< Wahebrania 11 >
1 Basi imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo, na udhahiri wa mambo yasiyoonekana.
Linu, Intumelo kukolwa zintu zosepa chakulibelele. Bupaki buamana ni zintu ziseni kubonwa.
2 Maana baba zetu wa kale walipongezwa kwa haya.
Chebakalyakuti bazazi betanzi baba amuhelwa chetumelo yabo.
3 Kwa imani tunafahamu kwamba ulimwengu uliumbwa kwa neno la Mungu, vitu vyote vinavyoonekana havikuumbwa kutoka kwa vitu vinavyoonekana. (aiōn )
Chetumelo tuzuwisisa kuti inkanda ibabumbwa chetaelo ya Ireeza, njokuti chibonekete kenezibapangiwa kuzwa hazintu zibabwenekete. (aiōn )
4 Kwa imani Abeli alimtolea Mungu dhabihu bora zaidi kuliko Kaini. Kwa imani alishuhudiwa kuwa mwenye haki, Mungu mwenyewe akazishuhudia sadaka zake. Kwa imani bado ananena ingawa amekufa.
Ibali chetumelo kuti Abele apangile Ireeza chitabelo chihita cha Kaine, imi kuzwaho abapangiwa kuba yonjolwele, imi Ireeza abawambi bulotu kuamana ni chachitabelo chakwe. Imi chetumelo Abele usikwete kuwamba, nihafwile.
5 Kwa imani Enoki alitwaliwa kutoka maisha haya, kiasi kwamba hakuonja mauti. Hakuonekana, kwa sababu Mungu alikuwa amemchukua. Kwa kuwa kabla hajatwaliwa alikuwa ameshuhudiwa kuwa ni mtu aliyempendeza Mungu.
Ibali chetumelo kuti Enoke abahindilwa kwiwulu, njokuti kanababoni ifu.” Kanabawaniki, kakuli Ireeza abamuhindi. “Mukuti naseni kuhindilwa kwiwulu, kubapakiwa kuti abakutabisa Ireeza.
6 Lakini pasipo imani haiwezekani kumpendeza Mungu, kwa maana yeyote anayemjia Mungu lazima aamini kwamba yeye yuko na ya kuwa huwapa thawabu wale wamtafutao kwa bidii.
Linu chosena intumelo kahenakuhuba kumutabisa. Mukuti kwina nenza kuti zumwi hakeza kwa Ireeza uswanela kuzumina kuti kwena uhala imi kuti njimuhi wamipuzo yabo bamusaka.
7 Kwa imani, Noa alipoonywa na Mungu kuhusu mambo ambayo hayajaonekana bado, kwa kumcha Mungu alitengeneza safina ili kuokoa jamaa yake. Kwa imani yake aliuhukumu ulimwengu na akawa mrithi wa haki ipatikanayo kwa imani.
Ibali chetumelo kuti Nuwe, hamana kuhewa mulaezo kuamana nizintu ziseni kubonwa, chekute lyabuireeza awole kuzaka chikepe kuhuna bezubo yakwe. Chakutenda bulyo, abanyazi inkanda ni kuba muyoli wazinjolola ziyendelela chakuya chetumelo.
8 Kwa imani Abrahamu, alipoitwa aende mahali ambapo Mungu angempa baadaye kuwa urithi, alitii na akaenda, ingawa hakujua anakokwenda.
Ibali chetumelo kuti Abrahama, chosumpwa, abakuteki ni kuzwa nakaya kwabali kukatambwila kuyola chanda. Abazwi nakaya, nasezi kuti ukaya kuhi.
9 Kwa imani alifanya maskani yake katika nchi ya ahadi kama mgeni katika nchi ya kigeni; aliishi katika mahema, kama Isaki na Yakobo walivyofanya, waliokuwa pia warithi pamoja naye wa ahadi ile ile.
Ibali chetumelo kuti abahali kuhala muchisi chesepiso nali muzwahule. Abahali kuhala mumatente ni Isaka ni Jakobo, babali bayoli besepiso iswana.
10 Kwa maana alikuwa akiutazamia mji wenye misingi ya kudumu ambao mwenye kuubuni na kuujenga ni Mungu.
Mukuti abalolete kubusu kumuleneni wina mitomo, utenda kuti mufundeli ni muzaki uswanela kuba nji Ireeza.
11 Kwa imani Abrahamu, ingawa alikuwa mzee wa umri, naye Sara mwenyewe aliyekuwa tasa, alipokea uwezo wa kuwa baba kwa sababu alimhesabu Mungu aliyemwahidi kuwa mwaminifu na kwamba angetimiza ahadi yake.
Ibali chetumelo, nihakubabulyo Sarah iyemwine kanabali kupepa, mukuti Abrahama abawani maata akupepa. Izi zibapangahali bulyo, nihakuba kuti chabasupele, sina hakuhupulwa chabusepahali kozi ababahi chibaka chesepiso.
12 Hivyo kutokana na huyu huyu ambaye alikuwa sawa na mfu, wakazaliwa wazao wengi kama nyota za mbinguni na kama mchanga wa pwani usiohesabika.
Chobulyo, kuzwila kumukwame umwina, chabali kuboneka kufwile, njabazali bantu benjihite sina inkani mwiwulu imi sina isekeseke lyamwiwate, usawoleki kubalwa.
13 Watu hawa wote wakafa katika imani bila kuzipokea zile ahadi, lakini waliziona kwa mbali na kuzishangilia. Nao walikubali kwamba walikuwa wageni na wasiokuwa na maskani hapa duniani.
Ibali mwitumelo kuti bonse bafwile kana bababoni isepiso zabo. Linu, kuzwa hakubabona ni kubalumelisa chibasina kule, babazumini kuti bayezi imi bahitite munkanda isali yabo.
14 Watu wasemao mambo kama haya, wanaonyesha wazi kwamba wanatafuta nchi yao wenyewe.
Mukuti abo bawamba izozintu bawamba chabuniti kuti bakabusaka munzi wakwikala.
15 Kwa kweli kama wangekuwa wanafikiri kuhusu nchi waliyoiacha, wangalipata nafasi ya kurudi huko.
Haiba babali kuzeza inkanda kubabayendi, babakuwola kuba ni nako yakubola.
16 Lakini badala yake walitamani nchi iliyo bora zaidi, yaani nchi ya mbinguni. Kwa hiyo Mungu haoni aibu kuitwa Mungu wao, kwa kuwa amekwisha kuandaa mji kwa ajili yao.
Kono kuya kamukwikalile, ni balakaza inkanda ina hande, ili, yakwiulu. Chobulyo Ireeza kaswabiswa kusumpwa Ireeza wabo, chebakalakuti ababa lukisezi muleneñi wabo.
17 Kwa imani Abrahamu, alipojaribiwa na Mungu, alimtoa Isaki kuwa dhabihu. Yeye aliyekuwa amezipokea ahadi za Mungu alikuwa tayari kumtoa mwanawe, aliyekuwa mwanawe pekee awe dhabihu.
Ibali chetumelo kuti Abrahama, habali kulikiwa, kupanga Isaka chitabelo. Abali njiyeke mwana mukwame yabali kuha, iye yabatambuli insepiso.
18 Ingawa Mungu alikuwa amemwambia Abrahamu, “Uzao wako utahesabiwa kupitia kwa Isaki,”
Ibali nji kwa Abrahama kuzibali kuwambwa, “Ibali chenzila ya Isaka kuti behwa babehwa bako kababikwe izina.
19 Abrahamu alihesabu kuwa Mungu angaliweza kumfufua Isaki kutoka kwa wafu. Na kwa kusema kwa mfano, alimpata tena Isaki kutoka kwa wafu.
Abrahama abahupuli kuti Ireeza wina maata akubusa Isaka kubafwile, imi kuwamba buniti, aba mubozekezwa.
20 Kwa imani Isaki alimbariki Yakobo na Esau kuhusu maisha yao ya baadaye.
Ibali chetumelo hape kuamana ni zintu zakubusu kuti Isaka afuyole Jakobo ni Isau.
21 Kwa imani Yakobo alipokuwa anakufa, alimbariki kila mmoja wa mtoto wa Yosefu, akamwabudu Mungu akiwa ameegemea juu ya kichwa cha fimbo yake.
Ibali chetumelo kuti Jakobo, mwinako yakufwa, habafuyoli zumwi ni zumwi wabana ba Josefa. Jakobo abalapeli, nazendamine hekoli yakwe.
22 Kwa imani, Yosefu alipokaribia mwisho wa maisha yake, alinena habari za kutoka kwa wana wa Israeli huko Misri na akatoa maagizo kuhusu mifupa yake.
Ibali chetumelo kuti Josefa, habona kuti mamanimani akwe chachunine, abawambi chakufunduka kwabana Baisilaele kuzwa mwa Egepita imi chabalaela kuamana ni zifuha zakwe.
23 Kwa imani, wazazi wa Mose walimficha kwa miezi mitatu baada ya kuzaliwa, kwa sababu waliona kuwa si mtoto wa kawaida, wala hawakuiogopa amri ya mfalme.
Ibali chetumelo kuti Mushe, hapepywa, bashemi bakwe babamuwungwile myezi yotatwe kakuli bababwene kuti mwana mulotu. Kana babatiyi bakeñi chetaelo ya Simwine.
24 Kwa imani, Mose alipokuwa mtu mzima, alikataa kuitwa mwana wa binti Farao.
Ibali chetumelo kuti Mushe, chokula, chakana kusumpwa mwan'a wa mwan'a Simwine wa mwanakazana.
25 Akachagua kupata mateso pamoja na watu wa Mungu kuliko kujifurahisha kwa anasa za dhambi kwa kitambo kidogo tu.
Chebakalyakuti, abaliketeli kunyanda ni bantu ba Ireeza, kuhita kulikola minyaka ya cheve chenakozana.
26 Aliona kushutumiwa kwa ajili ya Kristo ni utajiri mkubwa zaidi kuliko hazina za Misri, maana alikuwa anatazamia kupata thawabu baadaye.
Abanahani kuti kunyanda kwakwichilila Jesu Christe kuhita chifumu chamwa Egepita. Mukuti ababikite menso akwe kuzetawane.
27 Kwa imani Mose aliondoka Misri bila kuogopa ghadhabu ya mfalme. Alivumilia kwa sababu alimwona yeye asiyeonekana kwa macho.
Ibali chetumelo kuti Mushe azwe mwa Egepita. Kanabatiyi bubengi bwasimwine, mukuti abanyandi sina yobwene yasabonwa.
28 Kwa imani akaadhimisha Pasaka na kunyunyiza damu, ili yule mwenye kuwaangamiza wazaliwa wa kwanza asiwaguse wazaliwa wa Israeli.
Ibali chetumelo kuti abakuteki Ipasaka ni kusanselwa kwamalaha, kokuti musinyasinyi wa mwana wetanzi sanzi akwati bana betanzi bachiswisu ba Maisilaele.
29 Kwa imani, watu walivuka Bahari ya Shamu kama vile juu ya nchi kavu; lakini Wamisri walipojaribu kufanya hivyo, walitoswa ndani ya maji.
Ibali chetumelo hababahiti mwiwate lisubila sina babali kuyenda muzumite. Maegepita habalika kutenda bulyo, babaminwa.
30 Kwa imani kuta za Yeriko zilianguka, baada ya watu kuzizunguka kwa siku saba.
Ibali chetumelo kuti mamota a Jeriko habawili hansi, kasamulaho akuzimbulukwa mazuba amana iyaza ni obele.
31 Kwa imani, Rahabu, yule kahaba, hakuangamizwa pamoja na wale waliomwasi Mungu, kwa kuwa aliwakaribisha wale wapelelezi.
Ibali chetumelo Rahaba wehule hasana abafwi nabana basana babakukuteki, kakuli abatambuli matwela chekozo.
32 Basi niseme nini zaidi? Sina wakati wa kusema habari za Gideoni, Baraka, Samsoni, Yeftha, Daudi, Samweli na manabii,
Imi chinzi hape chiniwola kuwamba? Mukuti inako kayinizuminini haiba niniwamba kaza Gedioni, Baraki, Samsoni, Japhethah, Davida, Samwele ni ziamana ni bapolofita.
33 ambao kwa imani walishinda milki za wafalme, walitekeleza haki, na wakapokea ahadi za Mungu; walifunga vinywa vya simba,
Ibali chetumelo hababahapi mibuso, kusebeleza buniti, imi babatambuli insepiso. Babeyali milomo ibandavu,
34 wakazima makali ya miali ya moto, na wakaepuka kuuawa kwa upanga; udhaifu wao uligeuka kuwa nguvu; pia walikuwa hodari vitani na kuyafukuza majeshi ya wageni.
Babazimisi maata amulilo, baba banduki bukali bwamukwale, babahozwa kumatuku, bababi indwalume mukondo imi babakomi impi zakunze.
35 Wanawake walipokea watu wao waliokuwa wamekufa, wakafufuliwa. Lakini wengine waliteswa, nao wakakataa kufunguliwa, ili wapate ufufuo ulio bora zaidi.
Banakazi bababozekezwa bafwile babo chakubuswa. Bamwi baba nyandiswa, chakusamuhela kulukuluwa kokuti nibawane kubuswa kwina nenza.
36 Wengine walidhihakiwa na kupigwa, hata walifungwa minyororo na kutiwa gerezani.
Bamwi babakuliwa chakushengunwinwa ni kushumpwa, mane ni kuhambwa nisimbi ni kubikwa mutolongo.
37 Walipigwa kwa mawe; walipasuliwa vipande viwili kwa msumeno; waliuawa kwa upanga. Walizungukazunguka wakiwa wamevaa ngozi za kondoo na mbuzi, wakiwa maskini, wakiteswa na kutendwa mabaya,
Babapwacholwa ni mabwe. Babanokolwa zilama zobele. Babehayiwa chamikwale. Babazw ni kuyenda nibazabele makabi embelele ni ipene. Bababotanite, babalyatililwe, kunyandiswa.
38 watu ambao ulimwengu haukustahili kuwa nao. Walizunguka majangwani na milimani, katika mapango na katika mahandaki ardhini.
Inkanda kana ibali kubaswanela. Babali kuyembana mwihalaupa, mumalundu, mumabwe, ni mumalindi mukunsi ke inkanda.
39 Hawa wote walishuhudiwa vyema kwa sababu ya imani yao, lakini hakuna hata mmoja wao aliyepokea yale yaliyoahidiwa.
Nihakubabulyo bonse bantu babapakwa ni Ireeza chebaka lyetumelo yabo, kana babamuheli insepiso.
40 Kwa kuwa Mungu alikuwa ametangulia kutuwekea kitu kilicho bora zaidi ili wao wasikamilishwe pasipo sisi.
Ireeza abatuleleli zintu zina hande, kokuti kwande yetu, kete nibatendwe bashiyeme nenza.