< Wahebrania 10 >
1 Sheria ni kivuli tu cha mambo mema yajayo, wala si uhalisi wa mambo yenyewe. Kwa sababu hii, haiwezekani kamwe kwa njia ya dhabihu zitolewazo mwaka hadi mwaka kuwakamilisha wale wanaokaribia ili kuabudu.
Ulwakuva indaghilo kimwighighi kya masio amanono ghano ghikwisa, ghala ghano na gheghene. Indaghilo nasingavaling'anie vala vala vano vikunseghelela u Nguluve musila ja dhabihu silasila sino avatekesi vakaghendelile kuhumia umwaka nu mwaka.
2 Kama dhabihu hizo zingeweza kuwakamilisha, hazingeendelea kutolewa tena. Kwa kuwa hao waabuduo wangekuwa wametakaswa mara moja tu, wala wasingejiona tena kuwa na dhambi.
Namba nave fyelulivue idhabihu isio nasale sibuhila kubusuvua? Mukivalilo ikio fano vikufunya, viva vavalisivue nakalingi, vasava vasila lutambulisio kukila inyivi.
3 Lakini zile dhabihu zilikuwa ukumbusho wa dhambi kila mwaka,
Kange mu dhabihi isio sili nikivalilo kya nyivi sino sivombilue mwaka nu mwaka.
4 kwa sababu haiwezekani damu ya mafahali na mbuzi kuondoa dhambi.
ulwakuva najiwezekana mu danda ja ng'ombe ni mhene kubusia inyivi.
5 Kwa hiyo, Kristo alipokuja duniani, alisema: “Dhabihu na sadaka hukuzitaka, bali mwili uliniandalia;
Unsiki uKilisite ye isile mu iisi, kajovile, “Namukanoghilue ilitekelo nambe dhabihu, pa uluo, mukaghuling'anisie um'bili vwimila vwango.
6 sadaka za kuteketezwa na za dhambi hukupendezwa nazo.
Namilkale nulutalama mumatekelo ghoni agha kutagha nambe dhabihu vwimila vwa nyivi.
7 Ndipo niliposema, ‘Mimi hapa, nimekuja, imeandikwa kunihusu katika kitabu: Nimekuja kuyafanya mapenzi yako, Ee Mungu.’”
Kange nilyajovile, “Lola, apanivomba ulughano lwako, Nguluve, ndavule jilembilue vwimila une mu gombo”.
8 Kwanza alisema, “Dhabihu na sadaka, sadaka za kuteketezwa na za dhambi hukuzitaka, wala hukupendezwa nazo” (ingawa sheria iliagiza zitolewe).
Alyajovile ndavule jilyajovilue apuo pa kyanya: Namukanoghilue idhabihu, litekelo, nambe litekelo vwimila kudagila inyivi, nambe numuli lukelo munkate mwa mwene” dhabihu sino sitavulivua kuling'ana nu lulaghilo.
9 Kisha akasema “Mimi hapa, nimekuja kuyafanya mapenzi yako.” Aondoa lile Agano la kwanza ili kuimarisha la pili.
Pe akajova, “ona, niliapankuvomba ulughano lwako”. Avikile palubale indaghilo sino sa vutengulilo neke kukangasia sila isavuvili.
10 Katika mapenzi hayo sisi tumetakaswa na kufanywa watakatifu kwa njia ya sadaka ya mwili wa Yesu Kristo alioutoa mara moja tu.
Muvulungike vwa vuvili, tdagilue kwa Nguluve kulughano lwa mwene kukilila kuhumia kumbili ghwa Yesu Kilisite mara kamo muvsikighwoni.
11 Kila kuhani husimama siku kwa siku akifanya huduma yake ya ibada, na kutoa tena na tena dhabihu zile zile ambazo haziwezi kamwe kuondoa dhambi.
Sakyang'haani, untekesi ghweni ikwima kunsiki ghwa kighono na kighono, ihumia idhabihu jilajila, jino, ku lyolyonni, kamwe nalwale lughela kudagha inyivi.
12 Lakini huyu kuhani akiisha kutoa dhabihu moja kwa ajili ya dhambi kwa wakati wote, aliketi mkono wa kuume wa Mungu.
Looli apuo uKilisite kuhumia idhabihu lwa kamo ku nyivi sa kuvusila nakusila kwoni, alikalile uluvoko lwa ndiyo lwa Nguluve,
13 Tangu wakati huo anangoja mpaka adui zake wawekwe chini ya miguu yake,
ighulila avalugu vwamwene vabikkue pasi na kuvomba vave kitengo vwimila amaghulu gha mwene.
14 kwa sababu kwa dhabihu moja amewafanya kuwa wakamilifu milele wale wote wanaotakaswa.
Ulwakuva isila ja litekelo limo avaling'anisie kuvusila kusila vala vano vadaghilue nu Nguluve.
15 Pia Roho Mtakatifu anatushuhudia kuhusu jambo hili. Kwanza anasema:
Nu Mhepo u Mwimike kange ikwolelela kulyusue. Ulwakuva tasi akajovile,
16 “Hili ndilo Agano nitakalofanya nao baada ya siku hizo, asema Bwana. Nitaziweka sheria zangu mioyoni mwao, na kuziandika katika nia zao.”
“Iiji je agano lino nikulivomba palikimo navenepambele kufighono ifio; ijova uMutwa: nibika indaghilo sango munkate mu mojo gha vanave, penilembagha muluhala luvanave”.
17 Kisha aongeza kusema: “Dhambi zao na kutokutii kwao sitakumbuka tena.”
Kange akajova, “Navilikumbuka kange inyivi ni mbombo save ifwihu”.
18 Basi haya yakiisha kusamehewa, hakuna tena dhabihu yoyote inayotolewa kwa ajili ya dhambi.
Lino ikighavo kino kili nulu saghilo ku ava, nakuva kange ni dhdbihu jejoni vwimila i nyivi.
19 Kwa hiyo, ndugu zangu, kwa kuwa tunao ujasiri wa kupaingia Patakatifu pa Patakatifu kwa damu ya Yesu,
Pauluo, vanyalukolo, tukuvuvona uvukangali vwa kwingila pa vwimike fijo ku danda ijabYesu.
20 kwa njia mpya iliyo hai tuliyofunguliwa kwa ajili yetu kupitia kwenye lile pazia, yaani, mwili wake,
Pauluo jesila jidinduluvue vwimilw usue kusila jam'bili ghwa mwene, m'pia nu vwumi vuno vukilila palipasia.
21 basi kwa kuwa tunaye Kuhani Mkuu juu ya nyumba ya Mungu,
Ulwakuva tuli nu ntekesi um'baha pakyanya pa nyumba ija Nguluve,
22 sisi na tumkaribie Mungu kwa moyo mnyofu kwa imani timilifu, mioyo yetu ikiwa imenyunyizwa damu ya Kristo na kuwa safi kutokana na dhamiri mbaya nayo miili yetu ikiwa imeoshwa kwa maji safi.
tunsoghelele ku mwoojo ghwa kyang'haani muvu kwilanisi vwa kyang'aani vwa lwitiko tungave na moojo ghano va misile uvunofu kuhuma muvuhosi vwa vufumbue nakuva namaviili ghitu gano ghasukilue namalenga manofu.
23 Tushike kwa uthabiti lile tumaini la ukiri wetu bila kuyumbayumba, kwa maana yeye aliyeahidi ni mwaminifu.
Looli pe tugadililaghe kuvufumbue mu vufumbue vwa lulato lwa vukangali vwa lwitiko lwitu, kisila kusyetuka, ulwakuva uNguluve juno atufufingile mwitiki.
24 Tuangaliane na kuhimizana sisi kwa sisi katika upendo na katika kutenda mema.
Kange tusaghaghe ulwa kumpela inumbula umhuunhu ghweni kughana ni mbombo inofu.
25 Wala tusiache kukutana pamoja, kama wengine walivyo na desturi, bali tuhimizane sisi kwa sisi kadiri tuonavyo Siku ile inakaribia.
Tulalekagha pikong'ana palikimo, ndavule vule vivomba avange. Pa uluo, kipelana amoojo umuunhu ghweni kukila na kukila, ndavule vulemuvona ikighono kilipipi.
26 Kama tukiendelea kutenda dhambi kwa makusudi baada ya kupokea ufahamu wa ile kweli, haibaki tena dhabihu kwa ajili ya dhambi.
Nave tuvomba kumakusudi kughendelela kuvomba inyivi unsiki ye twupile isukulu ja kyang'haani, iDhabihu ijinge ija nyivi najisighalila kange.
27 Lakini kinachobaki ni kungoja kwa hofu hukumu ya moto uwakao, utakaowaangamiza adui za Mungu.
Pauluo, kuliluhuvilo lweene lwa vuhighi vea kwoghofia, nuvulefi vwa mwono vuno vuno vuno vudagha avalugu va Nguluve.
28 Yeyote aliyeikataa sheria ya Mose alikufa pasipo huruma kwa ushahidi wa watu wawili au watatu.
Ghweghonu juno abedile indaghilo ja Musa ifua kisila rusungu pavulongolo vwa vwolesi vwa volesi vavili nambe vatatu.
29 Je, mnadhani ni adhabu kali kiasi gani anayostahili kupewa mtu aliyemkanyaga Mwana wa Mungu chini ya nyayo zake, yeye aliyeifanya damu ya Agano iliyomtakasa kuwa kitu najisi na kumtendea maovu Roho wa neema?
Kivalilo kiki kya vuhighi ghusagha ghusagha kuuti kimunoghile umuunhu ghweni juno am'bedile uMwana ghwa Nguluve, umwene juno ajivombile idanda ija agano japakale ndavule ikinu kino na kyimike, idanda jino jikaikilue kwa Nguluve - ghweghwoni juno amulighile uMhepo ghwa vumofu.
30 Kwa kuwa tunamjua yeye aliyesema, “Ni juu yangu kulipiza kisasi; nitalipiza.” Tena asema, “Bwana atawahukumu watu wake.”
Ulwakuva tukagwile jumo juno alya jovile, “kisasi kyango, nigomokesia”. Kange, “UMutwa ilihigha avanhu va mwene”.
31 Ni jambo la kutisha kuanguka mikononi mwa Mungu aliye hai.
Lisio lya kwoghofia kukwingila mumavoko gha Nguluve juno mwumi!
32 Kumbukeni siku zile za kwanza, ambazo mkiisha kutiwa nuru mlistahimili mashindano makali ya maumivu.
Looli kumbuka ifighono fino fikilile, pa uluo ye muponesivue ulumuli, ulwakut ndani mukghwesisie piva nulugudo lwa vulemale uvukome.
33 Wakati mwingine mlitukanwa na kuteswa hadharani; wakati mwingine mlikuwa radhi kuungana na wale waliofanyiwa hivyo.
Mukale muvikilue pavuvalafu mu vuhosi vwa maligho na mu mumuko, mukale va hangilanisi palikmo na vala vano vakakilile imumuko ndavule isio.
34 Mliwahurumia wale waliokuwa kifungoni, mkikubali kwa furaha kunyangʼanywa mali zenu kwa maana mlijua kwamba mnayo mali iliyo bora zaidi idumuyo.
Ulwakuva mulyale ni numbula sa lusungu ku avuo vano valyakungilue, pe mulyupile ku lukelo iluhigho lwa vuhasi vwinu, mungakagule kuuti umue jumue mulyale nuvuhaasi vunofo vwa kukala vusila nakusila.
35 Kwa hiyo msiutupe ujasiri wenu, kwa maana una thawabu kubwa mno.
Pa uluo namulataghagha uvukangali vwinu vuno vuli nuluvumbulilo luvaha.
36 Inawapasa kuvumilia ili mkiisha kufanya mapenzi ya Mungu mpate kile alichoahidi.
Ulwakuva mulonda ulugudo, neke kuuti mupate kino u Nguluve atufingile, pauluo mungamale kuvomba ulughano lwa mwene.
37 Kwa kuwa bado kitambo kidogo tu, “Yeye ajaye atakuja wala hatakawia.
Ulwakuva ye kasiki kadebe, jumo juno ikwisa, ilikwisa sakyang'haa na idila.
38 Lakini mwenye haki wangu ataishi kwa imani. Naye kama akisitasita, sina furaha naye.”
Unya vwakyang'haani vwako ikukala nu lwitiko. Nave iligomoka kunsana, na nilinoghelua naghwo.”
39 Lakini sisi hatumo miongoni mwa hao wanaositasita na kuangamia, bali tuko miongoni mwa hao wenye imani na hivyo tunaokolewa.
Looli usue natuli kama vala vano vigomoka mumbele kwa kusoveleng'haana. Pa uluo, usue tulivamo va vala twevano tulinulwitiko kulolelela i mhepo situ.