakini ni vigumu kuyaeleza, kwa sababu ninyi ni wazito wa kuelewa.
Ma chungroia hin misîr rang tamtak ei dôn, aniatachu a misîr minthâr ântak nin rietthei loi sikin.
12 Kwa hakika, ingawa mpaka wakati huu ingewapasa kuwa walimu, bado mnahitaji mtu wa kuwafundisha tena hatua za awali za kweli ya Neno la Mungu. Mnahitaji maziwa, wala si chakula kigumu!
Azora mindonin chu minchupu nithei rak ta ungla ânhoia, hannirese Pathien chongbul tak la minchu nin nâng nôk zoi ani. Burum nêk nêkin runutui nêk kêng nin la nâng rêk.
13 Kwa maana yeyote aishiye kwa kunywa maziwa bado yeye ni mtoto mchanga, hana ujuzi katika mafundisho kuhusu neno la haki.
Tukhom runutui nêk a la nâng chu nâipang, adik le adikloi ite la riet loi ani.
14 Lakini chakula kigumu ni kwa ajili ya watu wazima, ambao kwa kujizoeza wamejifunza kupambanua kati ya mema na mabaya.
Burum rêk chu ulienngei an thôn zong sika asalesie sensâi thei ngei ta rang ani.

< Wahebrania 5 >