< Wahebrania 2 >
1 Kwa hiyo, imetupasa kuwa waangalifu sana kuhusu kile tulichosikia, ili tusije tukakiacha.
Seetõttu tuleb meil eriti silmas pidada kõike, mida me oleme kuulnud, et me ei kalduks kõrvale.
2 Kwa kuwa kama ujumbe ulionenwa na malaika ulikuwa imara, na kila uasi na kutokutii kulipata adhabu ya haki,
Sest kui juba inglite kaudu räägitud sõnum oli kohustuslik ning iga üleastumine ja sõnakuulmatus sai karistuse,
3 je, sisi tutapaje kupona kama tusipojali wokovu mkuu namna hii? Wokovu huu, ambao mwanzo ulitangazwa na Bwana, ulithibitishwa kwetu na wale waliomsikia.
kuidas siis meil õnnestuks põgeneda, kui me ei hooli nii suurest päästest, mida esmalt kuulutati Issanda enda suu läbi ja mida on kinnitanud need, kes seda kuulsid.
4 Pia Mungu aliushuhudia kwa ishara, maajabu na kwa miujiza mbalimbali, na karama za Roho Mtakatifu alizozigawa kulingana na mapenzi yake.
Jumal on ju seda kinnitanud tunnustähtede, imede ja mitmesuguste võimsate tegudega ning Püha Vaimu andidega, mida ta jagas oma tahte kohaselt.
5 Mungu hakuuweka ulimwengu ujao ambao tunanena habari zake chini ya malaika.
Jumal ei alistanud inglitele tulevast maailma, millest me räägime.
6 Lakini kuna mahali mtu fulani ameshuhudia akisema: “Mwanadamu ni kitu gani hata unamfikiria, binadamu ni nani hata unamjali?
Pühakiri tunnistab sellest: „Mis on inimene, et sa temale mõtled, või inimese poeg, et sa temast hoolid?
7 Umemfanya chini kidogo kuliko malaika; ukamvika taji ya utukufu na heshima,
Sa tegid ta veidi alamaks inglitest, sa pärgasid ta au ja hiilgusega,
8 nawe umeweka vitu vyote chini ya miguu yake.” Kwa kuweka vitu vyote chini yake, Mungu hakuacha kitu chochote ambacho hakukiweka chini ya mwanadamu. Lakini kwa sasa, hatuoni kwamba kila kitu kiko chini yake.
ja alistasid kõik tema jalge alla.“Temale kõike alistades ei jätnud Jumal midagi talle alistamata. Aga praegu me ei näe veel, et kõik on alistatud tema alla.
9 Lakini twamwona Yesu, aliyefanywa chini kidogo kuliko malaika, sasa akiwa amevikwa taji ya utukufu na heshima kwa sababu alistahimili mauti, ili kwamba kwa neema ya Mungu apate kuonja mauti kwa ajili ya kila mtu.
Siiski me näeme, et Jeesus, kes viivuks tehti alamaks inglitest, et ta Jumala armu läbi maitseks surma igaühe eest, on nüüd pärjatud au ja hiilgusega surma kannatamise pärast.
10 Ili kuwaleta wana wengi katika utukufu, ilifaa kwamba Mungu, ambaye ni kwa ajili yake na kupitia kwake kila kitu kimekuwepo, amkamilishe mwanzilishi wa wokovu wao kwa njia ya mateso.
Sest Jumalale, kelle jaoks ja kelle läbi on kõik, oli kohane teha kannatuste kaudu täiuslikuks nende pääste teerajaja, selle, kes pidi viima kirkusesse palju lapsi.
11 Yeye awafanyaye watu kuwa watakatifu, pamoja na hao ambao hufanywa watakatifu, wote hutoka katika jamaa moja. Hivyo Yesu haoni aibu kuwaita ndugu zake.
On ju nii pühitsejal kui ka pühitsetavail üks ja seesama Isa. Seepärast Jeesus ei häbenegi nimetada neid vendadeks ja õdedeks:
12 Yeye husema, “Nitalitangaza jina lako kwa ndugu zangu; mbele ya kusanyiko nitaimba sifa zako.”
„Ma tahan kuulutada sinu nime oma vendadele, koguduse keskel tahan ma laulda sulle kiitust!“
13 Tena, “Nitaweka tumaini langu kwake.” Tena anasema, “Niko hapa, pamoja na watoto ambao Mungu amenipa.”
Ja veel: „Ma panen oma lootuse tema peale.“Ja veel: „Siin olen mina ja lapsed, kelle Jumal mulle on kinkinud.“
14 Basi kwa kuwa watoto wana nyama na damu, yeye pia alishiriki katika ubinadamu wao, ili kwa kifo chake, apate kumwangamiza huyo mwenye nguvu za mauti, yaani ibilisi,
Sellepärast, kuna lapsed on lihast ja verest, sai temagi lihaks ja vereks, et surma läbi murda selle vägi, kes hoiab surma võimu – see tähendab kuradi –
15 na kuwaweka huru wale waliokuwa utumwani maisha yao yote kwa sababu ya kuogopa mauti.
ja vabastada kõik, kes olid kogu elu olnud surmahirmu orjuses.
16 Kwa kuwa ni dhahiri kwamba hakuja kusaidia malaika, bali uzao wa Abrahamu.
Sest kindlasti ei tulnud ta appi inglitele, vaid Aabrahami järglastele.
17 Kwa sababu hii ilibidi afanane na ndugu zake kwa kila hali, ili apate kuwa Kuhani Mkuu mwenye huruma na mwaminifu katika kumtumikia Mungu, ili pia apate kufanya upatanisho kwa ajili ya dhambi za watu.
Seepärast ta pidi igas mõttes saama nende sarnaseks, et temast saaks halastav ja ustav ülempreester Jumala ees inimeste pattude lepitamiseks.
18 Kwa kuwa yeye mwenyewe aliteswa alipojaribiwa, aweza kuwasaidia wale wanaojaribiwa.
Kuna ta ise on kannatanud ja tundnud kiusatusi, suudab ta aidata neid, kes on kiusatustes.