< Wahebrania 2 >

1 Kwa hiyo, imetupasa kuwa waangalifu sana kuhusu kile tulichosikia, ili tusije tukakiacha.
la nyeu, tam bo dor ber ki dikewo ba nuwa kati yilo man bilangiyari cerum binen.
2 Kwa kuwa kama ujumbe ulionenwa na malaika ulikuwa imara, na kila uasi na kutokutii kulipata adhabu ya haki,
na kero wo tok nyi bi bei tomange wucakkeu nyori, ko ka bwangka bidotik kange bikwan duwed ki yom cuner ciyer nyo dong-dong kange dike cer kang ciyeu,
3 je, sisi tutapaje kupona kama tusipojali wokovu mkuu namna hii? Wokovu huu, ambao mwanzo ulitangazwa na Bwana, ulithibitishwa kwetu na wale waliomsikia.
la beu ba cer nyi na bou karbo fulokako durko wori? wori teluwe ki bwici ter tok kake, nubo nuwa ceu ci la ci yi nye,
4 Pia Mungu aliushuhudia kwa ishara, maajabu na kwa miujiza mbalimbali, na karama za Roho Mtakatifu alizozigawa kulingana na mapenzi yake.
na mimde kwama ki bwici yi nyo ki nure kila-kila kange diker nyumankar, kange nangen bikwanner, kange kab kanka nangen yuwatangbe cek ki cwika cek.
5 Mungu hakuuweka ulimwengu ujao ambao tunanena habari zake chini ya malaika.
kebo bi bei tomange wucakke nin kwama yo liyaro a mati dor bitineroweu, wo nyo tok kerti dor cere.
6 Lakini kuna mahali mtu fulani ameshuhudia akisema: “Mwanadamu ni kitu gani hata unamfikiria, binadamu ni nani hata unamjali?
la kange tok ker dor ceri nii fir yee wo mo kwa ti kice? wo bi bwe nifire mo to co tiye?
7 Umemfanya chini kidogo kuliko malaika; ukamvika taji ya utukufu na heshima,
mon yo bi bwe nifire tok kange bibei tomange wucakeu, mon dingum co ki duktangka kange dwika.
8 nawe umeweka vitu vyote chini ya miguu yake.” Kwa kuweka vitu vyote chini yake, Mungu hakuacha kitu chochote ambacho hakukiweka chini ya mwanadamu. Lakini kwa sasa, hatuoni kwamba kila kitu kiko chini yake.
mon yo co dor dike mwa fweleu gwam, mon neken co dike mwa fweleu tuwam nacem wori kwama neken dike gwam cinnen, co dobbo kange diker bidob wo kebo cinenu, la na wo du wal ba to bo co ma dikero wo yo tuwam nacemeu.
9 Lakini twamwona Yesu, aliyefanywa chini kidogo kuliko malaika, sasa akiwa amevikwa taji ya utukufu na heshima kwa sababu alistahimili mauti, ili kwamba kwa neema ya Mungu apate kuonja mauti kwa ajili ya kila mtu.
la nyon to kange niici yo co tob kange bi bei tomange wucakeu, kange co Yeesu, cin yo co ki duktangka, kange dwika, ki nuwaka do tange ceko bwareu, won timi luma kwamak Yeesu bwiya dor nubero gwame.
10 Ili kuwaleta wana wengi katika utukufu, ilifaa kwamba Mungu, ambaye ni kwa ajili yake na kupitia kwake kila kitu kimekuwepo, amkamilishe mwanzilishi wa wokovu wao kwa njia ya mateso.
la nyori daten kwamenin, co wo dikero gwam ma dor cereu, kange fiye co wiyeu, na co bou ki bibeyo ducce na fiya duk tangka, na fuloka ciyeko fiya ki dotangrceu.
11 Yeye awafanyaye watu kuwa watakatifu, pamoja na hao ambao hufanywa watakatifu, wote hutoka katika jamaa moja. Hivyo Yesu haoni aibu kuwaita ndugu zake.
na nii wo nirti wucakeu, kange nii nireu, dimer ciyero win co dike bwi co nuwa bo kwen duwe na co coci yitobmibe.
12 Yeye husema, “Nitalitangaza jina lako kwa ndugu zangu; mbele ya kusanyiko nitaimba sifa zako.”
la co toki man tok den mwero kebmibonin, tiber mwer kangka ciyek man wabnen ki nuwe.”
13 Tena, “Nitaweka tumaini langu kwake.” Tena anasema, “Niko hapa, pamoja na watoto ambao Mungu amenipa.”
na di duwene wo con toki ma bi neer kange co,” la toki, “man wo kange bi beyo kwama neyereu.
14 Basi kwa kuwa watoto wana nyama na damu, yeye pia alishiriki katika ubinadamu wao, ili kwa kifo chake, apate kumwangamiza huyo mwenye nguvu za mauti, yaani ibilisi,
na nyo bibeyo lo kwama wi ki nange buyaleri Yeesu tum cer kangka ko co bunar donin con twalim nii bi kwan bwarero, co bwekelkele,
15 na kuwaweka huru wale waliokuwa utumwani maisha yao yote kwa sababu ya kuogopa mauti.
con cokum nubo bro yim congham ker tai bwarereu, ka cik bou ka ciyeko.
16 Kwa kuwa ni dhahiri kwamba hakuja kusaidia malaika, bali uzao wa Abrahamu.
kebo bi bei tomange wucake co tikang tiye o-ong ki tikang naniyak Ibrahimek.
17 Kwa sababu hii ilibidi afanane na ndugu zake kwa kila hali, ili apate kuwa Kuhani Mkuu mwenye huruma na mwaminifu katika kumtumikia Mungu, ili pia apate kufanya upatanisho kwa ajili ya dhambi za watu.
la nyeu tam co a yilam na tangnimkeb ce bem bo ki nure gwam, na co yilam nii wabe dur nii cini, nii ciya ki ma ka kwamake, con ne twi ka nuwange ywelka nubo gwameu.
18 Kwa kuwa yeye mwenyewe aliteswa alipojaribiwa, aweza kuwasaidia wale wanaojaribiwa.
na Yeesu ki bwici nuwa dotangeri, kambo ci cuwa ceu, la nyo tikang nubo bro ci cuwa ci tiyeu.

< Wahebrania 2 >