< Wahebrania 12 >
1 Kwa sababu hii, kwa kuwa tumezungukwa na wingu kubwa namna hii la mashahidi, basi na tuweke kando kila kitu kinachotuzuia na ile dhambi inayotuzinga kwa urahisi, nasi tupige mbio kwa saburi katika yale mashindano yaliyowekwa kwa ajili yetu.
อโต เหโตเรตาวตฺสากฺษิเมไฆ เรฺวษฺฏิตา: สนฺโต วยมปิ สรฺวฺวภารมฺ อาศุพาธกํ ปาปญฺจ นิกฺษิปฺยาสฺมากํ คมนาย นิรูปิเต มารฺเค ไธรฺเยฺยณ ธาวามฯ
2 Basi na tumtazame sana Yesu mwanzilishi na mkamilishaji wa imani yetu, yeye ambaye kwa ajili ya furaha iliyowekwa mbele yake alistahimili msalaba, bila kujali aibu ya huo msalaba, naye ameketi mkono wa kuume wa kiti cha enzi cha Mungu.
ยศฺจาสฺมากํ วิศฺวาสสฺยาเคฺรสร: สิทฺธิกรฺตฺตา จาสฺติ ตํ ยีศุํ วีกฺษามไห ยต: ส สฺวสมฺมุขสฺถิตานนฺทสฺย ปฺราปฺตฺยรฺถมฺ อปมานํ ตุจฺฉีกฺฤตฺย กฺรุศสฺย ยาตนำ โสฒวานฺ อีศฺวรียสึหาสนสฺย ทกฺษิณปารฺเศฺว สมุปวิษฺฏวำศฺจฯ
3 Mtafakarini sana yeye aliyestahimili upinzani mkuu namna hii kutoka kwa watu wenye dhambi, ili kwamba msije mkachoka na kukata tamaa.
ย: ปาปิภิ: สฺววิรุทฺธมฺ เอตาทฺฤศํ ไวปรีตฺยํ โสฒวานฺ ตมฺ อาโลจยต เตน ยูยํ สฺวมน: สุ ศฺรานฺตา: กฺลานฺตาศฺจ น ภวิษฺยถฯ
4 Katika kushindana kwenu dhidi ya dhambi, bado hamjapigana kiasi cha kumwaga damu yenu.
ยูยํ ปาเปน สห ยุธฺยนฺโต'ทฺยาปิ โศณิตวฺยยปรฺยฺยนฺตํ ปฺรติโรธํ นากุรุตฯ
5 Nanyi mmesahau yale maneno ya kuwaonya yanayowataja ninyi kuwa wana, yakisema: “Mwanangu, usidharau adhabu ya Bwana, wala usikate tamaa akikukemea,
ตถา จ ปุตฺรานฺ ปฺรตีว ยุษฺมานฺ ปฺรติ ย อุปเทศ อุกฺตสฺตํ กึ วิสฺมฺฤตวนฺต: ? "ปเรเศน กฺฤตำ ศาสฺตึ เห มตฺปุตฺร น ตุจฺฉยฯ เตน สํภรฺตฺสิตศฺจาปิ ไนว กฺลามฺย กทาจนฯ
6 kwa sababu Bwana huwaadibisha wale awapendao, na humwadhibu kila mmoja anayemkubali kuwa mwana.”
ปเรศ: ปฺรียเต ยสฺมินฺ ตไสฺม ศาสฺตึ ททาติ ยตฺฯ ยนฺตุ ปุตฺรํ ส คฺฤหฺลาติ ตเมว ปฺรหรตฺยปิฯ "
7 Vumilieni taabu kwa ajili ya kufunzwa adabu. Mungu anawatendea ninyi kama watoto wake, kwa maana ni mtoto yupi asiyeadibishwa na mzazi wake?
ยทิ ยูยํ ศาสฺตึ สหธฺวํ ตรฺหีศฺวร: ปุไตฺรริว ยุษฺมาภิ: สารฺทฺธํ วฺยวหรติ ยต: ปิตา ยไสฺม ศาสฺตึ น ททาติ ตาทฺฤศ: ปุตฺร: ก:?
8 Kama hakuna kuadibishwa (ambalo ni fungu la watoto wote), basi ninyi ni watoto wa haramu wala si watoto halali.
สรฺเวฺว ยสฺยา: ศาเสฺตรํศิโน ภวนฺติ สา ยทิ ยุษฺมากํ น ภวติ ตรฺหิ ยูยมฺ อาตฺมชา น กินฺตุ ชารชา อาเธฺวฯ
9 Tena, sisi sote tunao baba wa kimwili, waliotuadibisha nasi tukawaheshimu kwa ajili ya hilo. Je, si inatupasa kujinyenyekeza zaidi kwa Baba wa roho zetu ili tuishi?
อปรมฺ อสฺมากํ ศารีริกชนฺมทาตาโร'สฺมากํ ศาสฺติการิโณ'ภวนฺ เต จาสฺมาภิ: สมฺมานิตาสฺตสฺมาทฺ ย อาตฺมนำ ชนยิตา วยํ กึ ตโต'ธิกํ ตสฺย วศีภูย น ชีวิษฺยาม: ?
10 Baba zetu walituadibisha kwa kitambo kidogo kama wao wenyewe walivyoona vyema, lakini Mungu hutuadibisha kwa faida yetu ili tupate kushiriki utakatifu wake.
เต ตฺวลฺปทินานิ ยาวตฺ สฺวมโน'มตานุสาเรณ ศาสฺตึ กฺฤตวนฺต: กินฺเตฺวโษ'สฺมากํ หิตาย ตสฺย ปวิตฺรตายา อํศิตฺวาย จาสฺมานฺ ศาสฺติฯ
11 Kuadibishwa wakati wowote hakuonekani kuwa kitu cha kufurahisha bali chenye maumivu kinapotekelezwa. Lakini baadaye huzaa matunda ya haki na amani kwa wale waliofunzwa nayo.
ศาสฺติศฺจ วรฺตฺตมานสมเย เกนาปิ นานนฺทชนิกา กินฺตุ โศกชนิไกว มนฺยเต ตถาปิ เย ตยา วินียนฺเต เตภฺย: สา ปศฺจาตฺ ศานฺติยุกฺตํ ธรฺมฺมผลํ ททาติฯ
12 Kwa hiyo, itieni nguvu mikono yenu iliyo dhaifu na magoti yenu yaliyolegea.
อเตอว ยูยํ ศิถิลานฺ หสฺตานฺ ทุรฺพฺพลานิ ชานูนิ จ สพลานิ กุรุธฺวํฯ
13 Sawazisheni mapito ya miguu yenu, ili kitu kilicho kiwete kisidhoofishwe bali kiponywe.
ยถา จ ทุรฺพฺพลสฺย สนฺธิสฺถานํ น ภเชฺยต สฺวสฺถํ ติษฺเฐตฺ ตถา สฺวจรณารฺถํ สรลํ มารฺคํ นิรฺมฺมาตฯ
14 Tafuteni kwa bidii kuwa na amani na watu wote na huo utakatifu, ambao bila kuwa nao hakuna mtu atakayemwona Bwana.
อปรญฺจ สรฺไวฺว: สารฺถมฺ เอกฺยภาวํ ยจฺจ วินา ปรเมศฺวรสฺย ทรฺศนํ เกนาปิ น ลปฺสฺยเต ตตฺ ปวิตฺรตฺวํ เจษฺฏธฺวํฯ
15 Angalieni sana mtu yeyote asiikose neema ya Mungu na kwamba shina la uchungu lisije likachipuka na kuwasumbua na watu wengi wakatiwa unajisi kwa hilo.
ยถา กศฺจิทฺ อีศฺวรสฺยานุคฺรหาตฺ น ปเตตฺ, ยถา จ ติกฺตตายา มูลํ ปฺรรุหฺย พาธาชนกํ น ภเวตฺ เตน จ พหโว'ปวิตฺรา น ภเวยุ: ,
16 Angalieni miongoni mwenu asiwepo mwasherati au mtu asiyemcha Mungu kama Esau, ambaye kwa ajili ya mlo mmoja aliuza haki ya uzaliwa wake wa kwanza.
ยถา จ กศฺจิตฺ ลมฺปโฏ วา เอกกฺฤตฺว อาหารารฺถํ สฺวียเชฺยษฺฐาธิการวิเกฺรตา ย เอเษาสฺตทฺวทฺ อธรฺมฺมาจารี น ภเวตฺ ตถา สาวธานา ภวตฯ
17 Baadaye kama mnavyofahamu, alipotaka kurithi ile baraka, alikataliwa, maana hakupata nafasi ya kutubu, ingawa aliitafuta kwa machozi.
ยต: ส เอเษา: ปศฺจาทฺ อาศีรฺวฺวาทาธิการี ภวิตุมฺ อิจฺฉนฺนปิ นานุคฺฤหีต อิติ ยูยํ ชานีถ, ส จาศฺรุปาเตน มตฺยนฺตรํ ปฺรารฺถยมาโน'ปิ ตทุปายํ น เลเภฯ
18 Hamjaufikia mlima ule uwezao kuguswa na ambao unawaka moto; wala kwenye giza, utusitusi na dhoruba;
อปรญฺจ สฺปฺฤศฺย: ปรฺวฺวต: ปฺรชฺวลิโต วหฺนิ: กฺฤษฺณาวรฺโณ เมโฆ 'นฺธกาโร ฌญฺภฺศ ตูรีวาทฺยํ วากฺยานำ ศพฺทศฺจ ไนเตษำ สนฺนิเธา ยูยมฺ อาคตา: ฯ
19 kwenye mlio wa tarumbeta, au kwenye sauti isemayo maneno ya kutisha kiasi ambacho wale walioisikia waliomba wasiambiwe neno jingine zaidi,
ตํ ศพฺทํ ศฺรุตฺวา โศฺรตารสฺตาทฺฤศํ สมฺภาษณํ ยตฺ ปุน รฺน ชายเต ตตฺ ปฺรารฺถิตวนฺต: ฯ
20 kwa sababu hawangeweza kustahimili neno lile lililoamriwa: “Hata kama mnyama atagusa mlima huu, atapigwa mawe.”
ยต: ปศุรปิ ยทิ ธราธรํ สฺปฺฤศติ ตรฺหิ ส ปาษาณาฆาไต รฺหนฺตวฺย อิตฺยาเทศํ โสฒุํ เต นาศกฺนุวนฺฯ
21 Waliyoyaona yalikuwa ya kutisha kiasi kwamba Mose alisema, “Ninatetemeka kwa hofu.”
ตจฺจ ทรฺศนมฺ เอวํ ภยานกํ ยตฺ มูสโสกฺตํ ภีตสฺตฺราสยุกฺตศฺจาสฺมีติฯ
22 Lakini ninyi mmekuja Mlima Sayuni, Yerusalemu ya mbinguni, mji wa Mungu aliye hai. Mmekuja penye kusanyiko kubwa la malaika maelfu kwa maelfu wasiohesabika wanaoshangilia,
กินฺตุ สีโยนฺปรฺวฺวโต 'มเรศฺวรสฺย นครํ สฺวรฺคสฺถยิรูศาลมมฺ อยุตานิ ทิวฺยทูตา:
23 kwenye kanisa la wazaliwa wa kwanza wa Mungu, ambao majina yao yameandikwa mbinguni. Mmekuja kwa Mungu, mhukumu wa watu wote, kwenye roho za wenye haki waliokamilishwa,
สฺวรฺเค ลิขิตานำ ปฺรถมชาตานามฺ อุตฺสว: สมิติศฺจ สรฺเวฺวษำ วิจาราธิปติรีศฺวร: สิทฺธีกฺฤตธารฺมฺมิกานามฺ อาตฺมาโน
24 kwa Yesu mpatanishi wa agano jipya, na kwa damu iliyonyunyizwa, ile inenayo mambo mema kuliko damu ya Abeli.
นูตนนิยมสฺย มธฺยโสฺถ ยีศุ: , อปรํ หาพิโล รกฺตาตฺ เศฺรย: ปฺรจารกํ โปฺรกฺษณสฺย รกฺตญฺไจเตษำ สนฺนิเธา ยูยมฺ อาคตา: ฯ
25 Angalieni, msije mkamkataa yeye anenaye. Ikiwa wao hawakuepuka adhabu walipomkataa yeye aliyewaonya hapa duniani, sisi je, tutaokokaje tusipomsikiliza yeye anayetuonya kutoka mbinguni?
สาวธานา ภวต ตํ วกฺตารํ นาวชานีต ยโต เหโต: ปฺฤถิวีสฺถิต: ส วกฺตา ไยรวชฺญาตไสฺต รฺยทิ รกฺษา นาปฺราปิ ตรฺหิ สฺวรฺคียวกฺตุ: ปรางฺมุขีภูยาสฺมาภิ: กถํ รกฺษา ปฺราปฺสฺยเต?
26 Wakati ule sauti yake ilitetemesha dunia, lakini sasa ameahidi, “Kwa mara moja tena nitatetemesha si nchi tu bali na mbingu pia.”
ตทา ตสฺย รวาตฺ ปฺฤถิวี กมฺปิตา กินฺตฺวิทานีํ เตเนทํ ปฺรติชฺญาตํ ยถา, "อหํ ปุนเรกกฺฤตฺว: ปฺฤถิวีํ กมฺปยิษฺยามิ เกวลํ ตนฺนหิ คคนมปิ กมฺปยิษฺยามิฯ "
27 Maneno haya “kwa mara moja tena” yanaonyesha kuondoshwa kwa vile vitu vinavyoweza kutetemeshwa, yaani vile vitu vilivyoumbwa, kwa kusudi vile tu visivyoweza kutetemeshwa vibaki.
ส เอกกฺฤตฺว: ศพฺโท นิศฺจลวิษยาณำ สฺถิตเย นิรฺมฺมิตานามิว จญฺจลวสฺตูนำ สฺถานานฺตรีกรณํ ปฺรกาศยติฯ
28 Kwa hiyo, kwa kuwa tunapokea ufalme ambao hauwezi kutetemeshwa, basi na tuwe na shukrani, na hivyo tumwabudu Mungu kwa namna inayompendeza, kwa unyenyekevu na uchaji,
อเตอว นิศฺจลราชฺยปฺราปฺไตรสฺมาภิ: โส'นุคฺรห อาลมฺพิตโวฺย เยน วยํ สาทรํ สภยญฺจ ตุษฺฏิชนกรูเปเณศฺวรํ เสวิตุํ ศกฺนุยามฯ
29 kwa kuwa “Mungu wetu ni moto ulao.”
ยโต'สฺมากมฺ อีศฺวร: สํหารโก วหฺนิ: ฯ