< Wahebrania 11 >
1 Basi imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo, na udhahiri wa mambo yasiyoonekana.
Jumeinak tak ti hin käh mi hmuh thei ja mi äpeia khana mlung üpnaka kyaki ni.
2 Maana baba zetu wa kale walipongezwa kwa haya.
Ahlana khyange naw ami jumeinaka phäh ni Pamhnam naw a jah ksing ta.
3 Kwa imani tunafahamu kwamba ulimwengu uliumbwa kwa neno la Mungu, vitu vyote vinavyoonekana havikuumbwa kutoka kwa vitu vinavyoonekana. (aiōn )
Am mi hmuh theinak üngka mi hmuh thei vaia khawmdek ja khankhaw sepbeiki cun Pamhnama ngthu ni tia mi ksingnak cun jumeinak üngkhyüh ni. (aiōn )
4 Kwa imani Abeli alimtolea Mungu dhabihu bora zaidi kuliko Kaini. Kwa imani alishuhudiwa kuwa mwenye haki, Mungu mwenyewe akazishuhudia sadaka zake. Kwa imani bado ananena ingawa amekufa.
Kaihnaha ngkengnaka kthaka daw bawkia ngkengnak Abelah naw Pamhnam üng a pet hin jumeinak kyaki. A jumeinaka phäh ngsungpyunkia Pamhnam naw a pyen, isetiakyaküng, Pamhnam amät naw a peta ngkengnak cun a doei pet ni. Abelah thi päng kyaw lüpi ania mawng cun a jumeinak naw pyen hamki ni.
5 Kwa imani Enoki alitwaliwa kutoka maisha haya, kiasi kwamba hakuonja mauti. Hakuonekana, kwa sababu Mungu alikuwa amemchukua. Kwa kuwa kabla hajatwaliwa alikuwa ameshuhudiwa kuwa ni mtu aliyempendeza Mungu.
Jumeinaka phäh va Enawk am thi. Ani cun Pamhnama veia kai be lü u naw pi am hmu u, isetiakyaküng, ani cun Pamhnam naw a lak be ni. Cangcim naw a pyen ta Pamhnam jesakia kya lü Enawk cun Pamhnam naw a lak be ni.
6 Lakini pasipo imani haiwezekani kumpendeza Mungu, kwa maana yeyote anayemjia Mungu lazima aamini kwamba yeye yuko na ya kuwa huwapa thawabu wale wamtafutao kwa bidii.
Jumeinak am taki au naw pi Pamhnam am jesak, Pamhnam veki tia jumnak ta lü Pamhnama vei law lü suileiki cun ngkhyengnak yah khai.
7 Kwa imani, Noa alipoonywa na Mungu kuhusu mambo ambayo hayajaonekana bado, kwa kumcha Mungu alitengeneza safina ili kuokoa jamaa yake. Kwa imani yake aliuhukumu ulimwengu na akawa mrithi wa haki ipatikanayo kwa imani.
Malama law khai am a hmuh thei Pamhnama mcäinak cun Nawe naw Jumeinak am ngjaki. Pamhnama pyen kcang na lü mlawngnu a saka phäh a imkyawng lätnak yahkie. Khawmdek cun mkümnak kham lü Nawe naw jumeinak üngkhyüh lawkia ngsungpyunnak yahki.
8 Kwa imani Abrahamu, alipoitwa aende mahali ambapo Mungu angempa baadaye kuwa urithi, alitii na akaenda, ingawa hakujua anakokwenda.
Pamhnam naw khyütam lü a pet vai pe cua Abraham Pamhnam naw a khü üng a kcangnak cun jumeinaka phäha kyaki. Hawa a cehnak vai am ksing xa lü ani naw a pe cun hawih hütki ni.
9 Kwa imani alifanya maskani yake katika nchi ya ahadi kama mgeni katika nchi ya kigeni; aliishi katika mahema, kama Isaki na Yakobo walivyofanya, waliokuwa pia warithi pamoja naye wa ahadi ile ile.
Ani cun jumeinaka phäh üng Pamhnam naw khyü a tam peta pe cua khina kba ngtuinglengki. Ani cun hjam üng ve lü Pamhnama khyütam yahki Isak ja Jakop pi acukba ve hngaki xawi.
10 Kwa maana alikuwa akiutazamia mji wenye misingi ya kudumu ambao mwenye kuubuni na kuujenga ni Mungu.
Abraham cun naw angläta ngkhängkia Pamhnam naw a sawngsak peta mlüh cun k'äiheiki ni.
11 Kwa imani Abrahamu, ingawa alikuwa mzee wa umri, naye Sara mwenyewe aliyekuwa tasa, alipokea uwezo wa kuwa baba kwa sababu alimhesabu Mungu aliyemwahidi kuwa mwaminifu na kwamba angetimiza ahadi yake.
Sarah cun am cana khawh ti lü Abraham pi xü ngvai tawng kyaw sepi jumeinak naw ani cun pa tia thawn law khawhki. Akhyütam cun a mänak vaia Pamhnam cun ümnaki.
12 Hivyo kutokana na huyu huyu ambaye alikuwa sawa na mfu, wakazaliwa wazao wengi kama nyota za mbinguni na kama mchanga wa pwani usiohesabika.
Abraham cun mtisa lama thi kyaw lüpi ani üngkhyüh mpanglai pei veki am mi kheh khawha mdihe ja khankhaw veki aisiea kba a tuca khawhah ve lawki ni.
13 Watu hawa wote wakafa katika imani bila kuzipokea zile ahadi, lakini waliziona kwa mbali na kuzishangilia. Nao walikubali kwamba walikuwa wageni na wasiokuwa na maskani hapa duniani.
Ahina khyange cun jumeinak üng thikie. Pamhnama khyütam cun amimi naw am yahei u lüpi amimi cun khawmdeka cencawn u lü khinnghleia kba dokhamnak yahei khaie ti cun ajan üngkhyüh hmukie ni.
14 Watu wasemao mambo kama haya, wanaonyesha wazi kwamba wanatafuta nchi yao wenyewe.
Amimi naw ami pe vai suileikie ti cun ahi bange naw angsinga mdanki ni.
15 Kwa kweli kama wangekuwa wanafikiri kuhusu nchi waliyoiacha, wangalipata nafasi ya kurudi huko.
Ami hawih hüta pe cun am cungai ti u, acun hin ami cungaiha kyaküng nglat be khawhkie ni.
16 Lakini badala yake walitamani nchi iliyo bora zaidi, yaani nchi ya mbinguni. Kwa hiyo Mungu haoni aibu kuitwa Mungu wao, kwa kuwa amekwisha kuandaa mji kwa ajili yao.
Akdaw bawka pe khankhaw pe cun äpeikie ni. Amimia Pamhnam tia khü vaia Pamhnam cun am ngkeei, isetiakyaküng, Pamhnam naw amimia phäha mlüh cun pyangthamki ni.
17 Kwa imani Abrahamu, alipojaribiwa na Mungu, alimtoa Isaki kuwa dhabihu. Yeye aliyekuwa amezipokea ahadi za Mungu alikuwa tayari kumtoa mwanawe, aliyekuwa mwanawe pekee awe dhabihu.
Pamhnam naw Abraham a cam üng Abraham naw jumeinaka phäh a ca Isak cun ngkengnaka kba Pamhnam üng peki ni. Abrahama vei Pamhnam naw a peta khyütam mata kya kyaw lüpi a ca mat däk cun ngkengnaka kba pe khaia ngtüneiki ni.
18 Ingawa Mungu alikuwa amemwambia Abrahamu, “Uzao wako utahesabiwa kupitia kwa Isaki,”
Pamhnam naw ania vei, “Isak üngkhyüh ka ning peta khyütam na tucae cun na yah khai,” a ti.
19 Abrahamu alihesabu kuwa Mungu angaliweza kumfufua Isaki kutoka kwa wafu. Na kwa kusema kwa mfano, alimpata tena Isaki kutoka kwa wafu.
Pyen vai ania kyaküng, Abraham cun naw thihnak üngkhyüh Isak cun Pamhnam naw mtho be khawhki tia ngaiki, acuna kyase Abraham naw Isak cun thihnak üngkhyüh yahei beki ni.
20 Kwa imani Isaki alimbariki Yakobo na Esau kuhusu maisha yao ya baadaye.
Jumeinak naw Isak cun malama law khai Jakop ja Etawa phäh dawkyanaka khyütam cun pawhki ni.
21 Kwa imani Yakobo alipokuwa anakufa, alimbariki kila mmoja wa mtoto wa Yosefu, akamwabudu Mungu akiwa ameegemea juu ya kichwa cha fimbo yake.
Jumeinaka phäh Jakop naw Josepa ca xawi am a thih ham üng dawkyanak jah peki ni. Lam a cehnak sawngkhe cun üng nghnganei lü Pamhnam cun hjawkhahki ni.
22 Kwa imani, Yosefu alipokaribia mwisho wa maisha yake, alinena habari za kutoka kwa wana wa Israeli huko Misri na akatoa maagizo kuhusu mifupa yake.
Jumeinaka phäh Josep naw a thi law hlühnüh üng Isarele Egypt üngkhyüh ami ceh be vai ua mawng pyen lü a yawk cun ihawkba ami pawh vai cun jah mcuhmthehki ni.
23 Kwa imani, wazazi wa Mose walimficha kwa miezi mitatu baada ya kuzaliwa, kwa sababu waliona kuwa si mtoto wa kawaida, wala hawakuiogopa amri ya mfalme.
Jumeinaka phäh Mosi a hmi käna a nupa xawi naw khya kthum ami cüm ni. Hnasen cun ngtokia ami hmuha phäh käh kyühei lü sangpuxanga pyen cun kpetki xawi ni.
24 Kwa imani, Mose alipokuwa mtu mzima, alikataa kuitwa mwana wa binti Farao.
Jumeinaka phäh Mosi adäm law üng Pharoa ca nghnua capaa ngsuinak cun hawihki ni.
25 Akachagua kupata mateso pamoja na watu wa Mungu kuliko kujifurahisha kwa anasa za dhambi kwa kitambo kidogo tu.
Ani naw asäng mkhye üng jekyaia kthaka Pamhnama khyange am khuikha vai cun tängki ni.
26 Aliona kushutumiwa kwa ajili ya Kristo ni utajiri mkubwa zaidi kuliko hazina za Misri, maana alikuwa anatazamia kupata thawabu baadaye.
Ani naw Mesijaha khuikhanak hin Egypta ka khawhthema kthaka dawki ti cun süm lü malama vekia ngkhyengnak cun bük kyetki ni.
27 Kwa imani Mose aliondoka Misri bila kuogopa ghadhabu ya mfalme. Alivumilia kwa sababu alimwona yeye asiyeonekana kwa macho.
Jumeinaka phäh Mosi naw Pharoa mlung sonak käh kyühei lü egypt cun cehtaki ni. Am hmuh theia Pamhnam cun hmu lü a nglat law be vai maki ni.
28 Kwa imani akaadhimisha Pasaka na kunyunyiza damu, ili yule mwenye kuwaangamiza wazaliwa wa kwanza asiwaguse wazaliwa wa Israeli.
Jumeinaka phäh Isarelea ca kcüke Thihnaka Ngsä naw käh a jah hnim vaia ksawh naküt üng thi kthüih vai ja kphyawnnak cun tüneiki ni.
29 Kwa imani, watu walivuka Bahari ya Shamu kama vile juu ya nchi kavu; lakini Wamisri walipojaribu kufanya hivyo, walitoswa ndani ya maji.
Jumeinaka phäh Isarele naw Mpanglai Sen cun kawnga ami ceha kba citkie; Egypt khyange cit khaia ami ngtün üng tui üng ngcum päihkie ni.
30 Kwa imani kuta za Yeriko zilianguka, baada ya watu kuzizunguka kwa siku saba.
Jumeinaka phäh Isarele naw Jerikho ngvawng cun mhnüp khyüh ami leng käna pyaki ni.
31 Kwa imani, Rahabu, yule kahaba, hakuangamizwa pamoja na wale waliomwasi Mungu, kwa kuwa aliwakaribisha wale wapelelezi.
Jumeinaka phäh nghnumi kse Rahap naw Isarel msäke a püiea mäiha a jah dokhama phäha Pamhnam am kcangnakie jah hnimnak üngkhyüh lätki ni.
32 Basi niseme nini zaidi? Sina wakati wa kusema habari za Gideoni, Baraka, Samsoni, Yeftha, Daudi, Samweli na manabii,
Ka pyen ham khai aw? Sahmae ja Kihdong, Barak, Samson, Jephatah, Davit, Samuilah jah pyennaka kcün vai am lawk ti ve.
33 ambao kwa imani walishinda milki za wafalme, walitekeleza haki, na wakapokea ahadi za Mungu; walifunga vinywa vya simba,
Jumeinaka phäh amimi naw khyawngpe jah tu u lü jah nängkie. Akcang i ti cun pawh u lü Pamhnama khyütam i ti cun pi yaheikie ni. Hengsih hea mpyawng ami jah mkhüpsak,
34 wakazima makali ya miali ya moto, na wakaepuka kuuawa kwa upanga; udhaifu wao uligeuka kuwa nguvu; pia walikuwa hodari vitani na kuyafukuza majeshi ya wageni.
mei kdäie pi jah mthih lü kcim am jah hnimnak vai üng pi lätki he ni. Amimi cun ktha ngcek u lüpi kthamah law u lü ngtukahnak üng kthamah u lü khyangkce ami yee cun jah nängkie ni.
35 Wanawake walipokea watu wao waliokuwa wamekufa, wakafufuliwa. Lakini wengine waliteswa, nao wakakataa kufunguliwa, ili wapate ufufuo ulio bora zaidi.
Nghnumie naw jumeinak üngkhyüh thikiea ami mjüphyüie cun akxünga tho law bekie cun jah yahei bekie ni. Akcee ta xünnak akdaw bawk ami yahei vaia mhlätnak cun mah u lü mkhuimkhanak kham lü thikie ni.
36 Wengine walidhihakiwa na kupigwa, hata walifungwa minyororo na kutiwa gerezani.
Avang cun jah yaihyün lü jah kpai, akcee cun jah khun u lü thawng üng ami jah khyum ni.
37 Walipigwa kwa mawe; walipasuliwa vipande viwili kwa msumeno; waliuawa kwa upanga. Walizungukazunguka wakiwa wamevaa ngozi za kondoo na mbuzi, wakiwa maskini, wakiteswa na kutendwa mabaya,
Lung am ami jah khawng tawng, hlah am jah kthawt tawng lü kcim am ami jah hnim ni. Ami cun mpyenksekie, mkhuimkha kham u lü ami jah mdihmsuia kya lü toe ja meea vun cun suisa lü cit hükie ni.
38 watu ambao ulimwengu haukustahili kuwa nao. Walizunguka majangwani na milimani, katika mapango na katika mahandaki ardhini.
Khawmdek cun amimia phäh am daw ve! Amimi cun mdek khui ja khuikawke ja mcunge ja khawkhyawnga mpyenksea kba citcawn hükie ni.
39 Hawa wote walishuhudiwa vyema kwa sababu ya imani yao, lakini hakuna hata mmoja wao aliyepokea yale yaliyoahidiwa.
Ami jumeinaka phäh ahinea calang cun ami yah ni. Lüpi Pamhnama khyütam cun am yah u,
40 Kwa kuwa Mungu alikuwa ametangulia kutuwekea kitu kilicho bora zaidi ili wao wasikamilishwe pasipo sisi.
isetiakyaküng, Pamhnam naw mimia phäh bünak akdaw bawk a mkhyah pänga phäh ni. Ania nümnak cun mimi ngpüi lü ami kümcei vaia phäh ni.