< Wahebrania 3 >
1 Kwa hiyo ndugu watakatifu, mnaoshiriki mwito wa mbinguni, mtafakarini Yesu, mtume na Kuhani Mkuu wa ukiri wetu.
Kwa nneyo mmaakulupalila ajangunji, mmandunji bha ukonjelo nshemilwenje, na a Nnungu, nibha bhandunji bhabho malinga uwe mwaaganishiyanje a Yeshu ni a Ntume na Bhakulungwa Bhaabhishila bhutukwaalunguya.
2 Alikuwa mwaminifu kwa yeye aliyemweka, kama vile Mose alivyokuwa mwaminifu katika nyumba yote ya Mungu.
Bhashinkubha bhaakulupalika kwa a Nnungu bhaabhishile bhatende liengo lila, malinga a Musha shibhashite kulupalika nnyumba jowe ja a Nnungu.
3 Yesu ameonekana anastahili heshima kubwa kuliko Mose, kama vile mjenzi wa nyumba alivyo wa heshima kubwa kuliko nyumba yenyewe.
A Yeshu bhanapinjikwa kuishimika kupunda a Musha, malinga nkushenga nyumba anaishimika kupunda nyumba jiyene.
4 Kwa kuwa kila nyumba hujengwa na mtu fulani, lakini Mungu ni mjenzi wa kila kitu.
Pabha kila nyumba pujishengwa naka mundu, ikabheje a Nnungu ni bhaashenga bhapengenye indu yowe.
5 Basi Mose kama mtumishi alikuwa mwaminifu katika nyumba yote ya Mungu, akishuhudia kwa yale ambayo yangetamkwa baadaye.
A Musha bhashinkukulupalika nnyumba jowe ja a Nnungu, bhalibheleketa ga indu ipinga kwiya lugulwa.
6 Lakini Kristo ni mwaminifu kama Mwana katika nyumba ya Mungu. Sisi ndio nyumba yake, kama tutashikilia sana ujasiri wetu na tumaini tunalojivunia.
Ikabheje a Kilishitu bhanakulupalika nnyumba ja a Nnungu malinga Mwana akwete ukulungwa. Uwe twaashayene ni nyumba jabho, tupundaga kola makangala na tama nkwaakulupalila a Kilishitu.
7 Kwa hiyo, kama Roho Mtakatifu asemavyo: “Leo, kama mkiisikia sauti yake,
Kwa nneyo, malinga shaabheleketa Mbumu jwa Ukonjelo, “Monaga lelo mpilikanangaga lilobhe lyangu,
8 msiifanye mioyo yenu migumu, kama mlivyofanya katika uasi, wakati ule wa kujaribiwa jangwani,
nnanonopanje mitima jenunji, mbuti shibhatendilenje ashinakulu bhenunji pubhaakanilenje a Nnungu lyubha lya lingwa, kuanga kula.
9 ambapo baba zenu walinijaribu na kunipima ingawa kwa miaka arobaini walikuwa wameyaona matendo yangu.
Kwekula ashinakulu bhenunji bhashinkuninganga, Nkali bhaibhweninji itendi yangu yaka makumi nsheshe!
10 Hiyo ndiyo sababu nilikasirikia kizazi kile, nami nikasema, ‘Siku zote mioyo yao imepotoka, nao hawajazijua njia zangu.’
Kwa lyene ligongolyo nashinkulutumbalila lwene lubhelekolo gunjite, ‘Mobha gowe bhanapuganyikanga, Bhakaakagulanga mipanda Jangu.’
11 Hivyo nikatangaza kwa kiapo katika hasira yangu, ‘Kamwe hawataingia rahani mwangu.’”
Bhai, nkutumbala gunumbile, ‘Bhakajinjilanga pa shipumuli shangu.’”
12 Ndugu zangu, angalieni, asiwepo miongoni mwenu mtu mwenye moyo mwovu usioamini, unaojitenga na Mungu aliye hai.
Bhai ashaalongo ajangunji, mwiteiganje anapagwe munkumbi gwenunji jojowe jwa ntima gwangali gwa mmbone na ukaakulupalila, ukwaabhambala a Nnungu bhakwete gumi.
13 Lakini mtiane moyo mtu na mwenzake kila siku, maadamu iitwapo Leo, ili asiwepo hata mmoja wenu mwenye kufanywa mgumu kwa udanganyifu wa dhambi.
Ikabheje kutagana ntima mobha gowe, kila pwiikushemwa “Lelo”, nkupinga mundu jojowe munkumbi gwenunji anatembwe na yambi nibha jwa mitau.
14 Kwa kuwa tumekuwa washiriki wa Kristo, kama tukishikamana tu kwa uthabiti na tumaini letu la kwanza hadi mwisho.
Pabha uwe tubhowe tunalundana na a Kilishitu ibhaga tubhikaga mmitima ngulupai jitukwete mpaka kumpelo.
15 Kama ilivyonenwa: “Leo, kama mkiisikia sauti yake, msiifanye mioyo yenu migumu kama mlivyofanya wakati wa kuasi.”
Majandiko ga ukonjelo gakuti, “Monaga mpilikanangaga lilobhe lyabho lelo, Nnanonopanje mitima jenunji. Malinga shimwatendilenje mobha gumwaakanilenje a Nnungu.”
16 Basi ni nani waliosikia lakini bado wakaasi? Je, si wale wote waliotoka Misri wakiongozwa na Mose?
Igala ashigani bhapilikenenje lilobhe lya a Nnungu nikwaakana? Nngabha bhowe bhalongoywenje na a Musha kopoka ku Mishili?
17 Lakini ni nani aliowakasirikia miaka arobaini? Je, si wale waliofanya dhambi ambao miili yao ilianguka jangwani?
Na kabhili, ni ashigani bhaatumbeyenje a Nnungu yaka makumi nsheshe? Nngabha bhowe bhalebhilenje niwanganga nng'anga bhala?
18 Ni nani hao ambao Mungu aliapa kuwa kamwe hawataingia rahani mwake isipokuwa ni wale waliokataa kutii?
Kabhili, ashigani bhubhalumbile kuti, “Bhakajinjilanga pa shipumuli shangu,” ikabhe bhalebhilenje bhala?
19 Hivyo tunaona kwamba hawakuweza kuingia kwa sababu ya kutokuamini kwao.
Bhai, tubhwene kuti bhangajinjilanga pa shipumuli kwa ligongo lya ungakulupalila gwabhonji.