< Wahebrania 4 >

1 Kwa hiyo, kwa kuwa bado ahadi ya kuingia rahani iko wazi, tujihadhari ili hata mmoja wenu asije akaikosa.
Let, portanto, para que ninguém de vocês pareça ter faltado à promessa de entrar em seu descanso.
2 Kwa maana sisi pia tumesikia Injili iliyohubiriwa kwetu, kama nao walivyosikia; lakini ujumbe ule waliousikia haukuwa na maana kwao, kwa sababu wale waliousikia hawakuuchanganya na imani.
Pois de fato temos tido boas notícias pregadas para nós, mesmo como eles também tiveram, mas a palavra que ouviram não os beneficiou, porque não foi misturada com fé por aqueles que ouviram.
3 Sasa sisi ambao tumeamini tunaingia katika ile raha, kama vile Mungu alivyosema, “Kwa hiyo nikaapa katika hasira yangu, ‘Kamwe hawataingia rahani mwangu.’” Lakini kazi yake ilikamilika tangu kuumbwa kwa ulimwengu.
Pois nós, que acreditamos, entramos nesse descanso, mesmo que ele tenha dito: “Como jurei em minha ira, eles não entrarão no meu descanso”; embora as obras tenham terminado a partir da fundação do mundo.
4 Kwa maana mahali fulani amezungumza kuhusu siku ya saba, akisema: “Katika siku ya saba Mungu alipumzika kutoka kazi zake zote.”
Pois ele disse isto em algum lugar sobre o sétimo dia: “Deus descansou no sétimo dia de todas as suas obras”;
5 Tena hapo juu asema, “Kamwe hawataingia rahani mwangu.”
e neste lugar novamente: “Eles não entrarão no meu descanso”.
6 Kwa hiyo inabaki kuwa wazi kwa wengine kuingia, nao wale wa kwanza waliopokea Injili walishindwa kuingia kwa sababu ya kutokutii.
Seeing portanto, permanece que alguns devem entrar nele, e aqueles a quem a boa notícia foi pregada antes não entraram por causa da desobediência,
7 Kwa hiyo Mungu ameweka siku nyingine, akaiita Leo, akisema kwa kinywa cha Daudi baadaye sana, kwa maneno yaliyotangulia kunenwa: “Leo, kama mkiisikia sauti yake, msiifanye mioyo yenu migumu.”
ele novamente define um certo dia, “hoje”, dizendo através de David tanto tempo depois (como já foi dito), “Hoje, se você quiser ouvir sua voz, não endureçam seus corações”.
8 Kwa maana kama Yoshua alikuwa amewapa raha, Mungu hangesema tena baadaye kuhusu siku nyingine.
Pois se Joshua tivesse lhes dado descanso, ele não teria falado mais tarde de outro dia.
9 Kwa hiyo basi, imebaki raha ya Sabato kwa ajili ya watu wa Mungu;
Resta, portanto, um descanso sabático para o povo de Deus.
10 kwa kuwa kila mmoja aingiaye katika raha ya Mungu pia hupumzika kutoka kazi zake mwenyewe, kama vile Mungu alivyopumzika kutoka kazi zake.
Pois aquele que entrou em seu descanso também descansou de suas obras, como Deus descansou de suas. Portanto, o site
11 Basi, na tufanye bidii kuingia katika raha hiyo, ili kwamba asiwepo yeyote atakayeanguka kwa kufuata mfano wao wa kutokutii.
Let dá diligência para entrar nesse descanso, para que ninguém caia após o mesmo exemplo de desobediência.
12 Kwa maana Neno la Mungu li hai tena lina nguvu. Lina makali kuliko upanga wowote wenye makali kuwili, hivyo linachoma hata kuzigawanya nafsi na roho, viungo na mafuta yaliyo ndani yake; tena li jepesi kuyatambua mawazo na makusudi ya moyo.
Pois a palavra de Deus é viva e ativa, e mais afiada que qualquer espada de dois gumes, perfurando até mesmo a divisão da alma e do espírito, tanto das articulações como da medula, e é capaz de discernir os pensamentos e intenções do coração.
13 Wala hakuna kiumbe chochote kilichofichika machoni pa Mungu. Kila kitu kimefunuliwa na kiko wazi machoni pake yeye ambaye kwake ni lazima tutatoa hesabu.
Não há criatura que esteja escondida de sua vista, mas todas as coisas estão nuas e abertas diante dos olhos dele, a quem devemos prestar contas.
14 Kwa kuwa tunaye Kuhani Mkuu kuliko wote ambaye ameingia mbinguni, Yesu Mwana wa Mungu, basi na tushikamane sana kwa uthabiti na ule ukiri wa imani yetu.
Tendo então um grande sumo sacerdote que passou pelos céus, Jesus, o Filho de Deus, vamos nos agarrar firmemente à nossa confissão.
15 Kwa kuwa hatuna Kuhani Mkuu asiyeweza kuchukuliana na sisi katika udhaifu wetu, lakini tunaye mmoja ambaye alijaribiwa kwa kila namna, kama vile sisi tujaribiwavyo: lakini yeye hakutenda dhambi.
Pois não temos um sumo sacerdote que não possa ser tocado com o sentimento de nossas enfermidades, mas um que tenha sido em todos os pontos tentado como nós, mas sem pecado. Portanto,
16 Basi na tukikaribie kiti cha rehema kwa ujasiri, ili tupewe rehema na kupata neema ya kutusaidia wakati wa mahitaji.
Let se aproxima com ousadia do trono de graça, para que possamos receber misericórdia e encontrar graça para ajudar em tempo de necessidade.

< Wahebrania 4 >