< Wahebrania 13 >

1 Endeleeni kupendana kama ndugu.
Ishi ugano lwa holo lujendelelaje.
2 Msisahau kuwakaribisha wageni, kwa kuwa kwa kufanya hivyo, watu wengine waliwakaribisha malaika pasipo kujua.
Msahiwe akaribisye abhajenu maana abhombo ishi bhamo bhabhakaribisizye amalaika bila amanye.
3 Wakumbukeni wale waliofungwa gerezani kana kwamba ninyi mmefungwa pamoja nao. Pia wakumbukeni wale wanaotendewa vibaya, kana kwamba ni ninyi wenyewe mnateswa.
Ukumbushe bhonti bhebhali mwigereza, aje huje mwalinabho hula peka nabho ndeshe amabili ginyu mwabhombilwe ndeshe abhene.
4 Ndoa na iheshimiwe na watu wote, nayo malazi yawe safi, kwa kuwa Mungu atawahukumu wazinzi na waasherati wote.
Ulwagano lubhanje ni nshi na bhantu bhonti, na ishitala shi lwegano shibhe shinza maana Ungulubhi ahayibhalonga abhasherati na bhazinzi.
5 Yalindeni maisha yenu msiwe na tabia ya kupenda fedha, bali mridhike na vile mlivyo navyo, kwa sababu Mungu amesema, “Kamwe sitakuacha, wala sitakupungukia.”
Kwa hiyo amadala ginyu agamaisha gabho matenganu hulugano lwi mpuya. Mubhe muya ni vintu vyemulinavyo, maana Ungulubhi yuyo ahayiaje,
6 Kwa hiyo tunaweza kusema kwa ujasiri, “Bwana ni msaada wangu; sitaogopa. Mwanadamu anaweza kunitenda nini?”
“Senahayibhaleha amwi nke hadodo, wala hubhaleshelezye.” Ishi mutwitishe nke tiyanje hudandamazu, “Ugosi yahunavwa; Simbahwogope. Umwanadamu abhambombeshi?”
7 Wakumbukeni viongozi wenu, wale waliowaambia neno la Mungu. Angalieni matokeo ya mwenendo wa maisha yao mkaiige imani yao.
Mubhasimbilile bhebhabhalongozizye bhala bhebhanjile izwi lya Ngulubhi hulimwe, mkumbushe amatokeo ga njendo zyabho fuatizyaji ulwitiho lwabho.
8 Yesu Kristo ni yeye yule jana, leo na hata milele. (aiōn g165)
U Yesu Kristi yuyo igamo ni lelo na wila. (aiōn g165)
9 Msichukuliwe na kila aina ya mafundisho ya kigeni. Ni vyema mioyo yenu iimarishwe kwa neema, wala si kwa sheria kuhusu utaratibu wa vyakula, ambavyo havina faida kwa wale wanaozishika hizo sheria.
Usalongozwe ni manyizyo izishijeni maana se hinza aje umoyo bhuzengwe huwene na siyo hushelia ahusu ishalye igo gahubhavwa bhala bhebhakhala hwigo.
10 Sisi tunayo madhabahu ambayo wale wanaohudumu katika hema hawana haki ya kula vile vitu vilivyowekwa juu yake.
Tuli ni shiputo bhebhaputa mwikanisa sebhali ni haki iyalye.
11 Kuhani mkuu huchukua damu ya wanyama na kuiingiza Patakatifu pa Patakatifu, kama sadaka ya dhambi, lakini miili ya hao wanyama huteketezwa nje ya kambi.
Pipo idanda lyi vikhanu lyelyafumiziwe dhabihu hunongwa yi dhambi yaletilwe nu umputi ugosi muhati mwemuzelupe lakini amabili gabho gahapembilwe apatali ni kambi.
12 Vivyo hivyo, Yesu naye aliteswa nje ya lango la mji ili awatakase watu kwa damu yake mwenyewe.
Kwa hiyo uYesu wope ahapite amayimba panzi yi lwiji ulwi nyumba huje abhihwe shinza hubhantu bha Ngulubhi ashilile idanda lyakwe.
13 Kwa hiyo, basi na tumwendee nje ya kambi, tukiichukua aibu aliyobeba.
Ishi sali hukwakwe hunzi yi kambi, tuzibhusye insoni zyakwe.
14 Kwa kuwa hapa hatuna mji udumuo, bali tunautafuta ule ujao.
Ishi setuli na khalo umwinza munsi ini. Badala yakwe tanze ukhalo wewuhwinza.
15 Basi kwa njia ya Yesu, tuzidi kumtolea Mungu dhabihu ya sifa, yaani matunda ya midomo inayolikiri Jina lake.
Ashilile hwa Yesu mhwanziwa mara kwa mara ayifumye sadaka huulumbe Ungulubhi hulumbe aje itunda lya malomu gitu liyanje itawa lyakwe.
16 Na msiache kutenda mema na kushirikiana vile vitu mlivyo navyo, kwa kuwa dhabihu kama hizo ndizo zinazompendeza Mungu.
Na usahiwe abhombe aminza na hwavwanwe mwinimwi na mwimimwi, hwahuje isadaka ndeshe iyo Ungulubhi akhondezwa sana.
17 Watiini viongozi wenu na kujinyenyekeza chini ya mamlaka yao. Kwa maana wao wanakesha kwa ajili yenu kama watu watakaopaswa kutoa hesabu. Watiini ili wafanye kazi yao kwa furaha, wala si kama mzigo, maana hiyo haitakuwa na faida kwenu.
Mwitishe na huyisye hwalongozi bhenya kwani bhahwendelela hubhadime kwaajili yi moyo ginyu, ndeshe bhala bhebhafumya ili huje bhabha dime huwinza siyo husaje se hungabhavwa.
18 Tuombeeni. Tuna hakika kuwa tunayo dhamiri safi na shauku ya kuishi kwa uadilifu kwa kila njia.
Mtiputile tilinuuhaka aje tili ni dhamana inyinza, titamani akhale amaisha gi nshinshi katika amambo gonti.
19 Ninawasihi zaidi mniombee ili nipate kurudishwa kwenu upesi.
Mwenti ihumbapela umwoyo hani mbombe ishi, ili huje muwele humwinyu karibuni.
20 Basi Mungu wa amani, ambaye kwa damu ya Agano la milele alimleta tena kutoka kwa wafu Bwana wetu Yesu, yule Mchungaji Mkuu wa kondoo, (aiōnios g166)
Ishi Ungulubhi uwinza yahabhaletile tena afume hwa bhafwe undimi ugosi uwingole ugosi wetu uYesu hwi danda lyi ndagano izyawila, (aiōnios g166)
21 awafanye ninyi wakamilifu mkiwa mmekamilishwa katika kila jambo jema ili mpate kutenda mapenzi yake, naye atende ndani yetu kile kinachompendeza machoni Pake, kwa njia ya Yesu Kristo, ambaye utukufu una yeye milele na milele. Amen. (aiōn g165)
Asibhapele inguvu hu kila lijambo ilyinza abhombe ulugano lwakwe nkabhomba imbo inyunza muhati muhati yetu yikhondela pamaso gakwe ashilile hwa Yesu Kristi, hwa mwini tuntumuwila na wila. Amina. (aiōn g165)
22 Ndugu zangu, nawasihi mchukuliane na maneno yangu ya maonyo, kwa kuwa nimewaandikia waraka mfupi tu.
Ishi ihupela umwoyo holo ahwegane ni zwi ilyapele umoyo lyelyasimbilwe kwa ufupi hulimwe.
23 Nataka ninyi mjue kwamba ndugu yetu Timotheo amefunguliwa kutoka gerezani. Akifika mapema, nitakuja pamoja naye kuwaona.
Mumanye huje uholo witu u Timotheo ayigulilwe peka nu mwene nayibhala nayibhalola ayiyinza shinishi.
24 Wasalimuni viongozi wenu wote na watakatifu wote. Wale wa kutoka Italia wanawasalimu.
Ubhalamushe alongozi bhaho bhonti na bhashirika bhonti bhala bhebhafuma hu Italia bhahulamuha.
25 Neema iwe nanyi nyote. Amen.
Uweene bhubhe namwi mwenti.

< Wahebrania 13 >